Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Ndugu yangu usipoteze muda wako kwa gharama nyingi kumsikiliza huyu Pasco.

Hana anachojua kuhusu FREEMASONRY ndio maana you hai Wana mwacha abwa bwaje.

Hebu fikiri kanumba kwanini aliondoka kwanini Pasco abaki. .

Umepata mwanga Sasa.
😁😁😁

Nimeanza kuamini wewe ni freemason agent.

Maana kikawaida huwa mnamchukia mtu anaesema ukweli wa siri zenu.

Kauli yako ya kunambia nisipoteze mda kumsikiliza PASCO imenifanya niamini kuwa nyie freemason mnamchukuia mtu anaetoa siri zenu na huwa mnaanza kumwita mpotoshaji.

PASCO amewavua nguo na mmeshindwa cha kumfanya ndiyo maana mnamchukia.

Mlipatisha ajali ili mumuue, Mungu wake kamponya nyie bado mnaendelea kumtafta na sidhani kama mtamuua yule labda Mungu tu aamue yeye.

Kanumba mlimuwahi kwa sababu yeye alichelewa kuchukua maamuzi ya kumrudia Mungu.

Paschal aliwawahi kakimbilia kanisani kwa Mungu akaponya nafsi yake.

Kanumba kujishauri kulimpotezea muda mkamuwahi.

Ila Brother una kitu, nitakutafta dm tuyajenge nikishamaliza kukuuliza maswali yangu.

Una kitu brother utafika mbali wewe.
 
Ni
HAKUNA MASWALI KILA KITU KINAFAHAMIKA KIPO KWENYE VITABU, VIDEOS NA AUDIO. HAKUNA SIRI. KUNA KIPINDI NLIWAHI WAPIGA SANA WATU PESA. NAMI NILIJIDAI NI FREEMASON NIKAWAAMBIA NIWAPE ELIMU WALETE NA MASWALI. NLIWALA SANA.
Videos, picha, vitabu vinaeleza tofauti na usiri wake katika ndani ya chama. Huwezi kufahamu Kama si mwanachama hayo mengine kila mtu anao Uhuru wa kunena.
 
😁😁😁

Nimeanza kuamini wewe ni freemason agent.

Maana kikawaida huwa mnamchukia mtu anaesema ukweli wa siri zenu.

Kauli yako ya kunambia nisipoteze mda kumsikiliza PASCO imenifanya niamini kuwa nyie freemason mnamchukuia mtu anaetoa siri zenu na huwa mnaanza kumwita mpotoshaji.

PASCO amewavua nguo na mmeshindwa cha kumfanya ndiyo maana mnamchukia.

Mlipatisha ajali ili mumuue, Mungu wake kamponya nyie bado mnaendelea kumtafta na sidhani kama mtamuua yule labda Mungu tu aamue yeye.

Kanumba mlimuwahi kwa sababu yeye alichelewa kuchukua maamuzi ya kumrudia Mungu.

Paschal aliwawahi kakimbilia kanisani kwa Mungu akaponya nafsi yake.

Kanumba kujishauri kulimpotezea muda mkamuwahi.

Ila Brother una kitu, nitakutafta dm tuyajenge nikishamaliza kukuuliza maswali yangu.

Una kitu brother utafika mbali wewe.
Huyu Tapeli wala si freemason. Asikudanganye kitu. Au labda kama hii ni ID yake nyingine inajisupport
 
Freemasonry ni chama cha siri, je wewe hizo siri umezijuaje? Wewe ni miongoni mwa wanachama? Kwanini unatoa siri? Huoni unakiuka masharti?.

Freemasonry huwa mnaabuduje? Kiroho au kusanyiko kama waumini wa kawaida? Je masonry unaweza mtambua kwa macho yetu ya kibinadamu? Kivipi?.
Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.

View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.

Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa bado ni hatua za awali, nna maswali elfu na kidogo kama ni tapeli nitamjua tu.

Ila jinsi alivyo respond kuhusu PASCHAL CASSIAN ndiyo imenifanya nihisi ana kitu huyu brother
Maswali elfu ni madogo, uliza kadri upebdavyo,

Pia nitajibu kulingana na kifungu na kanuni kuzingatia Sheria na kanuni kuhusu FREEMASONRY
 
😁😁😁

Nimeanza kuamini wewe ni freemason agent.

Maana kikawaida huwa mnamchukia mtu anaesema ukweli wa siri zenu.

Kauli yako ya kunambia nisipoteze mda kumsikiliza PASCO imenifanya niamini kuwa nyie freemason mnamchukuia mtu anaetoa siri zenu na huwa mnaanza kumwita mpotoshaji.

PASCO amewavua nguo na mmeshindwa cha kumfanya ndiyo maana mnamchukia.

Mlipatisha ajali ili mumuue, Mungu wake kamponya nyie bado mnaendelea kumtafta na sidhani kama mtamuua yule labda Mungu tu aamue yeye.

Kanumba mlimuwahi kwa sababu yeye alichelewa kuchukua maamuzi ya kumrudia Mungu.

Paschal aliwawahi kakimbilia kanisani kwa Mungu akaponya nafsi yake.

Kanumba kujishauri kulimpotezea muda mkamuwahi.

Ila Brother una kitu, nitakutafta dm tuyajenge nikishamaliza kukuuliza maswali yangu.

Una kitu brother utafika mbali wewe.
Hapana sidhani Kama Pasco aliwahi kuwa mwanachama, Hana huo ujasiri.

Huwezi kutoa Siri maana ukila kiapo Kuna sehemu unapelekwa kuonyeshwa walio jaribu kurudi nyuma na wapo katika hali na maumivu kiasi gani kamwe huwezi kuropoka Siri zao.
 
Hapana sidhani Kama Pasco aliwahi kuwa mwanachama, Hana huo ujasiri.

Huwezi kutoa Siri maana ukila kiapo Kuna sehemu unapelekwa kuonyeshwa walio jaribu kurudi nyuma na wapo katika hali na maumivu kiasi gani kamwe huwezi kuropoka Siri zao.
Yule Paschal labda alikuwa kwenye secret society nyingine ila hata mimi kwa nilivyowasoma hao illuminants na freemasonry sioni kama alikuwa huko nope.
 
FREEMASONRY wanaita BLUE LODGE.

Mkuu nenda posta mkabala na Kilimanjaro hotel au benki kuu, utaona jengo limeandikwa FREEMASON HALL. ingia humo ndani kaonane na viongozi.

Ushauri.
Itapendeza ukivaa suti nyeusi an viatu vyeusi, uwe na briefcase.

Au vaa shati jeusi suruali nyeusi soksi nyeusi na viatu vyeusi.
Mkuu

Ina maana wavaa suti nyeusi kama maafisa usalama nao ni free mason!!?

Hebu dadavua mkuu sijaelewa KABISA!!
 
Hapana sidhani Kama Pasco aliwahi kuwa mwanachama, Hana huo ujasiri.

Huwezi kutoa Siri maana ukila kiapo Kuna sehemu unapelekwa kuonyeshwa walio jaribu kurudi nyuma na wapo katika hali na maumivu kiasi gani kamwe huwezi kuropoka Siri zao.
Hata wewe unadhani, kitendo cha kudhani ni ishara kuwa tayari huna uhakika na hilo.

Ila yeye ndo keshasema na nimemfatilia kwa miaka kadhaa tangu ameanza kutoa hizo siri za huko.

Ila japo na yeye huwa hapendelei kusoma kila kitu kinachofanyika huko kama ambavyo tu wewe naona unaepuka kusema baadhi ya vitu, labda kwa sababu ya kanuni zenu
 
Ukimwona mtu amevaa kofia, tisheti au shati ama kwenye gari yake ameweka stika, kwa maneno haya, 2B1 ASK 1. huyo ni wakala wa chama, au mtu akivaa Pete au mkufu wa alama ya bikari au pembe tatu na jicho huyo ni mwanachama. Mfuate akusaidie kuingia.
Akivaa pete yenye alama ya nyota na mwezi!!?na huyo je!!?
 
Back
Top Bottom