Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Tapeli wa Facebook kaja jf.
Kwanini usiwaambie watu wakaingie ili wajibiwe maswali yao hukohuko na wahusika ?
Wewe mwenyewe unapiga picha ukiwa umejificha.
Kuna mpuuzi mmoja Tapeli kaleta swagger zake nikamwambia OK hata milioni moja takupa ila njoo nifuate home twede nikakulipe ndani ya Hall lenu hilo la Posta. Tukaishia kuzozana
Ndugu yangu punguza jazba.
Ni marufuku kushawishi mtu kuingia kule, Bali mtu mwenyewe kwa nafsi yake huridhia kuingia kule.

Kujiunga na FREEMASONRY unatakiwa kwenda kwenye lodge karibu yako mwenyewe kwa hiari ukaombe nafasi ya kuwa mwanachama.
 
Mbona sijaelewa hapa lodge yoyote?
FREEMASONRY wanaita BLUE LODGE.

Mkuu nenda posta mkabala na Kilimanjaro hotel au benki kuu, utaona jengo limeandikwa FREEMASON HALL. ingia humo ndani kaonane na viongozi.

Ushauri.
Itapendeza ukivaa suti nyeusi an viatu vyeusi, uwe na briefcase.

Au vaa shati jeusi suruali nyeusi soksi nyeusi na viatu vyeusi.
 
Nielezee kiundani zaidi

KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi

Sina maana kama naitka kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi

Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara
Huyo jamaa ni noma sana na mama yake mzazi... musician??
 
FREEMASONRY wanaita BLUE LODGE.

Mkuu nenda posta mkabala na Kilimanjaro hotel au benki kuu, utaona jengo limeandikwa FREEMASON HALL. ingia humo ndani kaonane na viongozi.

Ushauri.
Itapendeza ukivaa suti nyeusi an viatu vyeusi, uwe na briefcase.

Au vaa shati jeusi suruali nyeusi soksi nyeusi na viatu vyeusi.
Ngoja nijipange kwa hilo, kama ikikupendeza naomba uniambie faida ya kujiunga huko maana wengine tukisia neno freemason kichwa kinawaza pesa kutokana na story za mtaani juu ya hiyo taasisi ,unipe fursa zilizoko hiko
 
Hizo ni stori watu watanzania wwnazungumza, ukweli ni kwamba hakuna kafara ya mwanadamu Bali kafara ya mbuzi dume mkubwa yaani beberu, kujua Sala na kanuni Sheria na mifumo. Huu no utaratibu wao.

Wao huchukua nafsi yako na tiketi moja kwa moja mpaka kuzimu kuwatumikia kipindi umeaga dunia.

Wewe kweli haujui kitu kuhusu Freemasons

Ndio maana ; kuna mtu amekoment hapo kuwa; amehoji

Kwanini? Umepiga picha nje ya jengo wazi kuwa hauna unachofahamu na ungekuwa unaelewa chochote ungeingia ndani na upige picha pamoja na video
 
Ngoja nijipange kwa hilo, kama ikikupendeza naomba uniambie faida ya kujiunga huko maana wengine tukisia neno freemason kichwa kinawaza pesa kutokana na story za mtaani juu ya hiyo taasisi ,unipe fursa zilizoko hiko
Kobo G karibu Sana ndugu yangu katika ulimwengu mpya wenye mwangaza asilia,

Saa za kazi ni saa 3 asubuhi mpaka saa 11 jioni.

Faida ni kubwa Sana kwanza utakutana na watu tofauti na kujitunza Mambo mengi ya kiuchumi, kijamii, kuwa mzalendo na mwenye haki na huruma hata kusaidia jamii katika mchango mbali mbali mfano kulipia bili za mgonjwa hospitali, kuhudumia watoto yatima.
 
Back
Top Bottom