Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Umeona Fix hii Bandugu.Bila kujali ni dini gani, ukristo au uislamu, mpagani haruhusiwi
Becareful
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona Fix hii Bandugu.Bila kujali ni dini gani, ukristo au uislamu, mpagani haruhusiwi
Sawa mkuu natamani nipate mwaliko naomba unisaidie kwa hiloKwa mwezi huwa Mara 1 tunakutana katika ukumbi kujadiliana maswala kadhaa. Unaweza kutafuta mwaliko wa mlo wa jioni kuifahamu mengi kuhusu chama.
Unajua maana ya mpagani ?Lazima uamini uwepo wa Mungu Mwenyezi.
Pagan ni kiumbe asiye na uungu ndani yake Wala kuamini katika uungu.Unajua maana ya mpagani ?
Atheist na Pagani una wa link vipi ?Pagan ni kiumbe asiye na uungu ndani yake Wala kuamini katika uungu.
Kwangu usitegemee lolote, fanya kwa jitihada zako. Kila la kheri mkuu.Sawa mkuu natamani nipate mwaliko naomba unisaidie kwa hilo
Nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeona Fix hii Bandugu.
Becareful
"Mkuu wa Giza mwenye kutoa Mwanga kwa ulimwengu".Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama Basi kuna kiapo unasema, MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO. Hakuna kurudi nyuma hivyo ukirudi nyuma inakuwa umekiuka masharti upaswa kufa. Kisha utapelekwa kwa mkuu wa Giza mwenye kutoa mwanga katika ulimwengu, atakuhifadhi katika malazi yake huko kuzimu. Atakupa mateso makali Sana.
Inabidi uwe makini Sana hata ukisikia siri za Freemasons usibabaike siri ni Siri ila Kuna zile acha zivuje ht mtu wa Itigi anazo.Nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Atheist ni mtu asiye amini katika uungu.Atheist na Pagani una wa link vipi ?
Kaka Soma hivyo hivyo tunakamata mtu sasa hivi"Mkuu wa Giza mwenye kutoa Mwanga kwa ulimwengu".
Mkuu hapo sijakuelewa, inawezekanaje mkuu wa giza atoe nuru/mwanga kwa ulimwengu ?
Wakati yeye tayari ni mkuu wa giza maana yake huyo mwanga autoe wapi wakati yeye ni giza
Bro unaelewa Pagan ni watu wa aina gani ?Atheist ni mtu asiye amini katika uungu.
Pagan ni mtu aliyeshika dini zaidi kuliko.
Kwenye chama hawataki pagan, huku wanaamini Hana nafasi kuingia humo.
Mkuu wa Giza ni Lucifer."Mkuu wa Giza mwenye kutoa Mwanga kwa ulimwengu".
Mkuu hapo sijakuelewa, inawezekanaje mkuu wa giza atoe nuru/mwanga kwa ulimwengu ?
Wakati yeye tayari ni mkuu wa giza maana yake huyo mwanga autoe wapi wakati yeye ni giza
Hapa tuna jadili Wala sio mabishano.Kaka Soma hivyo hivyo tunakamata mtu sasa hivi
Unataka kutupiga kanyanga peupeHapa tuna jadili Wala sio mabishano.
Pengine unisaidie kutafsiri juu ya neno pagan, halafu tuendeleze mada hapa tuna jadili sio ubishani, tufundishane kwa faida ya wengine.Bro unaelewa Pagan ni watu wa aina gani ?
ndio maana ikaitwa a secret society. Kuna mengine ni fumbo kwenu ni ngumu kuelewa.Unataka kutupiga kanyanga peupe
Umetelekeza uzi uliouanzisha umekuja kufungua uzi mwingine ili iweje?Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
NilikuwA kukichalenji Bandugu.Pengine unisaidie kutafsiri juu ya neno pagan, halafu tuendeleze mada hapa tuna jadili sio ubishani, tufundishane kwa faida ya wengine.
Hakuna Siri kwa binadamu wa kawaida, ila kwa mwanachama Kuna Siri, Basi hawezi kueleza maana aliapa.Inabidi uwe makini Sana hata ukisikia siri za Freemasons usibabaike siri ni Siri ila Kuna zile acha zivuje ht mtu wa Itigi anazo.