weka bayana kidogoPole ndugu, usicho kijua ni usiku wa kiza,
wabongo wapo huko sikunyingi na wana bunya kama kawa,
na hata RIZ1 unaweza kashafika huko, unafikiari makamu wa Raisi kw anini alikufa Ghafla alipokuja Kabila wakti ule?
Unajua kuwa kuna makataba wa SHELI kuchimba Mafuta Ziwa tanganyika?
sasa watachimba vipi kama hakuna amani Congo.
tuna historia nzuri iliyotukuka kijeshi ambayo haijafikiwa na taifa lolote la kiafrika ! Tuliivamia Uganda na kumtimua kama mbwa mwizi rais wa nchi hiyo, tulikomesha uasi wa karibia miaka 2 wa kanali alieasi huko comoro, kamwulize mreno ni nchi gani yenye jeshi imara africa atakuambia vijana wa mwalimu kwa kwata tulilompigisha hapo Angola na Msumbiji, nenda kawaulize NIGERIA kwata tulilo wapigisha wakati wa vita ya Biafra kwa muda wa miaka minne, kamuulize taratibu mumeo kagame na museveni moto wanaoupata hapo DRC kupitia millitary wing yao ya m 23. Kiujumla kijeshi rwanda na uganda ni wachumba tu! mwanaume yeyote rijali ni lazima awe na msimamo. Time will tell
Wewe ni mfuasi wa Generali Makenga Sultan au Bosco Ntaganda?
Mbona povu linakutoka bure unafikia hata kuniambia vita ya kwanza ya dunia? pole sana mambo yamabadilika sikuhizi si biafra we jaribu hata kiduchu radi ikuwakie.
Pole ndugu, usicho kijua ni usiku wa kiza,
wabongo wapo huko sikunyingi na wana bunya kama kawa,
na hata RIZ1 unaweza kashafika huko, unafikiari makamu wa Raisi kw anini alikufa Ghafla alipokuja Kabila wakti ule?
Unajua kuwa kuna makataba wa SHELI kuchimba Mafuta Ziwa tanganyika?
sasa watachimba vipi kama hakuna amani Congo.
Pole ndugu, usicho kijua ni usiku wa kiza,
wabongo wapo huko sikunyingi na wana bunya kama kawa,
na hata RIZ1 unaweza kashafika huko, unafikiari makamu wa Raisi kw anini alikufa Ghafla alipokuja Kabila wakti ule?
Unajua kuwa kuna makataba wa SHELI kuchimba Mafuta Ziwa tanganyika?
sasa watachimba vipi kama hakuna amani Congo.
Hivi hawa jamaa wa Kigali na Kampala wanadhani dunia kama chumba chao vile, kwamba wakiamua kufanya mambo yao chumbani then no one will know whether pay attention!Eti wakiingiza vikosi vyao, vita vitafika mpaka Kinshasa, wameshasahau kwamba hata Marekani imeondoa misaada ya kijeshi kwa Rwanda kutokana na issue ya M23. By the way, kwanini mtu awe na hasira na aje na mawazo ya namna hii kwa kufurushwa kwa M23 kwenye nchi ambayo si yao kama hana interests zake huko? Nyie watu, mnatumiaje vifo vya watu kujinufaisha nyie? Sio lazima muwe na Dhahabu, Almasi, Rwandanite, au whatever form of resources ili kuendelea. Ziko Nchi kibao zimeendelea huku zikiwa hazina resources za kutosha so better kuheshimu maisha ya watu waishi kwa amani katika nchi zao. Ni wazi sasa muwisho wa PK umefika, nasema umefika tena umekaribia sana. Watch out
Wanamgambo wa Intarahamwe ni adui za Kagame ni wakimbizi wa vita kama wakimbizi wengine, sheria gani inasema wawindwe na kuuliwa tena katika ardhi ya Congo, tunazuia genecide (1994) ili kufanya genocide nyingine dhidi ya Wahutu wa FDRL.
naomba mungu sana waikaribie kongo kwa kisingizio chochote kile nafikiri rwanda, uganda na washirika wao itakuwa ni historia, naamini hawana ubavu wanayajua madhaifu yao mengi katika medani za vita! karibuni
Hapana sijapotea wala sitegemei kupotea, ukweli ninasimamia yale ninayoyaamini ni ya ukweli kwa HOJA. Hapa usinielewe vibaya, hoja ya MUKAMASIMBA ni kuwa M23 walikuwa wanawalinda Watusi hapa DRC (GOMA). Nikamweleza kuwa hata hao watusi waliporwa na kunyanyaswa na M23 mwaka jana. Tena hawataki kusikia kitu kinachoitwa M23 hapa GOMA. Juzi wamechanga karibu dola 16,000 kusaidia jeshi kupambana na M23. Wangechanga vipi kusaidia kuuawa kwa walinzi wao? Ndiyo maana nimeweka angalizo kuwa tuone sasa nani atawalinda hao Watusi wa GOMA baada ya M23?. Sijabadirika kaka.
Mkuu WHITEMAN, Amekataa kuwa yeye siyo mtusi.
Hapo joka kuu umesema kama msomi,nakubaliana na wewe 100% lakini kuna watu wamekuja kwa agenda zao zingine wakijifunika mwamvuli wa UN,ambo hawataki M23 kabisaaa,tena M23 kwao ni kajisababu tu,lakini nia yao ni kuishambulia rwanda,sasa M23 kuingia porini imeharibu plan yao.MUKAMASIMBA,
..nadhani madai ya m23 kupewa blanket amnesty ndiyo yamekwamisha mazungumzo ya amani Kampala.
..m23 wamepewa fursa ya kuwa chama cha siasa kwa msingi huo hawana sababu yoyote ile ya kuendelea na vita.
..vilevile jinsi wanavyopigana na UN ndivyo wanavyojiweka ktk nafasi ngumu zaidi ya kukubalika ktk jumuiya ya kimataifa.
Mkuu sijakuambia MONUSCO wanachimba madini.
Kuna habari kila siku tunasoma kuwa MONUSCO kazi yao ni kupora madini na kuuza ughaibuni na wala siyo kuwalinda raia Congo.
Hawa watusi wanapokea msaada kutoka Rwanda na Uganda, eti sasa mazungumzo ya kuleta amani hufanyika Kampala chini ya usimamizi wa Kaguta Museveni! Ni kichekesho.
MUKAMASIMBA
Vipi hii kitu ?
Official Communiqué No. 063/M23/2013
Management Movement of March 23, denounces the strategy used by the Congolese government in the city of KIWANJA to infiltrate consisting of its military allies FDLR and Mai-May All dressed in civilian clothes to cause fighting with the intention of getting her for dead civilians killed by the M23 and justify, once again, the intervention of the Special Brigade of the United Nations against our soldiers.
For this time this strategy successful to GOMA, will not be reprinted KIWANJA because our movement has decided to leave the city and leave the safe management of MONUSCO forces.
Our Movement warns government forces and their allies that it will not tolerate a new military business from them on the positions held by our troops in anywhere else that would force us to change the defensive option that we imposed until now. And if mediation dialogue did not get an immediate cessation of hostilities for the resumption of talks in Kampala, our Movement would be obliged to withdraw its delegates in Kampala and organize against-scale offensive against all enemy positions.
Done at Bunagana, October 27, 2013
The Head of the Department of Communication and Media
Amani Kabasha
Mkuu sijakuambia MONUSCO wanachimba madini.
Kuna habari kila siku tunasoma kuwa MONUSCO kazi yao ni kupora madini na kuuza ughaibuni na wala siyo kuwalinda raia Congo.