Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Oohiooo...! We ndio fala kweli. Ya kubebea mihela...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naishia hapahapa
Etc niwe na blufcase sasa ya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohiooo...! We ndio fala kweli. Ya kubebea mihela...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naishia hapahapa
Etc niwe na blufcase sasa ya nini
Wewe ndiyo giza kabisa kuliko hata huyo mleta maada.HUYU JAMAA NI TAPERI KWA ANAYE TAKA KUJUA FREEMASON NI KINA NANI ATEMBELEE web yao.huyu jamaa naona mwishowe ata tapeli watu ,kwa mjibu wa wao ,unaweza ukajiunga na uka amua utakuwa mwanachama kwa miaka mingapi,kama hulidhiki nao unajitoa,hakuna kafara,na kama unajiunga upate utajili hukubaliwi ila ukiwa fundi ujenzi kama unanawa.freemason walikuwa chini ya kanisa la roma ,hawa ni mafundi ujenzi walobobea ambapo walikuwa wanajenga mahekalu ya kanisa la roma,baadae waliingia vita na kanisa la roma wakafukuzwa,ika undwa jesuit kama mbadala wao,wakahamia marekan waka jenga washington dc,kanisa la roma lina bifu nao coz nasikia waliiba shehena za dhahabu kuanzia hapo waumini wakaambiwa ni wafuas wa shetani hivyo wawaepuke, huyo jamaa mleta mada anaonekana haelewi chochote,nasikia halufu ya kutapeliwa watu.kama unataka kuwajua kwanini usizame hapa ? www.dgleastafrica.com
ndagu si zipo kwanini usitoe ndugu zako ukatajilika? huu pendi utajili? taja mtu freemason alie wahi kutoa kafara kama sio ndagu za kipumbavu? si nimetoa web yao? shida nini ,au upo kwenye mtandao wakutaka muwa shawishi watu muwatapeli? ingia kwenye web yao uta subcribe ,ili upate masomo yao baadae ndo utaamua ujiunge nao kwa kujaza form unapewa namba za simu za secretaly wa freemason hall uliyo kalibu nayo wajue unasifa za kuwa member?.shafanya research za hawa jamaa,kuondoa utata wanawake nao wanaluhusiwa, mda wote wako free kwa watu kuwa tembelea kulingana na ratiba zao za kazi...shida si kafara kajiunge sasa?,kule wanajiunga elite wanaojielewa sio kama mandagu yetu tuna maliza ndugu zetu ambao wange tu saidiaWewe ndiyo giza kabisa kuliko hata huyo mleta maada.
Haujaijua freemason wewe tulia.
Hakuna mafanikio utayapata bila sadaka, hata kwa Mungu iko hivo
Hili tatuzo la picha kutokufunguka tumelalamika sana ila kimyaNifanyeje?? Picha hazifunguki! Nime-mis huu ukumbi wa Moshi.
id nyingne wapi, mimi nashangaa pale mtu anapokuja kupinga kama vile msemaji ni mdogo wake (anamjua)We nae ni kama mleta mada,au lah mleta mada katumia I'd yake nyingine
ingia kwenye web yao utajua utalatibu ukoje.www.dgleastafrica.comKwanini inakuwa ni jamii ya siri na mambo mengi ni secret
Wacha blah blah, shetani hatawali sasa na atatawala kwa miaka 1000 hapa duniani kabla hajahukumiwa Milele. Katika Ulimwengu wa roho kuna siku Mungu alinufunulia kuhusu ibada zenu hususan lile kusanyiko la Zimbabwe lililofanyika kwenye ile hoteli ya kifahari ila halikukamilika tokana na maombi ya Watakatifu.Hili si kweli, hebu leta orodha ya neno ama andiko.
Lengo la mkuu wa Giza ni kuondoka na wafuasi wake katika jehanam, hivyo Mungu ndio ataamua lini iwe mwisho. Hizo tetesi zingine ni stori za uongo.
Uzidi kubarikiwa kwa kupata mwanga, luse ferre awe pamoja nawe.
HUYU JAMAA NI TAPERI KWA ANAYE TAKA KUJUA FREEMASON NI KINA NANI ATEMBELEE web yao.huyu jamaa naona mwishowe ata tapeli watu ,kwa mjibu wa wao ,unaweza ukajiunga na uka amua utakuwa mwanachama kwa miaka mingapi,kama hulidhiki nao unajitoa,hakuna kafara,na kama unajiunga upate utajili hukubaliwi ila ukiwa fundi ujenzi kama unanawa.freemason walikuwa chini ya kanisa la roma ,hawa ni mafundi ujenzi walobobea ambapo walikuwa wanajenga mahekalu ya kanisa la roma,baadae waliingia vita na kanisa la roma wakafukuzwa,ika undwa jesuit kama mbadala wao,wakahamia marekan waka jenga washington dc,kanisa la roma lina bifu nao coz nasikia waliiba shehena za dhahabu kuanzia hapo waumini wakaambiwa ni wafuas wa shetani hivyo wawaepuke, huyo jamaa mleta mada anaonekana haelewi chochote,nasikia halufu ya kutapeliwa watu.kama unataka kuwajua kwanini usizame hapa ? www.dgleastafrica.com
Kama picha tu umepiga kiwizi hayo mengine ndio utayajua.Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
HUYU JAMAA NI TAPERI KWA ANAYE TAKA KUJUA FREEMASON NI KINA NANI ATEMBELEE web yao.huyu jamaa naona mwishowe ata tapeli watu ,kwa mjibu wa wao ,unaweza ukajiunga na uka amua utakuwa mwanachama kwa miaka mingapi,kama hulidhiki nao unajitoa,hakuna kafara,na kama unajiunga upate utajili hukubaliwi ila ukiwa fundi ujenzi kama unanawa.freemason walikuwa chini ya kanisa la roma ,hawa ni mafundi ujenzi walobobea ambapo walikuwa wanajenga mahekalu ya kanisa la roma,baadae waliingia vita na kanisa la roma wakafukuzwa,ika undwa jesuit kama mbadala wao,wakahamia marekan waka jenga washington dc,kanisa la roma lina bifu nao coz nasikia waliiba shehena za dhahabu kuanzia hapo waumini wakaambiwa ni wafuas wa shetani hivyo wawaepuke, huyo jamaa mleta mada anaonekana haelewi chochote,nasikia halufu ya kutapeliwa watu.kama unataka kuwajua kwanini usizame hapa ? www.dgleastafrica.com
Kanye WestHakuna Siri kwa binadamu wa kawaida, ila kwa mwanachama Kuna Siri, Basi hawezi kueleza maana aliapa.
Vitabu ni muhuni kama unafanya wewe hapa ndani.Hakuna Siri niliyo toa hapo hii iko wazi, kila pande za dunia miaka kwa miaka. Hebu tengeneza mazingira ya kusoma vitabu kuhusu FREEMASONRY utapata mwanga zaidi.
haya dondosha point yako sasa tuko hapa kujifunzaUmeandika utahira
Alietembea ulaya ana akili za chuma au dhahabu? ,swala sio kwenda ulaya swala ni uwezo wa kifkra na kujua mambo,unaweza sema ulikuwa ulaya kumbe ulikuwa mlangada tu,kichwani yamejaa matunda ya mabogaUngetembea ulaya haya usingeyaandika kabisa