Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Naweza kupinga na wewe kiasi kutokana na hoja ya M23. Nasikia wanataka kukalia hapa Rutchuru na kugeuza ni jimbo lao. Wamekuwa wakitukata kodi kila tukipita maeneo hayo. Kuna serikali kabisa na Mawaziri wake. Hakuna nchi inayoweza kukubali hali hiyo. Mazungumzo ndiyo njia bora ya kutatua mgogoro huu ila bila shaka yawe sambamba na hadhi ya serikali kiutwala.

Thubutu! kama unataka ukanda huu wote uwake moto jaribu kugusa pk na M7,nafikiri ndio utakua mwisho wa amani katika afrika mashariki na kati,kama unataka amani ya kudumu sikilizeni matatizo ya M23 nakuyatatua kwani wao wanataka kusikilizwa bila hivyo nawapa pole wote wanaofikiria kuondoa watu fulani kwamba amani itapatikana.
 
Miji katibu yote ya Munigi, Kibati, Kibumba, Kiwanja, Rumangabo imechukuliwa. M23 Wanakadiriwa kufikia 2000.

Mkuu ...nadhani hujanielewa...namaanisha M23 kwa sasa wanashikilia miji mingapi? and kikundi cha watu 2000 tu kwa nini kiwasumbue watu kiasi hiki.
 
Haya ni ya kwetu wabongo/watz wewe umeingia humu kufanya nini?

mwambie huyo poyoyo anayefikiria kwa kutumia ma...s..a..bu..ri ya kagame ! mkiwaguza m23 mtakiona tumewachakaza mpaka wamesahau sahani na ugali nyuma wakikimbia kichapo cha JWTZ! TANZANIA ni zaidi ya chochote EA
 
Miji iliyobaki kwa mujibu wa taarifa za leo ni Bunagana na mji mdogo sana (jina limenitoka)[. Wanaonekana ni kikundi kidogo ila wanasaidiwa na nchi jirani hasa Rwanda ndiyo maaana wamekuwa na nguvu kiasi hiki.

QUOTE=Freeland;7682270]Mkuu ...nadhani hujanielewa...namaanisha M23 kwa sasa wanashikilia miji mingapi? and kikundi cha watu 2000 tu kwa nini kiwasumbue watu kiasi hiki.[/QUOTE]
 
swali langu ni kuwa kuna rafik yangu ni mcongo lakin ana hasiri ya kinyarwanda na lugha wanayoongea ni kama kinyarwanda.

uko walikuwa wanaishi wanatumia lugha ya kiswahili, kilingala, french na hiyo lugha.

swali ni ili wao walikuwa wanauliwa na kuvamiwa kwa sababu jamii yao imefanana na wanyarwanda. Je ni kikundi gani kilichousika?

je huoni m23 ulikuwa mkomboz kwao?

uyo rafik yangu walikimbilia uganda. na dada yake aliolewa tz
 
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi wa matukio huko DRC...

Mkuu kulikuwa na katazo la kuandika habari za mapigano dhidi ya M23 huko DRC nadhani lilitolewa na jeshi letu...sasa kwenye majibu yako umegusa maendeleo ya mapigano hayo...swali: Je. katazo hilo limeondolewa na jeshi letu ama umeamua utotii katazo hilo..?

Rejea link hii>>>JWTZ YATOA TAMKO ZITO,MARUFUKU KUANDIKA HABARI ZA UCHOCHEZI KUHUSU JWTZ NA M23 ~ LEWIS MBONDE BLOG

Jina lako linakuwakilisha, ndio maana ni rahisi kukupuuza.
Anachoeleza jamaa sio uchochezi ila simulizi na historia ya vita inayoendelea.
 
Madini yanayopatikana huku ni Gold, Coltan, Cobalt, Diamond na mengine mengi kama aina 10 hivi. Kuna baadhi ya makundi ya waasi yanayomiliki migodi na mengine yanatoa ulinzi wa uchimbaji wa madini hayo na usafirishaji. Kumbuka kuporwa huku ni jambo la kawaida kutokana na kuzagaa ovyo kwa silaha. Makampuni ya uchimbaji yapo tena mengi tu hasa huko Kisangani (Ilipo timu ya TP Mazembe). Huko kuna makampuni mengi sana halali ya uchimbaji.

Ni madini gani yanapatikana hapo congo,pia hao waasi wanamigodi yao au vipi? Pia kwani hakuna makampuni ya uchimbaji ambayo yanachimba huko?
 
Madini yanayopatikana huku ni Gold, Coltan, Cobalt, Diamond na mengine mengi kama aina 10 hivi. Kuna baadhi ya makundi ya waasi yanayomiliki migodi na mengine yanatoa ulinzi wa uchimbaji wa madini hayo na usafirishaji. Kumbuka kuporwa huku ni jambo la kawaida kutokana na kuzagaa ovyo kwa silaha. Makampuni ya uchimbaji yapo tena mengi tu hasa huko Kisangani (Ilipo timu ya TP Mazembe). Huko kuna makampuni mengi sana halali ya uchimbaji.

Asante mkuu,sasa kwa nyie wanunuzi wa hayo madini usalama wenu upoje? Pia vipi bei zake ni za chini au zipo kama soko la madini lilivyo.pia kwa nyie wageni wenyeji wanawachukuliaje, je mnakua hamna wakati mgumu kimaisha kweli.
 
We mbwa mi huwa unanichefua sana kwa majibu yako. Kenge we!!

Thubutu! kama unataka ukanda huu wote uwake moto jaribu kugusa pk na M7,nafikiri ndio utakua mwisho wa amani katika afrika mashariki na kati,kama unataka amani ya kudumu sikilizeni matatizo ya M23 nakuyatatua kwani wao wanataka kusikilizwa bila hivyo nawapa pole wote wanaofikiria kuondoa watu fulani kwamba amani itapatikana.

Kabila ameshasema hakuna mjadala,hakuna maelewano katika viti hivi,M23 wajisalimishe au watapata kichapo
MUKAMASIMBA mkuu nchi za SADC ni tajiri kuliko Ryanda na Uganda ukumbuke vile vile USA iko upande wa jeshi la SADC likiongozwa na Tanzania,sasa nambie huyo kagame ana ubavu gani wa kupigana na nchi kama Zimbabwe,Angola,Tanzania,South Africa.......ambazo zinasaidiwa na USA ki hali na mali

I can predict the beginning of the end of MR tutsi Kagame 🙂
 
Ni kweli kabisa hayo yalikuwa yanatokea kwasababu kuna Watusi/Wahutu wa Congo pia. Ilipotokea chuki kati ya nchi hizi mbili, kulikuwa na mauaji yaliyowalenga jamaa wote wa Kitusi/Hutu.

swali langu ni kuwa kuna rafik yangu ni mcongo lakin ana hasiri ya kinyarwanda na lugha wanayoongea ni kama kinyarwanda.

uko walikuwa wanaishi wanatumia lugha ya kiswahili, kilingala, french na hiyo lugha.

swali ni ili wao walikuwa wanauliwa na kuvamiwa kwa sababu jamii yao imefanana na wanyarwanda. Je ni kikundi gani kilichousika?

je huoni m23 ulikuwa mkomboz kwao?

uyo rafik yangu walikimbilia uganda. na dada yake aliolewa tz
 
Asante mkuu,sasa kwa nyie wanunuzi wa hayo madini usalama wenu upoje? Pia vipi bei zake ni za chini au zipo kama soko la madini lilivyo.pia kwa nyie wageni wenyeji wanawachukuliaje, je mnakua hamna wakati mgumu kimaisha kweli.

Ukweli usalama wakati mwingine ni mdogo. Tunachukua taadhari kubwa na wakati mwingine tuna "Risk" unajua tena tumbo linasumbua kaka. Bei zake ni chini kiasi ukilinganisha na bei za masoko mengine kwasababu mengi yanachimbwa na wachimbaji wadogowadogo. Hawa jamaa hasa kwa sisi WaTZ tuko nao vizuri sana. Unajua huku GOMA lugha ni kiswahili mtindo mmjoa ingawa kishwahili chao kipo tofauti kiasi na cha TZ. Kimaisha wakati mwingine hali ni ngumu lakini ndiyo utafutaji kaka. Mfano tokea tarehe 25 mapigano yalivyoaanza, hatujafungua vijiwe vyetu. Leo hii baada ya kutangaziwa kuwa jamaa wapo Bunagana ndiyo at least watu wamefungua.
 
Kwenye Account ya Facebook M23 wamesema wanahamia Msituni, na wanajihami kuwa kwenye hiyo vita ya msituni hakuna majeshi yatakayowafata na kuwapiga.
 
kuna watu wako humu kama washabiki tu,sasa watusi wame kujaje katika hii thread? Wewe weka point hapa kwani mtusi hawezi kutoa mawazo yake? Mbona mnawafanya watusi kasio vile binadamu,mwaka huu mtawaongea sana na kuwachukia.

lisemwalo sana lipo na kama halipo lipo njiani laja! Kuna jamii nyingi sana afrika tena zenye sifa mbalimbali nzuri, watu mashuhuri na sifa mbaya tena za kutisha kuliko za watusi, lakini kwanini watusi? Ni dalili ya uovu wao uliopitiza dhidi ya ubinadamu!
 
Back
Top Bottom