Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

800,00 sidhani kwani kama ni BUNAGANA basi ule mji unakdiliwa kuwa na wakai wasizidi 200,000. Pia baadhi ya raia hawakukimbia maana jana wameoneshwa kwenye TV wakishangilia sana.

Aljazira wanadai zaidi ya wakimbizi 800,000 wamekimbilia ugandaje namba hii ni sahihi ya watu waliokimbia makazi yao?(yaani mtaani hapana watu kabisa)
 
Ningependa sana nionane na huyu bwana MUKAMASIMBA

Ndiyo maana nakwambia ww jamaa una IQ ndogo sana kama ya sisimizi au ni kama MZIMU, sasa hata nafasi ya International Organization huijui. Kwani hao FIB wako frontline ni kutokana na nn? Ndio kanuni za kimataifa zinavyoendeshwa kwanza unajenga hoja ili upate approval. Bwana wako akigoma ndio watu wanapitisha resolution jengine kwa kisingizio kiitwacho R2P, then watu wanaingia uwanjani. Leo itabidi PK akuongezee posho maana umejibu kila hoja utadhani mko 100.
 
Flash Hider, Respect! Asante kwa taarifa na staha. Nimesoma post baada ya post, mwanzo mwisho, mfululizo, Masaa zaidi ya mawili na nusu. Nimeelimika. Sasa naelewa vyema kwanini tuko huko.

Salute kwa JWTZ. Makamanda. Wazee wa kazi.
 
Nimesoma comments zako zote. I have concluded kuwa wewe ni interahamwe iliyokimbilia Tanzania . You cannot deny that.

kama ndiyo conclusion yako basi wewe uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo sana!
 
JOKA KUU umetaja kitu ambacho sikukieleza mwanzoni kuhusu historia ya mgogoro wa DRC. Inashangaza, Rwanda na Uganda walivamia kweli kwa nia ya kuichukua Kinshasa eti Kabila kawaondoa wahauri wake kutoka Rwanda. Kama mtu hataki ushauri unamlazimisha nini kama siyo ajenda ya siri? Bila Wazimbabwe, Angola na Namibia (SADC) leo huenda tungekuwa hatuzungumzii hali hii. Thanks JOKA KUU

MUKAMASIMBA,

..nani atatoa fedha za ku-support mradi wa kuishambulia Rwanda?

..haya mambo ninavyoelewa mimi huwa yanaamuliwa[yanapewa baraka] na wakubwa, na nchi za Kiafrika huwa ni vibaraka/watekelezaji tu.

..kwa mfano, Mzee Kabila alipowatibua wakubwa, ndipo Rwanda na Uganda zilipopewa "dili" ya kwenda kumpindua.

..unless, unaamini kuwa Rwanda waliporuka all the way to Kitona na kujaribu kuizingira Kinshasa walikuwa na nia ya kuwasaka Interahamwe.

..kwa mtizamo wangu utawala wa Kagame bado unaheshimika kimataifa, na vilevile anakingwa na guilty ya mataifa makubwa kutokushiriki kuzuia genocide ya 1994. kwa msingi huo siyo rahisi ktk siku za karibuni kwa mataifa hayo kubariki uvamizi dhidi ya Rwanda.

..kuhusu m23, na taarifa kwamba wanakimbilia porini. Really!? This is 21 century, halafu kuna watu wanafikiria kuishi maporini?! Waathirika wakubwa wa uamuzi huo ni vijana[who form the majority of m23 fighters] ambao baadaye watashindwa kujichanganya na kupambana ktk dunia hii ya utandawazi.
 
Hakuna naweza kukujibu kwani nimekuta uko muhutu warwanda interahamwe inayo jifanya mtanzania please usinipotezee pumzi yangu.

najua ukweli unauma sana mukamasimba, endelea kuumeza taratibu tu kwani ndio utakaokuweka huru!
 
Jamani tusiyasemee ya kupigwa au kutokupigwa kwa kuangalia vitu vichache. Kisasa, uwezo Kijeshi haupimwi kwa kuangalia silaha, vifaa na uwezo wa wanajeshi wako tu. Mahusiano yako na nchi nyingine za kidunia na zinazokuzunguka, uchumi endelevu, geographical location ya nchi yako nk.

Mukammasimba vipi we jenerali wa kagame au? Naona unajiamini sana japo naipenda Rwanda na Kagame lakini siamini kama mna nguvu kiasi hicho
 
Hata mi sitaki kabisa walaaniwe watutsi wana wanawake wazuri sana, why walaaniwe? Afterall mi namkubali sana Kagame jamaa ana akili kaibadili rwanda kwa muda mfupi tu, sio kama Ccm huku bongo
kaibadili Rwanda kutokana na madini ya Congo.
 
Kuna mtu kani pm ati Flash Hider ni mtu wa pale Makumbusho geti jeusi kushoto kama unaenda mjini. Nilimkatalia,eti jamani ni kweliii! Mi sikumuamini kabisa! Hawa ni waongo,endelea kutuelimisha Flash Hider!
 
JOKA KUU umetaja kitu ambacho sikukieleza mwanzoni kuhusu historia ya mgogoro wa DRC. Inashangaza, Rwanda na Uganda walivamia kweli kwa nia ya kuichukua Kinshasa eti Kabila kawaondoa wahauri wake kutoka Rwanda. Kama mtu hataki ushauri unamlazimisha nini kama siyo ajenda ya siri? Bila Wazimbabwe, Angola na Namibia (SADC) leo huenda tungekuwa hatuzungumzii hali hii. Thanks JOKA KUU

Kwahiyo MUKAMASIMBA anatetea uwizi wa Kagame ndani ya DRC, anajua anachokifanya Kagame
 
Last edited by a moderator:
[ALEYN;7704715]Uwe unaangaliaga Taharifa ya habari Mkuu.
[ Kaaazi kwelikweli]
 
najua ukweli unauma sana mukamasimba, endelea kuumeza taratibu tu kwani ndio utakaokuweka huru

"@mukamasimba amekatishwa ugali wake jamani atafanyeje sasa"
 
800,00 sidhani kwani kama ni BUNAGANA basi ule mji unakdiliwa kuwa na wakai wasizidi 200,000. Pia baadhi ya raia hawakukimbia maana jana wameoneshwa kwenye TV wakishangilia sana.

Unaambiwa walio kimbilia uganda,wanatokea sehemu mbalimbali kwani hata ituri kuna mapigano kati ya m18 na FARDC inawezekana idadi hiyo.
 
Back
Top Bottom