Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Roca fella

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2023
Posts
2,077
Reaction score
4,152
Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.

Screenshot_20230606-190734_(1).png

Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.

Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
 
Nipo hapa nasubiria maelezo na udadavuzi wa hicho chama maarufu duniani... ila ningependa kujua huwa mnajiungaje fmason? Maana naona vipost vingi mitandaoni vikitutaka tujiunge na kupata mahela.... nasikia tu watu wakisema kuwa ni matapeli kwa hiyo huwa nawapuuzia.. nipe maelezo maalum
 
watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.

View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.


Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
Je jumuiya hii ina uhusiano wowote na imani za kiroho na kama ndio ningependa kujua ni mlengo upi wa kiroho jumuiya hii ufuata?
 
Nielezee kiundani zaidi

KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi

Sina maana kama tahitaji kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi

Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara
 
Tapeli wa Facebook kaja jf.
Kwanini usiwaambie watu wakaingie ili wajibiwe maswali yao hukohuko na wahusika ?
Wewe mwenyewe unapiga picha ukiwa umejificha.
Kuna mpuuzi mmoja Tapeli kaleta swagger zake nikamwambia OK hata milioni moja takupa ila njoo nifuate home twede nikakulipe ndani ya Hall lenu hilo la Posta. Tukaishia kuzozana
 
Nielezee kiundani zaidi

KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi

Sina maana kama naitka kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi

Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara


mtajee ata kwa code.
 
Back
Top Bottom