Aizn
JF-Expert Member
- Dec 14, 2022
- 2,172
- 4,196
mtajee ata kwa code.
Ngoja mtoa mada atakuja kumtaja yeye mwenyewe Kwa kuelezea hilo swali na atatwambia je? Wataweza kumbadilishia hiyo kafara- maana katoa ruhsa ya maswali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtajee ata kwa code.
Abee
Namna ya kujiunga, tafuta ukumbi au lodge kwa kiingereza, karibu nawe ingia na uonane na grand Master uongee nae.Nipo hapa nasubiria maelezo na udadavuzi wa hicho chama maarufu duniani... ila ningependa kujua huwa mnajiungaje fmason? Maana naona vipost vingi mitandaoni vikitutaka tujiunge na kupata mahela.... nasikia tu watu wakisema kuwa ni matapeli kwa hiyo huwa nawapuuzia.. nipe maelezo maalum
Hapana hatuweki matangazo, Bali matapeli ndio hufanya hivyo.Kwanini mnaweka matangazo mpaka kwenye Nguzo za umeme??
MatapeliKwanini mnaweka matangazo mpaka kwenye Nguzo za umeme??
Wakati anaingia kwenye chama Kama mwanachama mpya, ataambiwa Hili ni shirika la kusaidia jamii, hivyo anatakiwa kutoa mchango wake katika jamii. Baadae atapanda ngazi ya entered apprentice degree.Wakati freemason wakimpa Mwanachama pesa na utajiri (sijuwi kama ni kweli) ,mwanachama huyo anachangia/anaingiza faida gani kwenye jumuiya kwa wakati huo?
Grand Master ni mkuu wa chama hicho, hapana huwa hawafichi utambulisho wake.Grand Master ndo nan ? & Why Anaficha identity yake ?
Shaytan kwa neno la kiarabu.Mbona maswali hayajaanza kujibiwa?
Mimi nauliza huko mnamuabudu Mungu au Shetani?
Wale Lions club ni wenyewe pia?Wakati anaingia kwenye chama Kama mwanachama mpya, ataambiwa Hili ni shirika la kusaidia jamii, hivyo anatakiwa kutoa mchango wake katika jamii. Baadae atapanda ngazi ya entered apprentice degree.
Nielezee kiundani zaidi
KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi
Sina maana kama naitka kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi
Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara
Hii jumuiya hufuata roho ya shaytan. Na si vingineJe jumuiya hii ina uhusiano wowote na imani za kiroho na kama ndio ningependa kujua ni mlengo upi wa kiroho jumuiya hii ufuata?
Twende tukajiunge freemasonry
Hizo ni stori watu watanzania wwnazungumza, ukweli ni kwamba hakuna kafara ya mwanadamu Bali kafara ya mbuzi dume mkubwa yaani beberu, kujua Sala na kanuni Sheria na mifumo. Huu no utaratibu wao.Nielezee kiundani zaidi
KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi
Sina maana kama naitka kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi
Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara
Sawa nimekusoma mkuu sina swali jingine.Hii jumuiya hufuata roho ya shaytan. Na si vingine