MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
Usijidanganye huo ni mtego wasaini waweke silaha chini, wakifika drc, wote wanapotezwa. Wewe shangilia tu, ni bora wabaki hapo hapo kampala kwa bosi wao.
kwenye milima yote ile Bunagana, Ruchuri, kabla ya kufika mlima mbuzi ni usa walifanya kazi eh!Mbona mnajipa ushindi wakati hii vita imemalizwa na USA? wao ndio wameimaliza.
kwenye milima yote ile Bunagana, Ruchuri, kabla ya kufika mlima mbuzi ni usa walifanya kazi eh!
Ni sawa. Wametulia Kampala wanakula kuku kwa mabwana zao.Mbona wametulia kampala wanakula kuku tu,wanasubiri kabila asaini,lakini huoni kama M23 wameshinda inawezekanaje kusaini mkataba na aliyeshindwa?
Subirini mtapata habari kamili kilichowapata JWTZ katika uwanja wa mapambano,mbona maneno mengi kama mnapumuliwa kisogoni?
Muulize Makenga kule Kampala aliko kimbilia ni kwa bwana wake? Walikuwa wanabaka wacongomani na sasa kule wanapumuliwa kisogoni?
Wakiona vipi basi wote warudi Rwanda kwenye roots zao, wabanane huko huko au wajifunze uzazi wa majira. Nayasema haya kutokana na nyinyi kulalamika ovyo ovyo - kila siku mnadai mnaonewa, cha ajabu hamjawahi hata siku moja kukaa chini mkajichunguza tabia zenu 2wards binadamu wenzenu zikoje, mkifanikiwa kusahihisha/jirekebisha tabia zenu nakuhakikishia hakuna atakaye wanyoshea kidole. Kumbuka hakuna binadamu yoyote duniani ambaye anataka kuishi karibu na mtu ambaye yuko arrogant by default and highly unpredictable.Unafikiri M23 ni watoto?Wanawajua sana FRDC mchezo wao,kwani sio mara ya kwanza kuua askari wa kitusi ndani ya jeshi la congo,ndio maana walikataa kua deployed sehemu nyingine wanataka wabaki kivu na mpango ndio huo,mbona mpango wa kuwaua unajulikana? hilo halita wezekana si wajinga kama ufikiliavyo.
Mkamasimba yaani mpaka sasa unaendelea na propaganda zako zisizo na tija, wapi uliwahi kusikia majeshi yaliyo kuwa trained kwenye Colleges za kijeshi za kuaminika wanajingiza katika biashara ya kubaka wanawake na watoto? Ragtag jeshi kama M23 ndio wenye tabia kama hizo, mtu uwezi kutegemea binadamu anaye jifunza porini jinsi ya kutumia silaha ukategemea atakuwa na nidhamu. Angalia hali ya kiafya ya Kammanda wa M23 aliye kimbilia Uganda - unaionaje, tumelezwa humu kwamba alikuwa na tabia ya kulazimisha wanawake kufanya mambo ya kishenzi, je kawahathili wakina mama wangapi muda wote alio kuwa anapigana vita vya kuvizia, yaani anawahathili wa Congoman na vita vya silaha na vita vya kibailojia vya kueneza magonjwa hatarishi!!!Mbona kazi ya kubaka yenu,hauja sikia kinacho endekea bunagana sasa? yani kubaka kwenda mbele,subiri hiyo scandle itaibuka hivi karibuni.
kabwana haka kanataka katawale EA wakati nikaalikwa tu.
Unafikiri M23 ni watoto?Wanawajua sana FRDC mchezo wao,kwani sio mara ya kwanza kuua askari wa kitusi ndani ya jeshi la congo,ndio maana walikataa kua deployed sehemu nyingine wanataka wabaki kivu na mpango ndio huo,mbona mpango wa kuwaua unajulikana? hilo halita wezekana si wajinga kama ufikiliavyo.
mkamasimba yaani mpaka sasa unaendelea na propaganda zako zisizo na tija, wapi uliwahi kusikia majeshi yaliyo kuwa trained kwenye colleges za kijeshi za kuaminika wanajingiza katika biashara ya kubaka wanawake na watoto? Ragtag jeshi kama m23 ndio wenye tabia kama hizo, mtu uwezi kutegemea binadamu anaye jifunza porini jinsi ya kutumia silaha ukategemea atakuwa na nidhamu. Angalia hali ya kiafya ya kammanda wa m23 aliye kimbilia uganda - unaionaje, tumelezwa humu kwamba alikuwa na tabia ya kulazimisha wanawake kufanya mambo ya kishenzi, je kawahathili wakina mama wangapi muda wote alio kuwa anapigana vita vya kuvizia, yaani anawahathili wa congoman na vita vya silaha na vita vya kibailojia vya kueneza magonjwa hatarishi!!!
muonee huruma bure, anafikiri askari wa monusco ni sawa na hao mgambo wa rwnda wenye uchu wa damu za watu na ngono.
mtaunda vikundi vingi sana vya uasi lakini kwa tanzania ni break! Mwisho wenu wa kubaka na kupora mali ya drc. Bado fldr wawashughulikie
tukiwa na resources ni za watanzania, na si za mamako, mshenzi wewe! tamaa na mali za wengine tu