FLASH HIDER
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 397
- 508
- Thread starter
- #781
800,00 sidhani kwani kama ni BUNAGANA basi ule mji unakdiliwa kuwa na wakai wasizidi 200,000. Pia baadhi ya raia hawakukimbia maana jana wameoneshwa kwenye TV wakishangilia sana.
Aljazira wanadai zaidi ya wakimbizi 800,000 wamekimbilia ugandaje namba hii ni sahihi ya watu waliokimbia makazi yao?(yaani mtaani hapana watu kabisa)