Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri hujajua sababu m23 walihama maeneo yao,katika mapambano yaliyo tokea kibumba walikufa askari wengi wa FRDC pamoja na wasindikizaji wao na kwa sababu hiyo jamaa walikuja na hasira nyingi sana,m23 ikabidi iwapishe lakini unajua inavyo uma kupigwa ukiwa na nguvu halafu unakuja na hasira unamkosa imagine,sasa ndio kubadili mtindo wa mapigano hivi wameamua kua offensive watakua wakishambulia badala ya kungojea kushambuliwa kwani hawa UN wanasilaha kali nafikiri huyo HIDER kama yuko GOMA anaweza kukupa sura ya mapigano kwa kuangalia majeruhi na maiti,vita ni kali sana sio mchezo na watu wanakufa sana.
Napata elimu mie! Nitakuwa Goma wakati wa Christmass. Hope tutakula nyama choma pamoja
Akili ndogo kama kawaida yako.. Nilidhani uko huko DRC usikie risasi zinavyorindima..
Nikikutazama unamatatizo makuu mawili ni mtu mwenye roho mbaya na tena unawivu hupendi kuona mtu mwingine akiendelea,unamchukia pk anaishi kwa mali zako?
dah ndg yangu flash...nakushukuru japo maelezo yamenifanya nikuogope kidogo,ni vema kama utani-pm ur phone namba tu japo kujuzana na ninapokuwa na maswali kwani ninawanafunz weng wanahtaj kujuzwa hapa shulen kwangu
Mbona kuna watu kinawauma sana m23 kushambuliwa,mna interest zipi na wao? ingawaje ni wazi hata wakimalizwa bado matatizo ya congo ni mlima.
hivi... wewe, unataka kusema jeshi la SA, na Tz wana take sides? what about hao Bangladesh Pakistan, na India? na je wajua Agenda ya Angola ni sawa na ya Tz na SA, kwamba serikali ya congo na watu wake waachwe waishi kwa Amani. haya matatizo mengine yanatokana na watu kuambiwa ukweliNikweli wameombwa ili waje kusaidia kuweka amani kwani wao ni neutral ukilinganisha na tz na SA,kinacho kosekana kongo ni jeshi lililo neutral na pindi likipatikana amani katika kivu itapatikana,lakini wakati wate ukiwa na majeshi yanayo fikiria ku eliminate watu fulani katika agenda yao hakuta kua na amani congo hata ukileta amerika haita wezekana.
nakubali wahutu waliingia congo na kuanza kuua watusi na inawezekana palikua na revange,na nauliza kwanini makabila mengine ya congo(rai mutomboki) yanapambana na wahutu wa rwanda?.
Na mimi nikuulize mbona kunawatu wanafurahia wakisikia m23 wamepigwa?
Nadhani mjadala utaaliwe na hoja za msingi na siyo tuhuma au kukashifiana. Tupeane elimu.
Na mimi naungana na wewe Truth Matters kuwa Angola hawezi kuwa neutral, fuatilia ni kwanini aliingia kwenye vita ya kwanza kumwondoa Mobutu, utaambiwa kuwa Maobutu alikuwa anawasaidia RENAMO na mambo mengine. Kaka ukweli kama mnapakana na nchi lazima neutrality inapotea.
Na mimi nikuulize mbona kunawatu wanafurahia wakisikia m23 wamepigwa?
akili ndogo kama kawaida yako.. Nilidhani uko huko drc usikie risasi zinavyorindima..
Hebu nikuulize muheshimiwa HIDER,unaweza kuniambia kwanini watusi wanachukiwa congo? na kwanini tz,sa,un na FARDC wanashirikiana na FDLR kupambana na M23 wakati wanajua kwamba hao jamaa ndio waliofanya mauaji ya kuangamiza rwanda? kwamtazamo wako unaona kuwaondoa M23 kutaleta amani congo?.
Watakua neutral wapi bwana hata kabla hawajaenda congo walitangaza kwamba wanaenda kuimaliza M23.
watutsi wakifa wote itasaidia kwa kiasi kikubwa congo kutulia.
mi huwa nakwambiaga ndugu yangu, mwanaume huwa anakubaligi uhalisia kutokana na ukweli ulokuwepo. Sasa wewe ndugu yangu huna sifa za kuwa mwanaume na kama we ni mwanamke basi utakuwa mwanamke mwenye kuwashwa sana na hutulii kwa bwana wako. Hivi kama un unaowasema kuwa wanawasaidia fdlr unadhani mpaka sasa wasingekuwa wamefika kigali? Unaongea pumba mpaka unakera yaani.
wanashangilia kwa sababu m23 ni kikundi kinachomiliki silaha na kuwa tishio kwa serikali halali ya DRC.wanapewa msaada na nchi jirani hivyo ni tisho kubwa sana kwa amani ya eneo la mashariki ya congo,na mpenda amani yoyote lazima ashangilie pale watu wa aina hiyo wanapoadhibiwa na kudhibitiwa,ili amani itawale.kwani m23 wakipigwa kinachokuuma ni nini?