mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 728
We mbwa mi huwa unanichefua sana kwa majibu yako. Kenge we!!
mkuu atakutia kisirani huyo, anatumia ma..s..a..bu..ri ya kagame kufikiria hebu chukulia picha hapo si unamjibu mwehu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mbwa mi huwa unanichefua sana kwa majibu yako. Kenge we!!
lisemwalo sana lipo na kama halipo lipo njiani laja! Kuna jamii nyingi sana afrika tena zenye sifa mbalimbali nzuri na za kutisha pia, lakini kwanini watusi? Ni dalili ya uovu wao
Kwenye Account ya Facebook M23 wamesema wanahamia Msituni, na wanajihami kuwa kwenye hiyo vita ya msituni hakuna majeshi yatakayowafata na kuwapiga.
tatizo lako wewe ni mbaguzi na hauta geuza chochote wakati wote ukifikiria kwamba ku eliminate watutsi ndio itakua dawa ya drc,hata wahutu walifikiria hivyo lakini hawakufika popote,aliye simikwa na mwenyezi mungu huwezi kumu eliminate.
Nadhani waligawana majukumu, South walileta kikosi cha anga, Siis ni ardhini na malawi nadhani ni cha Mizinga.
Kabila ameshasema hakuna mjadala,hakuna maelewano katika viti hivi,M23 wajisalimishe au watapata kichapo
MUKAMASIMBA mkuu nchi za SADC ni tajiri kuliko Ryanda na Uganda ukumbuke vile vile USA iko upande wa jeshi la SADC likiongozwa na Tanzania,sasa nambie huyo kagame ana ubavu gani wa kupigana na nchi kama Zimbabwe,Angola,Tanzania,South Africa.......ambazo zinasaidiwa na USA ki hali na mali
I can predict the beginning of the end of MR tutsi Kagame 🙂
Mkuu umesema sawa,sijaona hata askari mmoja wa Malawi kwenye mchakato huu. Nawaona Jwtz tu. Labda Malawi wapo kwenye brass bands!Malawi ni bora angebaki, Kuanzia Askari wa ardhini mpaka wa Mizinga ni JWTZ ila anga ndo S.AFRICA. Kuna Clip moja inaonesha JWTZ wakiweka mizinga tayari kwa ajili ya mapambo, na malawi kachelewa sana. Hata kwenye mapambano ya mwanzo bila shaka hakuwepo.
Mkuu umesema aawa,sijaona hata askari mmoja wa Malawi kwenye mchakato huu. Nawaona Jwtz tu. Labda Malawi wapo kwenye brass bands!
Tatizo lako wewe ni mbaguzi na hauta geuza chochote wakati wote ukifikiria kwamba ku eliminate watutsi ndio itakua dawa ya DRC,hata wahutu walifikiria hivyo lakini hawakufika popote,aliye simikwa na mwenyezi mungu huwezi kumu eliminate.
wangejua JWTZ NI WAKALI WA MSITUNI WASINGEJARIBU HILO, LAKINI NAAMINI WAMERUDI KATIKA MILIMA YA RWANDA KULIMA VIAZI KAMA ALIVYO TANABAISHA KAGAME
Mkuu umesema sawa,sijaona hata askari mmoja wa Malawi kwenye mchakato huu. Nawaona Jwtz tu. Labda Malawi wapo kwenye brass bands!
SADC wachovu hawawezi kitu,nilicho kisema East afrika hakuta kalika.na tatizo nikwamba watu wengi wanamtazamo kwamba watusi should be eliminated ndio maana na sema hakuta kalika bora watu wakae chini waongee bila hivyo hata amerika ameshindwa kuleta amani irak,Afghanistan na lyibia.
Hili Jeshi la Watanzania linapaswa kupewa heshima yake.
Watutsi wakifa wote itasaidia kwa kiasi kikubwa Congo kutulia.
Watutsi wakifa wote itasaidia kwa kiasi kikubwa Congo kutulia.
Nimesikia Angola wameombwa na UN kupitia Mary Robinson wapeleke vijana wakasaidie kusafisha. Hii ipo kwenye AllAfrica.com waki i quote ANGOP. Ni kweli au? Kama hii ni kweli mbona East DRC kutasafishwa!
Sijajua hilo wazo la kuwaondoa Watusi wote ni ajenda ya nani kwani Watusi wapo TZ, Burundi, DRC na hapa DRC. Sidhani kama dunia hii kuna watu wanoweza kuwa na ajenda hii.
Sina uhakika na hilo ngoja nifuatilie katika mtandao huo. But believe me, hili jeshi la sasa linaloundwa na TZ, SA na Malawi ukweli litamaliza utata wote huku DRC. Najua na hata wananchi wa DRC wanakumbuka na kuelewa ukali wa Angola katika vita ya DRC huko nyuma. Wakija kazi itakuwa kwissa kabisa.
Unahabari kwamba tatizo la watusi congo lilianza juzi 1994,baada ya wahutu kuingia kongo,lakini wakati wote baada ya uhuru hapajawahi kua amani na kuna vikundi zaidi ya arobaini,na sababu M23 inasemwa sana ni kwasababu ilianzishwa na watusi lakini sio wao wanaoleta matatizo kongo hata huyo kabila aliwekwa hapo alipo na watusi.