Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Unailezeaje ile habari ya kwamba mbwa akimuona chatu huwa anajipeleka kwenyewe kwa chatu?
Tunaambiwa kwamba hata ukijaribu kumzuia mbwa huyo huwa na hali ya kulazimisha kwenda kwa chatu. Je, kuna ukweli gani juu ya hili jambo?
cc: adden
Unailezeaje ile habari ya kwamba mbwa akimuona chatu huwa anajipeleka kwenyewe kwa chatu?
Tunaambiwa kwamba hata ukijaribu kumzuia mbwa huyo huwa na hali ya kulazimisha kwenda kwa chatu. Je, kuna ukweli gani juu ya hili jambo?
cc: adden
Unachotakiwa kufahamu cha kwanza macho ya
mbwa ni kama kamera za zamani, yaani uwezo
wake wa kutambua rangi unaishia kwenye black
and white tuu (sio digitari ), na mawindo ya chatu huanza kwa kuweka mtego kipande cha mwili
ambacho huwa na mng'aro sana, sasa ambacho
humponza mbwa ni kutaka abaini akionacho ni
nini ? Na hapo ndio hujikuta ameingia kwenye 18
za chatu.
Kwa staili hiyo hiyo ya kunaswa kwa mbwa ndio hata binadamu huweza kuingia mtegoni,
afanyacho chatu cha kwanza huficha sehemu zake
zinazoogopwa yaani kichwa, na unapojaribu
kushangaa sehemu aliyoweka mtego, kwa kasi ya
mpira kwa ghafla utakuta ametengeneza alama ya
nane katika mwili wako, na hapo utambue ya kwamba hali yako ni mbaya ? Akisha kuzunguka
tuu kichwa chake huleta usawa wa macho ya
windo lake ili kujua madhumuni yake baada ya
kukikamata,
 
Unachotakiwa kufahamu cha kwanza macho ya
mbwa ni kama kamera za zamani, yaani uwezo
wake wa kutambua rangi unaishia kwenye black
and white tuu (sio digitari ), na mawindo ya chatu huanza kwa kuweka mtego kipande cha mwili
ambacho huwa na mng'aro sana, sasa ambacho
humponza mbwa ni kutaka abaini akionacho ni
nini ? Na hapo ndio hujikuta ameingia kwenye 18
za chatu.
Kwa staili hiyo hiyo ya kunaswa kwa mbwa ndio hata binadamu huweza kuingia mtegoni,
afanyacho chatu cha kwanza huficha sehemu zake
zinazoogopwa yaani kichwa, na unapojaribu
kushangaa sehemu aliyoweka mtego, kwa kasi ya
mpira kwa ghafla utakuta ametengeneza alama ya
nane katika mwili wako, na hapo utambue ya kwamba hali yako ni mbaya ? Akisha kuzunguka
tuu kichwa chake huleta usawa wa macho ya
windo lake ili kujua madhumuni yake baada ya
kukikamata,

Uko vizuri
 
Unachotakiwa kufahamu cha kwanza macho ya
mbwa ni kama kamera za zamani, yaani uwezo
wake wa kutambua rangi unaishia kwenye black
and white tuu (sio digitari ), na mawindo ya chatu huanza kwa kuweka mtego kipande cha mwili
ambacho huwa na mng'aro sana, sasa ambacho
humponza mbwa ni kutaka abaini akionacho ni
nini ? Na hapo ndio hujikuta ameingia kwenye 18
za chatu.
Kwa staili hiyo hiyo ya kunaswa kwa mbwa ndio hata binadamu huweza kuingia mtegoni,
afanyacho chatu cha kwanza huficha sehemu zake
zinazoogopwa yaani kichwa, na unapojaribu
kushangaa sehemu aliyoweka mtego, kwa kasi ya
mpira kwa ghafla utakuta ametengeneza alama ya
nane katika mwili wako, na hapo utambue ya kwamba hali yako ni mbaya ? Akisha kuzunguka
tuu kichwa chake huleta usawa wa macho ya
windo lake ili kujua madhumuni yake baada ya
kukikamata,

Uko vizuri
 
Habari waungwana.

leo nimeweka mezani kwa yoyote mwenye swali interest kuhusu wanyama wa porini.uzi huu ni muhimu kujifunza tabia zao maisha yao kama una swali linakutatiza jiskie free uliza kwa kadiri nnavyoweza nitakujibu au ataekuwa na ufahamu zaidi humu jukwaani atakujibu.ni vizuri kufahamu tabia na mienendo ya wanyama wetu ili kuubust utalii wa ndani.

Karibuni wote, sina mengi kwa kuanza tutakuwa na mengi ya kujifunza
Kuna uhusiano gani kati ya nyumbu na pundamilia maana mara nyingi sana kila utakapomuona nyumbu basi pundamilia hakosekani na penye pundamilia nyumbu yupo pia tofauti na wanyama wengine
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]mkuu kweli Mungu yupo dah ukusikia mtu ka koswakoswa na mamba kumbe ni sawa na kujinasua kwnye uzito wa semu uwiiiiiij mamba kiboko
ndio anafikia miaka 70 hadi 100.huku africa tuna NILE CROCODILE ndio common sana.uzito wa mamba hufikia hadi kg 600 na urefu wa mita 5.ni mnyama ambae anaweza kuishi mwaka mzima bila kula.katika kipindi cha ukame mamba akikosa chakula hushusha mapigo yake ya moyo kwa kila pigo 1 kwa dakika.inaitwa Hirbernated.hufanya hivyo akiwa sehem tulivu bila kujisogeza.ni mnyama pia anaemeza mawe baada ya kula nyama ili kisaidia usagaji wa chakula.kingine ndio mnyama anaeongoza kwa strongest bite.yaani akikubana na ule mdoma wake ni umeangukiwa na semi
 
Kuna uhusiano gani kati ya nyumbu na pundamilia maana mara nyingi sana kila utakapomuona nyumbu basi pundamilia hakosekani na penye pundamilia nyumbu yupo pia tofauti na wanyama wengine
Wanaonekana wako pamoja kwa sababu wote wanahama katika majira sawa, wanakula pamoja na kunywa maji sehemu moja. Na wote nadhani ndiyo wanaongoza kwa kudabuliwa na mamba wakati wakisongamana kuvuka mito katika hama hama yao. Yaani kila show ya National Geographic utawakuta wanafakamiwa na mamba kama vile hawana akili [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Unachotakiwa kufahamu cha kwanza macho ya
mbwa ni kama kamera za zamani, yaani uwezo
wake wa kutambua rangi unaishia kwenye black
and white tuu (sio digitari ), na mawindo ya chatu huanza kwa kuweka mtego kipande cha mwili
ambacho huwa na mng'aro sana, sasa ambacho
humponza mbwa ni kutaka abaini akionacho ni
nini ? Na hapo ndio hujikuta ameingia kwenye 18
za chatu.
Kwa staili hiyo hiyo ya kunaswa kwa mbwa ndio hata binadamu huweza kuingia mtegoni,
afanyacho chatu cha kwanza huficha sehemu zake
zinazoogopwa yaani kichwa, na unapojaribu
kushangaa sehemu aliyoweka mtego, kwa kasi ya
mpira kwa ghafla utakuta ametengeneza alama ya
nane katika mwili wako, na hapo utambue ya kwamba hali yako ni mbaya ? Akisha kuzunguka
tuu kichwa chake huleta usawa wa macho ya
windo lake ili kujua madhumuni yake baada ya
kukikamata,
Asante mkuu, ili jibu nilikua nimelisahau.
 
Unachotakiwa kufahamu cha kwanza macho ya
mbwa ni kama kamera za zamani, yaani uwezo
wake wa kutambua rangi unaishia kwenye black
and white tuu (sio digitari ), na mawindo ya chatu huanza kwa kuweka mtego kipande cha mwili
ambacho huwa na mng'aro sana, sasa ambacho
humponza mbwa ni kutaka abaini akionacho ni
nini ? Na hapo ndio hujikuta ameingia kwenye 18
za chatu.
Kwa staili hiyo hiyo ya kunaswa kwa mbwa ndio hata binadamu huweza kuingia mtegoni,
afanyacho chatu cha kwanza huficha sehemu zake
zinazoogopwa yaani kichwa, na unapojaribu
kushangaa sehemu aliyoweka mtego, kwa kasi ya
mpira kwa ghafla utakuta ametengeneza alama ya
nane katika mwili wako, na hapo utambue ya kwamba hali yako ni mbaya ? Akisha kuzunguka
tuu kichwa chake huleta usawa wa macho ya
windo lake ili kujua madhumuni yake baada ya
kukikamata,
1. Kwamba kila wakati mbwa anapokuwa amemuona chatu ni la zima awe amekutana na huo mng'aro hata kama hakuna jua?
2. Kwanini mbwa ang'ang'anie kwenda kushangaa huo mng'aro?
3. Kwanini mbwa asivutiwe na chakula badala yake avutiwe na kutaka kujua huo mng'aro ni kitu gani?
4. What's so special with that dazzling?
 
Mkuu hao nyoka ni wa aina mbili tofauti,,,unaweza kujuwa ni nyoka wa aina gani?na nini kilipelekea wote wawili kufa ktk hali hyo?hakika wewe ni mbobezi,,,Mimi bado sijaelewa mkuu
IMG_20180719_193353_888.jpeg
 
Mkuu hao nyoka ni wa aina mbili tofauti,,,unaweza kujuwa ni nyoka wa aina gani?na nini kilipelekea wote wawili kufa ktk hali hyo?hakika wewe ni mbobezi,,,Mimi bado sijaelewa mkuuView attachment 1480352
Nyoka mmoja ni wa kuuma na ana sumu halafu mwingine ni wa kunyonga na kamnyonga hadi kufa lakini na yeye kapiwa sumu hivyo wamekufa wote.
 
Kuna uhusiano gani kati ya nyumbu na pundamilia maana mara nyingi sana kila utakapomuona nyumbu basi pundamilia hakosekani na penye pundamilia nyumbu yupo pia tofauti na wanyama wengine
kikubwa zaidi nyumbu kuw karibu na pundamilia ni kwa ajili ya security.pundamilia ni mwepesi sana kujua hatari sababu ana uwezo mkubwa wa kunusa,kusikia na kuona tofauti na nyumbu.
 
Mkuu hao nyoka ni wa aina mbili tofauti,,,unaweza kujuwa ni nyoka wa aina gani?na nini kilipelekea wote wawili kufa ktk hali hyo?hakika wewe ni mbobezi,,,Mimi bado sijaelewa mkuuView attachment 1480352
huyo mwenye mabaka ni chatu huyo mwingine ni KING KOBRA.naona chatu alitaka kummeza ila sababu king kobra ana sumu kali sana.hapo wamewezana
 
mbwa ni mdadisi sana mara nyingi chatu akiingia mbwa huweza kunusa haraka kwamba kuna adui.kinachomponza mbwa au wanyama wengine ni UDADISI kutaka kujua ni kitu gani hichi hii inaitwa(curiousity).kuna msemo unaitwa curiousity killed a cat ndo nachomaanisha.
Unailezeaje ile habari ya kwamba mbwa akimuona chatu huwa anajipeleka kwenyewe kwa chatu?
Tunaambiwa kwamba hata ukijaribu kumzuia mbwa huyo huwa na hali ya kulazimisha kwenda kwa chatu. Je, kuna ukweli gani juu ya hili jambo?
cc: adden
 
ku
Nasikia kuna Kifaru albino huko Kenya na ndio amebakia yeye tu pekee Africa.. Hivi waafrika wanashindwaje kuendeleza hiki kizazi?
albinisms kwa wanyama hutokea km ikitokea kwa binadam.yaani ni tatizo katika utengenezaji wa pigments za kutoa rangi wakati kiumbe kiko tumboni.hivyo zikiwa pungufu ndio hutoa albino.hivyo ni aina ya ulemavu katika melanin.zile crossbreed wanazofanya ni wanachanganya DNA za mfano simba na tiger au chui na jaguar-blackpanther.hufanya hivyo kwa mtiririko kulingana dna zinazoweza kushabihiana.
 
Yupo nyoka nimeshamshuhudia mwenyewe zaidi ya mara 3 nikiwa mdogo ana kichwa mbele na nyuma anaitwa ndumilakuwili unless uniambie sio nyoka ila ni jamii fulani ya reptilia
nyoka anatumia ulimi wake kama antena ili kupata frequences ya kitu kilichopo mbele yake.sense of vision ya nyoka ni ndogo sana.anapotoa ulimi na kuurudisha ndani inapeleka straight kwenye ubongo utambuzi wa kilichopo mbele na kumpa decision ya kufanya.wale nyoka wenye kimkia kinacheza wanaitwa VIPER na PUFFY ADDER kile kimkia akitingisha anatoa taarifa ya uwepo wake pale ili usisogelee na kumfanya ajihami.hakuna nyoka wenye vichwa viwili hizo ni TALES tu.labla ikitokea ni abnomalities tuu au kijenetiki.ila nyoka na wanyama ALBINO wapo.
 
Back
Top Bottom