Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Je hata mtu baki masikini asie na kitu anaweza kujiunga?
Ngoja nikwambie ukweli.
Sio kila mtu anatakiwa kwenye chama, kwa sababu masharti yake ni magumu Sana.

Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama wao, Kuna kipengele cha Sheria zao zipo 5.

Halafu kuna kiapo Mara 3 kwamba MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO.

unacho takiwa kufanya ni kutekeleza kila mpango wanaokupa au jukumu kwa lugha nyepesi, hakuna kubadili mawazo hakuna kurudi nyuma vinginevyo utauawa na hautoboi.
 
Ngoja nikwambie ukweli.
Sio kila mtu anatakiwa kwenye chama, kwa sababu masharti yake ni magumu Sana.

Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama wao, Kuna kipengele cha Sheria zao zipo 5.

Halafu kuna kiapo Mara 3 kwamba MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO.

unacho takiwa kufanya ni kutekeleza kila mpango wanaokupa au jukumu kwa lugha nyepesi, hakuna kubadili mawazo hakuna kurudi nyuma vinginevyo utauawa na hautoboi.
Kwahiyo Utopolo ni firimasoni
 
we ni freemason au cowan? wa kwenye mjengo huu wanakufahamu? dgleastafrica.com.tutajuaje kama we sio tapeli?
 
Kwenye freemason no magic at all, masomo zaidi yanahimiza discipline katika fedha, ndicho nilicho notsi, wakati huo, money discipline! Pia huthamini fedha kupindukia na mikakati mingi ya kifedha, mbinu, biashara, intime busines, modern technology na ya aina hiyo, hakuna KAFARA, wala kumtoa ndugu au mtoto!
 
Back
Top Bottom