Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
- Thread starter
- #521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huja nijibu maswali yangu... Nimeuliza bwana the great wa the devil kingdom alifanikiwa kuwachoropoka KWa kumrudia Mungu wake wa kweli mkaamua kuuwa mwili wake?Tarehe 20 mwezi 6 mwaka 2023.
HUU MDAHALO UTASITISHWA RASMI. SITORUHUSIWA KUJIBU CHOCHOTE KUHUSU FREEMASON WALA ULIMWENGU WA GIZA.
EPUSHA MADHARA, ADHABU NA KIFO.
AHSANTENI KWA KUSHIRIKI NDUGU ZANGU WA JAMII FORUMS.
kaka hujajibu hapahivi ni nini tofauti ya freemason na Illuminati?? na je mbali na hizo taasisi mbili kuna taasisi nyingne ya kumpinga kristo??
STEVEN CHARLES KANUMBAHuja nijibu maswali yangu... Nimeuliza bwana the great wa the devil kingdom alifanikiwa kuwachoropoka KWa kumrudia Mungu wake wa kweli mkaamua kuuwa mwili wake?
ILLUMINATI IMEKUFA MIAKA 200 IMEPITA TANGU 1793, HAKUNA KITU KINAITWA ILLUMINATI KWA KARNE HII.kaka hujajibu hapa
Pia Dodoma wapo? Lengo kina Mpwayungu village niwafahimeshe waache kulalama maana uwalimu mshahara hautoshi kama anavyo lalamaga.....Huja nijibu maswali yangu... Nimeuliza bwana the great wa the devil kingdom alifanikiwa kuwachoropoka KWa kumrudia Mungu wake wa kweli mkaamua kuuwa mwili wake?
FREEMASON WAPO KILA MKOA HAPA TANZANIA, MAKAO MAKUU YAPO DAR ES SALAAM KUNA LODGE ZAO KILA MKOA. KWA NAMBA ZA USAJILI.Pia Dodoma wapo? Lengo kina Mpwayungu village niwafahimeshe waache kulalama maana uwalimu mshahara hautoshi kama anavyo lalamaga.....
Wewe si ulisema illuminati ni level nyingine baada ya ufreematule? Tena zaidi ukasema ufreematule ni kama nursery school.. mbona unabadili tena manenoILLUMINATI IMEKUFA MIAKA 200 IMEPITA TANGU 1793, HAKUNA KITU KINAITWA ILLUMINATI KWA KARNE HII.
FREEMASON IPO HAI TANGU SASA MPAKA SIKU YA KIYAMA.
HAKUNA UTAPELI HAPA KWANI HAKUNA HATA MMOJA ALIYE UNGANISHWA NA HAKUNA HATA MTU MMOJA HAPA JF ATAKAYE UNGANISHWA KUPITIA MIMI, KWANI SI RUHUSA KUUNGANISHA NAFSI YAKO KWA LUSSE FERRE KWA ULAZIMA PASIPO HIARI YAKO.Watatapeliwa watu hapaa: Akili kumkichwa
ILLUMINATI IPO NDANI YA FREEMASON KWA NGAZI YA 32° KWA 33° ILA HUWEZI KUUNGANISHWA ILLUMINATI KAMA WATU WENGINE WANAVYO TAPELIWA AMA KUDHANI ILLUMINATI SIO CHAMA BALI NI CHEO NA NGAZI KATIKA FREEMASON.Wewe si ulisema illuminati ni level nyingine baada ya ufreematule? Tena zaidi ukasema ufreematule ni kama nursery school.. mbona unabadili tena maneno
ILLUMINATI IPO NDANI YA FREEMASON KWA NGAZI YA 32° KWA 33° ILA HUWEZI KUUNGANISHWA ILLUMINATI KAMA WATU WENGINE WANAVYO TAPELIWA AMA KUDHANI ILLUMINATI SIO CHAMA BALI NI CHEO NA NGAZI KATIKA FREEMASON.