Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Naomba nieleze kwa uwazi zaidi kuwa sijawahi kusikia hata siku moja eti wanajeshi wa MONUSCO wanabaka au wanafanya vitendo vya kiharifu dhidi ya raia. Bila shaka wana sheria kali kidogo. Hayo tumeyashuhudia kwa M23 na hata FARDC.

muonee huruma bure, anafikiri askari wa monusco ni sawa na hao mgambo wa rwnda wenye uchu wa damu za watu na ngono.
 
Wapendaamani wote wangependa DRC iwe na amani kwa njia yoyote ile. Mimi siyo muumini wa vita maana nimeona na ninajua vita inafanya nini. Nilipendelea sana haya mambo yasifikie huko. Tamko la serikali ya DRC lionaonesha wazi kuwa na nia ya kumaliza mgogoro huo.

In this respect, there is to be welcomed that despite the provocations of extremists phalanx of M23 which led to the recent clashes last week, some harmonization of views is reached in Kampala on 11 clauses that will the Kampala Declaration ( we prefer this term to the agreement since you can not sign an agreement with something that has ceased to exist, because having self dissolved ) to conclude talks between Kampala government and now former armed movement M23 ​​. We hope with all my heart that the Kampala Declaration will be signed as soon as possible to give a chance and more time for disarmament actions of other negative forces that affect the rehabilitation of North and South Kivu.

 
Sidhani kama Serikali ya DRC itakubali wabaki KIVU. Katika masuala matatu ambayo serikali inataka yatekelezwe na M23 ni :

1. Amnesty itatolewa for indivual basis na siyo kwa group. Bila sahka haya wana point, huwezi ukatoa amnesty kwa baadhi ya viongozi wa M23 na askari wao walio katika UN sanction list na wengine wamefanya makosa makubwa ya kivita dhidi ya raia.


2. Intergration pia ni kwa individual basis na siyo kwa group. Hapa pia wana point, huwezi uka Intergrate katika FARDC na askari wengine kutoka Rwanda, Uganda, watoto nk.


3. Wale watakaoonekana wana sifa za kuwa intergrated katika FARDC watasambazwa katika maeneo mbalimbali siyo kubakia GOMA. Hapa napo kwa matazamo wangu wana point. FARDC ni jeshi la kitaifa, hivyo unaweza kufanyia kazi sehemu yoyote ile. Pili hawataki kurudia makosa.


 
wanaudhi sana ndugu yangu, lakini afadhali watanzania wengi na ulimwengu kwa ujumla tunaanza kuelewa vizuri tabia mbaya za watusi

Speak for yourself. Watanzania wengi tunapendana, tumeoana na tumezaa nao sio hapa wala tanzania. Ni wewe tu mwenye chuki itakayokutafuna mpaka siku ya kufa ndie mwenye kupiga makelele. Matatizo yote mliyonayo hapo kwenu sijawahi kukuona ukitoa comment yoyote. So, najua wanyarwanda walikufanyizia kwa hiyo unatafuta sympathy kwa watanzania ili wakusaidie urudi kwenu.
 

watanzania tumekuzwa kuwa wamoja na hii ndiyo silaha yetu kubwa ya ushindi dhidi ya wapinga amani, wole wako unayejivunia utusi na si ubinadamu.
 
Niliahidi kuweka picha lakini kama vile nashindwa. Nielekezwe namna ya ku- attach picha hapa.
 
Kaka MUKAMASIMBA, haya tena kwangu ni mapya. USA ndo mamemaliza vita? Hakika ukiendelea kuwa mbishi hata kwa mambo ya wazi basi sidhani kama unafaa kuendelea kujadiliana na wana JF humu. M23 walikataa kusaini kule Kampala wakataka kuanzisha vita ili kuilazimisha Serikali itii matakwa yao. Mchezo huo wamekuwa wakiutumia mara kwa mara. Hapo ndiyo ukawa mwanzo wa vita na matokeo yake wakasambaratishwa wao. Toka vita ianze sijawahi kusikia habari ya USA. Kwanza sijawahi kuwaona USA hapa DRC toka nikae huku.

kwenye milima yote ile Bunagana, Ruchuri, kabla ya kufika mlima mbuzi ni usa walifanya kazi eh!
 
Hili ni janga,kwa watu waofikilia kuangamiza watusi msahau kabisa "watajaribu lakini hawatafaulu"huwezi mchukia binadamu mwenzako mungu akupe support kwa vyovyote vile atakufanyia kitu ambacho kitakudhalilisha mbele ya yule unaye chukia.

Tutsi ni kitu cha kukifuta duniani. Kumbe warwanda walikuwa wako sahihi kabisa
 

Ni watu wasioweza kuishi na binadamu wengine tofauti na wao.
Cha msingi warudishwe back to their origin wakae wenyewe waishi kwa amani kwa sababu wameshindwa kuishi na watu wa tofauti na wao.
Kwahiyo ili amani iwepo wakaishi wenyewe huko Rwanda kwenye nchi yao nzuuuri.
 
wanaudhi sana ndugu yangu, lakini afadhali watanzania wengi na ulimwengu kwa ujumla tunaanza kuelewa vizuri tabia mbaya za watusi

We mtanzania wa wapi?nilicho gundua watanzania halisi wala hawa neno lakini hii miterahamwe inatokwa povu ili wasiishitukie pole.
 

Utaelewaje wakati wewe mfanyabiashara tu?we endelea kuzurura huko congo angalia sana usije chomolewa tukakosa habari.
 
Huyo mkamasimba atakuwa analipwa hela ndefu sana kaa hizi propaganda, jamaa hachoki kujibu lo! Ana roho ngumu ama kweli huyu ni mtutsi halisi tena atakuwa kazaliwa goma katkati ya mapambano, huyu anatakiwa kupewa tuzo ya mtu wa propaganda wa mwaka aa jf.
 
We mtanzania wa wapi?nilicho gundua watanzania halisi wala hawa neno lakini hii miterahamwe inatokwa povu ili wasiishitukie pole.

watanzania wanapatikana kwa wingi TANZANIA, nami nipo TANZANIA. Utaimba sana interahamwe lakini muhimu ni lazima watusi muelewe hakuna binadamu aliyebora zaidi mbele ya muumba wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…