Wewe ndio mwanamke anaye washwa kwanza hili swali sikulielekeza kwako,kingine nimesema TZ,SA,UN na FRDC wanashirikiana kuipiga m23 sio rwanda,pole sana wewe tatizo lako hii vita unafikiri inaelekezwa rwanda au unafikiri m23 ni rwanda.
UN inataka kuingia rwanda? Naomba ufafanuzi tafadhali.
Sio kipigo pekee tu kwa M23, hata Kigali kwa mzee hali sio shwari huko, Jamaa anachimba mahandaki tu huku anaharisha tu. Unacheza na Jei-wii?Ahsante sana kwa kumtambua huyu Mtutsi. Huko unaambiwa JWTZ wanatoka kipigo kizito sana.
Assassination ndio itakua mwisho wa amani katika maziwa makuu,kivipi?kwanza interahamwe zitashika madaraka na mapigano ya kikabila kuanza,nchi jirani zitataka kusaidia interahamwe dhidi ya watusi na ndio watusi watasambaa katika eneo hili wakishambuliwa na wao kutaka kujilinda ndio utakua mwisho wa amani in grate lakes regional.Believe me or not.......................Solution ya matatizo yooooooooooooooooote hapa ni ASSASSINATION OF KAGAME!!!!
Matatizo ya ukanda huu wa the great lakes yatakuwa kwishney!
Ni vibaya kumwombea mwanadamu mwenzangu kifo, lakini ndio itakuwa suluhisho la kudumu.
Believe me or not.......................Solution ya matatizo yooooooooooooooooote hapa ni ASSASSINATION OF KAGAME!!!!
Matatizo ya ukanda huu wa the great lakes yatakuwa kwishney!
Ni vibaya kumwombea mwanadamu mwenzangu kifo, lakini ndio itakuwa suluhisho la kudumu.
mkuu kupitia post zako naona una sympathize na m23. France inanufaikaje na instability ya Rwanda?Habari ndiyo hiyo majeshi ya UN yaliopo congo yanatumiwa na FRANCE ili kukamiisha agenda yake ya ku destabilize rwanda,na ndio maana wakati wote hao FDLR hawa wezi kuguswa na UN tena wako hapo kivu na wanajua maeneo yao lakini wanatumiwa na UN na mwisho wake ni kuvamia rwanda ndio mpango wa france wengine wanatumiwa tu.
Assassination ndio itakua mwisho wa amani katika maziwa makuu,kivipi?kwanza interahamwe zitashika madaraka na mapigano ya kikabila kuanza,nchi jirani zitataka kusaidia interahamwe dhidi ya watusi na ndio watusi watasambaa katika eneo hili wakishambuliwa na wao kutaka kujilinda ndio utakua mwisho wa amani in grate lakes regional.
Hawa wazungu ni watu wa ajabu sana kawaida wanaitumia UN kukamilisha agenda zao,kwa sasa hii monusco iko under france nikusema mamboyote yameachiwa france na france anachotaka ni kuleta matatizo rwanda,M23 nikikwazo kwao nilazima waiondoe njiani ili wafikie lengo lao,na tz,sa wanalijua hilo.
Habari ndiyo hiyo majeshi ya UN yaliopo congo yanatumiwa na FRANCE ili kukamiisha agenda yake ya ku destabilize rwanda,na ndio maana wakati wote hao FDLR hawa wezi kuguswa na UN tena wako hapo kivu na wanajua maeneo yao lakini wanatumiwa na UN na mwisho wake ni kuvamia rwanda ndio mpango wa france wengine wanatumiwa tu.
Sio kipigo pekee tu kwa M23, hata Kigali kwa mzee hali sio shwari huko, Jamaa anachimba mahandaki tu huku anaharisha tu. Unacheza na Jei-wii?
mkuu kupitia post zako naona una sympathize na m23. France inanufaikaje na instability ya Rwanda?
let say m23 wanavyokuwa pushed out na kuelekea rwanda au uganda serikali za rwanda huwapokea kwa mitindo gani?maana kama serikali za rwanda zingekuwa haziusiki na m23 ingepaswa waonwe kama wavamizi na watu wabaya ambao pia ni hatari kwa usalama wa rwanda/uganda,je hili likoje?
mzee kabila hakua anataka majadiliano kabisa ila kwa sababu ya mtutu ndio alikubali kwenda kampala,na hii leo wanasema hakuna haja ya kuongea na m23 wakijidanganya eti imekwisha,hebu imagine askari wote wa m23 wapo na silaha zao zote wanazo na wako ndani ya congo eti wameshinda?kuhusu kuongea na FDLR hilo haliwezekani kwani wao wanashutumiwa kwa mauaji ya kimbali wanatakiwa kufikishwa mahakamani sio kukaa nao hawa nitofauti na m23 hawa niwatu walipigania nchi ya congo na wanadai haki yao kama walivyo sikilizana na kabila hapo mbeleni,kinacho takiwa tz ikishirikiana na UN wawa kamate hao FDLR na kuwapeleka mahakamani badala ya kuilaumu rwanda.
Hizo propaganda zenu tumeshazizoea. FDLR sio tatizo hapo na hawajawahi kuwa tatizo ndani ya DRC, wao wako uhamishoni kama ambavyo RPA/RPF was in Uganda miaka ya 90. And why would FRANCE want to destabilize Rwanda? what for?
Basi kama Kabila amelazimishwa kuongea na M23 Kwa mtutu wa Bunduki...basi inabidi kagame pia alzimishwe kwa mtutu wa Bunduki...no way.....Kwa sababu hao FDLR ni watu wa Rwanda...mnataka waende wapi? wakawe mizigo kwenye nchi ya nani? hao ni watu wa kwenu...Ongeeni nao...wale wanaohusika na mauaji ya 1994 Wapelekwe mahakamani.....lakini hayo yote yanaweza kukubaliwa unapofungua njia ya majadiliano....Hujui kuwa FDLR pia wanapigania nchi yao Rwanda kama ilivyo kwa M23? Inatakiwa ifike wakati ukweli unaouma usemwe.....Suluhisho la kudumu la amani ya maziwa makuu ni meza ya mazungumzo....PK akae na wahutu FDLR wakutanishwe hata kule Zimbabwe...waongee......kwa sababu population ya wahutu waliokimbilia Congo ni kubwa...wengine wamezaliwa huko...wengine walikimbia vita....Hao wana haki na nchi yao ya Rwanda...why waonekane unwanted? Genocide ilikua ni matokeo ya disatisfaction za muda mrefu,Pande zote mbili...watusi na wahutu zina contribution yake kuelekea kwenye hio Genocide...Watusi na wahutu wengi walikufa kwenye hiyo vita..............PK inabidi akubali majadiliano...OTherwise mtutu utatumika kumleta kwenye meza ya mazungumzo kama ilivyokuwa kwa kabila......Kumbuka hata Leo USA wanaongea na Taliban ambao wali wa brand kama kikundi cha kigaidi...Who are you Rwandan Tutsis u dont want to talk?