Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
- Thread starter
-
- #381
Amedanganya huyu au siyo m
Geodave au nabii mkuu huyu ni mshirika wa freemason siku nyingi, aliuza nafsi yake kwa ajili ya pesa,Mbona wengine wanakufa natural deaths tu?
Machozi? Kwa nini walie?
Whaaaaat? Sasa mbona wanatumia jina la Yesu? Kwamba akina jiyodevii wanaweza kuwa masonic?
Hapana klabu ya Yanga haipo katika jumuiya hii isipokuwa tajiri mmoja hapo anahusika.Khaaa kwahiyo YANGA nao wapo huko
😅😅😅😅
Ngoja nikueleweshe tatizo watanzania hamtaki kuumiza vichwa kuchambua.Kama unalijua hilo kwanini umejiunga? Tuondolee utapeli wenu apa 🫤🫤🫤
Hapana sijajificha, hii picha nimetoa mtandaoni nimerusha humu kwa lengo la kujadili mada.Mbona wewe mwenyewe unaonekana umejificha wakati unapiga picha
Freemason kafara sio kumwaga damu ya binadamu, no wao hufanya ibada za Siri na kumwaga damu ya mbuzi.Umesema vyema sana. Hawa wazee wa suti watu wa gizani watu wabaya sana halafu ukiona show off zao na lavish life ukijichanganya utafyeka ukoo wako wote na mwishoni watakukula wewe huko ni forward ever backward never ukijitosa wanachomoa nafsi na kuiweka kifungoni huku duniani unakuwa copy yani mwili wako with a lot of demons ndio maana matendo yao mengi ni ya kinyama sana "unyama mwingi" kama wasemavyo wenyewe na hawana cha kupoteza. What shall it profit a man if he gains the whole world and get lost of his own soul?.
Uliwahi kuwepo huko? I mean in the Masonry?Simdanganyi mtu na huo mda sina,kauliza namna ya kutoka .. ..
Ninafahamu kama keys zilizotumika ni giza,but keys zitakazotumika ni za nuru,ubaya ni shetani na wafuasi wake wanawaingiza watu katika viapo vya kuuwa roho,na makufuru ambapo huwezi kurudi nyuma,
Neno linasema kila dhambi atasamehewa binadamu lakini si kumkufuru roho,elewa hapa ni roho ya Mungu inayoongelewa,kama hajafika stage hii basi uwekano upo na hamna wa kumtisha si shetani wa jini wala kikaragosi chochote,kama walivyo apa kutumikia shetani ,jawabu ni simple kubadili njia na kuapa kumtumikia Mungu,ugumu unakuja hapa je usahihi wa wapi na nani ni sahihi na njia ya kweli ni ipi? Ni moja tu kristo yesu.wala hamna wa kukutisha nasema hivi hamna nasema tena hamna,ila si wote duniani wanafaa kumtumikia yesu,kuna watu nafasi zao ni makapi na magugu na neno limeeleza.
Umeeleza vizuri, lakini umetoa elimu ya uongo. Hebu nikuulize swali unijibu.Ilikuwaga secret society enzi izo labda na hapa bongo ila nje sio secret society kiivyo, kilichojificha ni meaning behind the symbols ambazo pia sio siri tena. Aim ya Freemasonry is to make good men better. You can't join if you are pagan kwanza lazima uamini mungu yupo. Its more about social engagement, charity, and man improvement, utapata true brothers and friends who will be there for you always no matter whaaa..utafundishwa on how to be confident in public in talking, taking responsibilities, kuwa humble and that's why mostly influential people hujiunga masonry ili waimprove baadhi ya aspects katika maisha...ebwana mambo ni mengi but kila lodge ina mafundisho tofauti lakini misingi ni hiyo so hakuna mambo ya uchawi wala kafara usikubali kutapeliwa. Utafanikiwa kwa sababu ya kukutana na waliofanikiwa katika lodge yako na kujiassociate nao vizuri. Nadhani utakuwa umenielewa ila kama hutaki kuelewa endelea kuwa mbumbumbu
Je, re ji.nadi M.3ng1 alikuwa mmoja wao?Freemason kafara sio kumwaga damu ya binadamu, no wao hufanya ibada za Siri na kumwaga damu ya mbuzi.
Wanacho kufanya ni kuchukua nafsi yako hii Ina maana kwamba hata uombe vipi huwezi kusalimika, ni kwamba umemkataa Mungu Mwenyezi halafu umeuza nafsi na roho kwa shetani, ukifa unakuwa mtu wake shetani atakutesa Sana, Mali haramu na anasa ni miliki za shetani.
Shetani anatambua wanadamu wa Karne hii wanapenda pesa Basi anawapa pesa huku wewe unampa nafsi yako. Hakuna kumwaga damu ya binadamu.
Hapana madam sisi hatupo hapa kuchukua pesa ya mtu.Hii thread watatapeliwa vilaza wengi sana 🤣🤣🤣👋
Kichwa kisicho na maarifa ni mzigo kwa shingo 🫤🫤🫤
Kwa hiyo hapo wewe umeshajitoa muhanga kwamba ni wa motoni?U
Umeeleza vizuri, lakini umetoa elimu ya uongo. Hebu nikuulize swali unijibu.
Freemason ni nini..?
Kwanini ibada inakuwa Siri wakati taasisi ama shirika zingine hakuna Siri katika ibada.
Kwanini Steven Charles kanumba, aliimba nyimbo za kusifu na kuabudu kuomba msamaha kwa Mungu Mwenyezi.
Ndio alikuwa mmoja wao. Ndio maana Mali zake zipo salama mpaka Sasa,Je, re ji.nadi M.3ng1 alikuwa mmoja wao?
Kanumba alishafikia hatua ya kuuza nafsi na roho?U
Umeeleza vizuri, lakini umetoa elimu ya uongo. Hebu nikuulize swali unijibu.
Freemason ni nini..?
Kwanini ibada inakuwa Siri wakati taasisi ama shirika zingine hakuna Siri katika ibada.
Kwanini Steven Charles kanumba, aliimba nyimbo za kusifu na kuabudu kuomba msamaha kwa Mungu Mwenyezi.
Ndiyo bila shaka nafsi nimemkabidhi mkuu wa giza.Kwa hiyo hapo wewe umeshajitoa muhanga kwamba ni wa motoni?
You want to say no one influential on earth without being one of them? Trump, is he one of them? Kim Jong? Putin je?Ndio alikuwa mmoja wao. Ndio maana Mali zake zipo salama mpaka Sasa,
Kwamba nami nitakabidhi nafsi?! Huogopi kutoa siri zao? Mnaruhusiwa kuwataja watu ambao ni wanachama?Ndiyo bila shaka nafsi nimemkabidhi mkuu wa giza.
Kuna fumbo baadae nitakufunulia upate mwanga ukinielewa Basi utaungana na Mimi.
Kila mwanachama lazima auze nafsi yake na roho kwa shetani.Kanumba alishafikia hatua ya kuuza nafsi na roho?
Gharama zipi? Pia, ulisema kuna level ukifika unauza roho na nafsi ili usiwakimbie, vipi kuhusu wewe, umefikia level hizo? M.engi je?Kila mwanachama lazima auze nafsi yake na roho kwa shetani.
Dollar laki 1 unazawadiwa ukiwa mwanachama wao.
Je nikuulize utaweza kulipa gharama alizokupa mkuu wa Giza.
Sio kila influencer ni freemason hapana, ni wewe na akili yako umekubali kuuza nafsi upate pesa, nguvu, umaarufu, au unataka nini...?You want to say no one influential on earth without being one of them? Trump, is he one of them? Kim Jong? Putin je?
Brother unanijibu vema mno!. Nawiwa kuendeleza mjadala pamoja na wewe.Sio kila influencer ni freemason hapana, ni wewe na akili yako umekubali kuuza nafsi upate pesa, nguvu, umaarufu, au unataka nini...?
Master Mason ni ngazi ya tatu, Mimi ni master Mason. Nimeuza nafsi kwa shetani.Gharama zipi? Pia, ulisema kuna level ukifika unauza roho na nafsi ili usiwakimbie, vipi kuhusu wewe, umefikia level hizo? M.engi je?
Karibu Sana ndugu yangu, Kuna wakati mwingine endapo Mungu Mwenyezi atapenda Basi naweza kukupa mwaliko wa chakula Cha jioni katika ukumbi wetu wa freemason hall posta dar es salaam, lodge number 9534.Brother unanijibu vema mno!. Nawiwa kuendeleza mjadala pamoja na wewe.