Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Je kuna uwezekano wa kumtambua mwanachama wa freemason kwa kumuangalia tu, kama ni ndio je ni sifa zipi zinazomtambulisha kuwa huyu ni mmoja ya wanachama.
Ukimwona mtu amevaa kofia, tisheti au shati ama kwenye gari yake ameweka stika, kwa maneno haya, 2B1 ASK 1. huyo ni wakala wa chama, au mtu akivaa Pete au mkufu wa alama ya bikari au pembe tatu na jicho huyo ni mwanachama. Mfuate akusaidie kuingia.
 
Kwenye freemason no magic at all, masomo zaidi yanahimiza discipline katika fedha, ndicho nilicho notsi, wakati huo, money discipline! Pia huthamini fedha kupindukia na mikakati mingi ya kifedha, mbinu, biashara, intime busines, modern technology na ya aina hiyo, hakuna KAFARA, wala kumtoa ndugu au mtoto!

Hakuna unachojua kuhs freemason, ile ni illuminat religion. Kafara lazima utoe, utake usitake.
 
FREEMASONRY wanaita BLUE LODGE.

Mkuu nenda posta mkabala na Kilimanjaro hotel au benki kuu, utaona jengo limeandikwa FREEMASON HALL. ingia humo ndani kaonane na viongozi.

Ushauri.
Itapendeza ukivaa suti nyeusi an viatu vyeusi, uwe na briefcase.

Au vaa shati jeusi suruali nyeusi soksi nyeusi na viatu vyeusi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naishia hapahapa

Etc niwe na blufcase sasa ya nini
 
Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.

View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.

Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
Watu mnaowaua/kuwatoa kafara huwa mnawahifadhi wapi na wanafanya kazi gani ?

Maana naskiaga wanatoweka tu duniani physically ila huko mnakuwa nao kwenye ulimwengu wenu wa maajabu
 
Watu mnaowaua/kuwatoa kafara huwa mnawahifadhi wapi na wanafanya kazi gani ?

Maana naskiaga wanatoweka tu duniani physically ila huko mnakuwa nao kwenye ulimwengu wenu wa maajabu
Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama Basi kuna kiapo unasema, MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO. Hakuna kurudi nyuma hivyo ukirudi nyuma inakuwa umekiuka masharti upaswa kufa. Kisha utapelekwa kwa mkuu wa Giza mwenye kutoa mwanga katika ulimwengu, atakuhifadhi katika malazi yake huko kuzimu. Atakupa mateso makali Sana.
 
Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama Basi kuna kiapo unasema, MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO. Hakuna kurudi nyuma hivyo ukirudi nyuma inakuwa umekiuka masharti upaswa kufa. Kisha utapelekwa kwa mkuu wa Giza mwenye kutoa mwanga katika ulimwengu, atakuhifadhi katika malazi yake huko kuzimu. Atakupa mateso makali Sana.
Duuuuh[emoji3061]
 
Hivi bado mnafirana kama ilivyo kwa Diddy na Usher Raymond pia Will Smith ama Alsina ?

Kwanini member wote nakuwa na kupewa maagiza ya kuwa wa penzi wa Jinsia moja ?

Kwanini Enter detainment mnaitumia kulaani maisha ya watu huku mkiwa mnaosema mnawaburudisha ?

Kwanini mnapinga uwepo wa Mungu huku mnasema Be ya own God ?
 
Kobo G karibu Sana ndugu yangu katika ulimwengu mpya wenye mwangaza asilia,

Saa za kazi ni saa 3 asubuhi mpaka saa 11 jioni.

Faida ni kubwa Sana kwanza utakutana na watu tofauti na kujitunza Mambo mengi ya kiuchumi, kijamii, kuwa mzalendo na mwenye haki na huruma hata kusaidia jamii katika mchango mbali mbali mfano kulipia bili za mgonjwa hospitali, kuhudumia watoto yatima.
Asante sana mkuu lazima nitatembelea taasisi yenu
 
Hivi bado mnafirana kama ilivyo kwa Diddy na Usher Raymond pia Will Smith ama Alsina ?

Kwanini member wote nakuwa na kupewa maagiza ya kuwa wa penzi wa Jinsia moja ?

Kwanini Enter detainment mnaitumia kulaani maisha ya watu huku mkiwa mnaosema mnawaburudisha ?

Kwanini mnapinga uwepo wa Mungu huku mnasema Be ya own God ?
Believe in supreme being. Maana take lazima uamini uwepo wa Mungu Mwenyezi, Mtukufu na mwenza katika Mambo yote mema katika ulimwengu na mbingu.

Bila kujali ni dini gani, ukristo au uislamu, mpagani haruhusiwi kwa sababu hana Mungu ndani yake hakuna anacho amini.
 
Believe in supreme being. Maana take lazima uamini uwepo wa Mungu Mwenyezi, Mtukufu na mwenza katika Mambo yote mema katika ulimwengu na mbingu.

Bila kujali ni dini gani, ukristo au uislamu, mpagani haruhusiwi kwa sababu hana Mungu ndani yake hakuna anacho amini.
Unaongelea version gani ya Mungu
 
Back
Top Bottom