Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Mi nasema siku zote kuwa hawa M23 wanakuwa na jeuri kutokana na kuungwa mkono na Uganda na Rwanda. Kama kweli kabila ameongeza nguvu jeshi lake basi awapige Rwanda toka mpakani mpaka Kigali na ikiwezekana wamkamate Kagame na kumuua ili iwe fundisho to other perpetrators in the region. Ukanda wetu hauwezi kuwa na amani tukiwa na Museveni na Kagame hata siku moja, hapa kilichobaki ni kumuua tu Kagame na kuwapa wengine mafunzo.