Wewe ndio mwanamke anaye washwa kwanza hili swali sikulielekeza kwako,kingine nimesema TZ,SA,UN na FRDC wanashirikiana kuipiga m23 sio rwanda,pole sana wewe tatizo lako hii vita unafikiri inaelekezwa rwanda au unafikiri m23 ni rwanda.
acha kuwa kigeugeu we si umesema UN inashirikiana na FDRL? Unaposema M23 basi unazungumzia Rwanda.