Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

Waambie tu watakuwa kama Zimbabwe. Banda ya kumwondoa mzungu uchumi chali.
 
Mimeona huku kwenye mtandao watu wengi wangependa kujua kuhusu nchi za Botswana na Afrika Kusini (South Africa).

Niulize chochote nitakujibu, nimeishi huku miaka 25 sasa na naahidi nitajaribu kusaidia.
Vipi mtazamo wa wenyeji waafrika kusini kwa watanzania, je bado wanawaua?
 
Mimeona huku kwenye mtandao watu wengi wangependa kujua kuhusu nchi za Botswana na Afrika Kusini (South Africa).

Niulize chochote nitakujibu, nimeishi huku miaka 25 sasa na naahidi nitajaribu kusaidia.

Nasikia 99% ya wabongo huko DIZONGA wanauza BWIMBWI?
 
Waambie pia kodi za magari Botswana ni ndogo sana kulinganisha na Tanzania.
 
Nimeanza kukuona mtu wa hovyo.. Magufuli amesaidia nini zaidi ya kutesa watu na watu kupotezwa?
 
not easy mkuu,mambo ya madini yanasimamiwa na serikali,hiyo ndio maana ya uchumi wa kati kwa African countries
Sheri ya madini kwa hizi nchi ni kwamba chochote kilicho chini ya ardhi ni mali ya Serikali. Hakuna mtu anaruhusiwa kumiliki na ole wako upatikane nayo.
 
SA pazuri sema raia wake bwana fujo tupu

Nikishindwa mikukuta yangu itakua last option
 
Nahisi mzee baba late Pombe alitaka kufika hatua hii !! 😂.

But chief hongera naona unajibu maswali vyema siyo kama vijana flani..!
 
Sawa mkuu...ila mm sihitaji kujuwa namba 26 maana yake.

Sababu mimi najuwa nini maana yake,,
na wala siwezi kuweka hapa sababu sio uzi wangu.

Kuna wadau ndy walimuuliza mleta post .

Namimi nikakazia lile swali baada ya kuonekana mleta post analikimbia swali..

Kuna tatizo?
 
Usikwepe swali mkuu,,

Kama ulikaa south kwa miaka 26 maana yake unajuwa vingi..

Na hata sehemu uliyotaja unaishi yote ni kukwepa maswali..
Sababu unajuwa kabisa watanzania wengi hawakai Soweto..

Toa majibu ya namba 26 vinginevyo ni post uchwara.
KUMEKUCHA KUMEKUCHA

Ngoja na Kondamsafi naye aje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…