Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew ndio Yule jamaa uliekua unatuadisia move shulen[emoji1787][emoji1787]Chui unaweza kulala naye juu ya mti usijue halafu ye akakuona akakuacha tu mpaka kuna kucha unafungua macho anakupita miguuni anaelekea kwenye mishe zake.
Kuna wanyama nuksi yani hata kama limeshiba likikukuta litapata tamaa kutaka kukuua likufanye akiba ya msosi wa kesho
Fisi- Ekitalago, Chui- Empisi, Simba- Entare, Tembo- nimekwamaFisi, Chui, Simba na Tembo kwa kihaya wanaitwaje?
AiseeKuna mnyama anaitwa Fungo (kama sijakosea)... ni kweli kwamba anajisadia sehemu moja tu..!!? Kwamba kama sehemu ya kujisaidia ipo Mbeya, akibanwa na haja akiwa Mwanza anatoka mbio hadi Mbeya kwenda kujisaidia?
Sasa wakiwasahau watoto wao inakuwaje wakitaka kunyonya au watoto wanajiongeza wenyewe?TWIGA.
ndio mnyama mrefu kuliko wote duniani.
ana urefu w futi13.urefu wa watu wazima 2.
ni mnyama aliye na mwendo wa kipekee yaani AMBLING movement.akitembea au kukimbia utahisi ni muvi ya kimgandisho.twiga maisha milele halali analala siku amefariki tuu.anabeba mimba kwa miez15 mtoto anazaliw na kg100.teke lake ni uzito wa kg200 one blow can kill a lion instantly.ingawa ni mrefu lakin ajabu uti wake wa mgongo una pingiri(vertrbrae)idadi sawa na za binadamu.twiga anajulikana kama mama mbaya kuwahi kutokea sababu anasau kama ana mtoto sababu ya [emoji3]urefu(bad mother).ulimi wao ni mrefu hadi fut2 na una gundi sababu ya kula majani palipo na miba mingi(acacia).ni katika wanyama waliwahi kukutwa wakila nyama sababu ya kuongeza madini flani mwilini haswa calcium.
nimeweka machache kama una maswali uliza
wanajuana kwa harufu.hata wakitenganishwa wakiwa watoto wakikutana ukubwana hutambuana kwa harufuNataka kujua simba wa familia moja(pride) wanawezaje kujitofautisha na familia nyingine wakati wanafanana kila kitu? Hili nimeuliza kwa sababu ikitokea familia moja ikaingia kwenye eneo(territory) ya familia nyingine hutokea ugomvi mkubwa sana hasa majike.
black panther ni jaguar wametofautiana rangi tuu.na hawa hupatikana nchi zisizo africa.hivyo ni jamii ya chui kabisa isipokuwa jaguar ana mwili mkubwa kidogo.niongeze kwamba kuna mambo hutokea kwa mnyama akawa mweusi au mweupe(albinism)kwa mfano twiga wako albino na wapo ambao rangi nyeusi inazidi kuliko rangi ingine hili suala huchangiwa(melanin)unakuta pigments ya rangi fulani inazid hivyo mnyama anatoka na melanin nyingi.....black panther nae ana nini cha kustaajabisha??.....
Duh kumbe urefu sio dili kabisa.inabidi mtoto ajiongeze tuu lasivyo anakuwa kitoweo
ni mazingira tuu ya kila mnyama alivyo.kiboko ana mkia mfupi lakini upo kwa ajili ya kusambaza kinyesi kinapotoka yaani mkia unamsaidia kukata gogo lisiwe refu.ila kwa mbuzi sijui wala kondoo kwann mafuta yawepo mkiani.kama duma mkia wake ndio humsaidia kukata kona.hivyo kuna wanyama hawana shida ya kuwa na mkia mrefu km hana kaz nao.mfano chui angekuwa hana mkia mrefu ni rahisi kwa watoto wake kupotea sababu hufuata mkia wa mama kila anapokwenda!!Kwanin mbuzi anamkia mfup?
Mkuu [emoji120][emoji120][emoji120] [emoji119][emoji119]ni mazingira tuu ya kila mnyama alivyo.kiboko ana mkia mfupi lakini upo kwa ajili ya kusambaza kinyesi kinapotoka yaani mkia unamsaidia kukata gogo lisiwe refu.ila kwa mbuzi sijui wala kondoo kwann mafuta yawepo mkiani.kama duma mkia wake ndio humsaidia kukata kona.hivyo kuna wanyama hawana shida ya kuwa na mkia mrefu km hana kaz nao.mfano chui angekuwa hana mkia mrefu ni rahisi kwa watoto wake kupotea sababu hufuata mkia wa mama kila anapokwenda!!
amejichora tattoo za nyoka had I usonijamaa vifaa vyake vinamsaidia san na kujiamini.inaonyesha kafanya course ya nyoka tu. Ila ni kazi hatari sana
Ile sifanyi hata kwa dawa.
Kuna siku walienda kumkamata koboko, juu ya na mti una shimo koboko kaingia ndni ya shimo , jamaa kamkamata mkia il alikuwa anatetemeka miguu sanaaa. Nilicheka aisee kifo kisikie tuamejichora tattoo za nyoka had I usoni