Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Where did I say ni jambo la kawaida? Kama nimesema ni makasisi tu, tena altareni, ndio wanafukiza ubani?Kwaiyo wewe wachukulia ubani kama jambo lakawaida sanaaa... Jaribu kufanya tafiti mkuu usiwe unachukua mambo kirahisi rahisi.
Je aliowaacha Mjane na watoto ikiwa sio wanachama wa wajenzi huru mali zinaweza kuendelea kuwepo au zinapukutika?Ndio alikuwa mmoja wao. Ndio maana Mali zake zipo salama mpaka Sasa,
Andrew, wewe ni miongoni mwao?Ukijiunga na Freemason,halafu Freemason wakakuambia ufanye jambo ambalo ni kinyume na imani zako za msingi? Unaweza kukataa?
Hawa Satanists? Not yet.Andrew, wewe ni miongoni mwao?
Mbona unazungumzia kuhusu mashetani, ambayo hizi ni story zakusikia, kuna shetani aliyewahi kukuambia yeye ni sawa na mungu, au umesikia hizi habariWhere did I say ni jambo la kawaida? Kama nimesema ni makasisi tu, tena altareni, ndio wanafukiza ubani?
Ukiona mtu anafanya hivyo mtaani, ujue anayaita mashetani yake
Maana shetani, siku zote analaghai kuwa yeye ni sawa na Mwenyezi Mungu
Hapana but kama wao wajuavyo kanuni za kishetani,na mm najua za kiMungu ,Uliwahi kuwepo huko? I mean in the Masonry?
Haya majengo ni zamani yamejengwa, kwa nje lipo kawaida Wala hakuna mvuto lakini ndani Kuna mvuto Kuna mpaka viti vya adhabu, kwa wakuu wa Masonic.Hili jengo la Moshi halina mvuto Wala nn,na ninaskia mna mkwanja Kwann msijenge jengo la maana?👇
Shetani amependa kutumia hiyo gari halina uhusiano wowote na shetani.kwann gari ya benzi?? kuna uhusiano gani kati ya gari ya benzi na shetani??
Entered apprentice, fellow craft, master Mason, grand master, Mason.Ulipitia initiation ipi ili kuwa master lodge by the way namjua master lodge moshi na sio mpuuzi wa kuja kuropoka jf.
[emoji1]Ninaweza kumtoa kafara member wa jf ananisumbua sana
Unajua lolote juu ya Freemason kweli wewe? Sir Andy Chande unayesema ni mwenyeketi wa Freemasonry Afrika mashariki alifariki 2017. Au freemason nao wakifa wanafufuka kama Yesu?Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
Shetani anatembea kutafuta watu wa kuwashawishi dhambi aende nao motoni, kuna muda anajisikia fahari kutembea duniani lakini kwa madhara,Anatembea na gari akitafuta nini?
Kwanini gari nyeusi mercedes benz?
Na huwa anatembelea maeneo gani?
Akiwa amevaa mwili upi
Unajua lolote juu ya Freemason kweli wewe? Sir Andy Chande unayesema ni mwenyeketi wa Freemasonry Afrika mashariki alifariki 2017. Au freemason nao wakifa wanafufuka kama Yesu?
Kwa hyo Yanga mafreemasonKabla hujatawazwa kuwa mwanachama Basi kuna kiapo unasema, MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO. Hakuna kurudi nyuma hivyo ukirudi nyuma inakuwa umekiuka masharti upaswa kufa. Kisha utapelekwa kwa mkuu wa Giza mwenye kutoa mwanga katika ulimwengu, atakuhifadhi katika malazi yake huko kuzimu. Atakupa mateso makali Sana.
Endapo mwanachama amekufa kifo bila ugomvi wao au kukiuka masharti Basi Mali zinadumu,Je aliowaacha Mjane na watoto ikiwa sio wanachama wa wajenzi huru mali zinaweza kuendelea kuwepo au zinapukutika?
Hapana huuni msemo wao kwamba hakuna kurudi nyuma,Kwa hyo Yanga mafreemason