Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

naomba niweke hii heads up kidogo ili kama kuna swali mtu atapata katika muswada huu.hizi facts kidogo tuu kuhusu wanyama.
1.cheetah au duma hawindi usiku kama wanyama wengine jamii ya paka.kwanini??!
duma chini ya macho yake ana mistari meusi(tear marks)kama machozi tiririka ambazo ni maalum kwa ajil ya kuwinda mchana tuu wa jua kali.hizi tear marks humfanya awe kama amevaa miwani meusi ya jua.hivyo sababu anazo miwani meusi hawezi kuona vizuri usiku.tofauti iliyopo kati ya duma na chui ni kubwa ingawa kwa watu wachache hushindwa kungamua.
duma ana madoa tuu na kichwa kidogo kilichobeba mwili mwembamba ingawa ni mkubwa kimwili kuliko chui.ana moyo mkubwa na mapafu makubwa sababu ameumbwa kwa kukimbia spidi kubwa ya km 120 kw saa.huchukua sekunde 3 kutoka spidi 0 hadi 120.ndio mnyama mwenye mbio kuliko wote duniani.
2.Kiboko(hippo)ni mnyama wa pili kwa uzito akitoka tembo ingawa ushahidi bado unaelea kuhusu kiboko na kifaru kwa ukubwa.ndio mnyama wa kwanza kwa kuua binadam wengi akifuatiwa na nyati.kiboko ni amphibians yaani maisha yao yote wanaishi ndani ya maji.ingawa kiboko hula majani na mbogamboga tu wakati wa usku jua limepoa sababu ngoz yao haina sweat glands hivyo kuwafanya kuumia sana wakipatwa na jua.kiboko hajui kuogelea ingawa anaishi majini.anaweza kunyonyesha mtoto ndani chini ya maji.kiboko wanaishi na mla nyama mamba lakini wana mipaka huwez kuskia mamba kala kiboko!kwanini??!!sababu kiboko akila majani anajisaidia ndani ya maji.kinyesi ndio chakula kikubwa cha samaki na samaki ndio chakula kikubwa cha mamba.
3.nyati
ni jamii ya ngombe wakubwa wa porini.
hula majani na ndio mnyama tishio na wa kuogopwa kuliko yoyote.
nyati huishi katika makundi makubwa kwa ajili ya ulinzi.nyati mzee hutengana na kundi lake sababu ya kuhama hama kwa kundi katika kutafuta chakula hivyo anakuwa hana ushawishi na nguvu sana kuongozana nao.hii hupelekea nyati huyu kubaki mwenyewe au wachache na huwa wakorofi sna sababu maisha yao yanakuwa hatarini zaidi.kuna walioamini kwamba kujitenga kwa nyati kutoka kwenye kund ni sababu kuchukuliwa mke wake!!hivyo hujitenga na kundi ili apate chakula cha kutosha(akiamini akibaki mwenywe chakula kitamtosha kuliko kula wengi) kisha akipata nguvu kubwa hurudi kundini kulipa kisasi.hilo si kweli.

nitakuwa naweka vipengele vifupi vya fact kila aina ya mnyama tofauti na tutajibu maswali kwa wataouliza
 
mtaalamu, ningependa kufahamu, hv ni kwel kwamba faru(rhino) ile pembe yke huwa ni soft sana akiwa hajakasirika?..nilisimuliwaga kwamba ile pembe huwa ngumu pind tu anapokuwa agressive
Swali la pili, hivi ni kwel swala hasikii? Huwa hutumia kwato zke kuhis hatar?
 
naomba niweke hii heads up kidogo ili kama kuna swali mtu atapata katika muswada huu.hizi facts kidogo tuu kuhusu wanyama.
1.cheetah au duma hawindi usiku kama wanyama wengine jamii ya paka.kwanini??!
duma chini ya macho yake ana mistari meusi(tear marks)kama machozi tiririka ambazo ni maalum kwa ajil ya kuwinda mchana tuu wa jua kali.hizi tear marks humfanya awe kama amevaa miwani meusi ya jua.hivyo sababu anazo miwani meusi hawezi kuona vizuri usiku.tofauti iliyopo kati ya duma na chui ni kubwa ingawa kwa watu wachache hushindwa kungamua.
duma ana madoa tuu na kichwa kidogo kilichobeba mwili mwembamba ingawa ni mkubwa kimwili kuliko chui.ana moyo mkubwa na mapafu makubwa sababu ameumbwa kwa kukimbia spidi kubwa ya km 120 kw saa.huchukua sekunde 3 kutoka spidi 0 hadi 120.ndio mnyama mwenye mbio kuliko wote duniani.
2.Kiboko(hippo)ni mnyama wa pili kwa uzito akitoka tembo ingawa ushahidi bado unaelea kuhusu kiboko na kifaru kwa ukubwa.ndio mnyama wa kwanza kwa kuua binadam wengi akifuatiwa na nyati.kiboko ni amphibians yaani maisha yao yote wanaishi ndani ya maji.ingawa kiboko hula majani na mbogamboga tu wakati wa usku jua limepoa sababu ngoz yao haina sweat glands hivyo kuwafanya kuumia sana wakipatwa na jua.kiboko hajui kuogelea ingawa anaishi majini.anaweza kunyonyesha mtoto ndani chini ya maji.kiboko wanaishi na mla nyama mamba lakini wana mipaka huwez kuskia mamba kala kiboko!kwanini??!!sababu kiboko akila majani anajisaidia ndani ya maji.kinyesi ndio chakula kikubwa cha samaki na samaki ndio chakula kikubwa cha mamba.
3.nyati
ni jamii ya ngombe wakubwa wa porini.
hula majani na ndio mnyama tishio na wa kuogopwa kuliko yoyote.
nyati huishi katika makundi makubwa kwa ajili ya ulinzi.nyati mzee hutengana na kundi lake sababu ya kuhama hama kwa kundi katika kutafuta chakula hivyo anakuwa hana ushawishi na nguvu sana kuongozana nao.hii hupelekea nyati huyu kubaki mwenyewe au wachache na huwa wakorofi sna sababu maisha yao yanakuwa hatarini zaidi.kuna walioamini kwamba kujitenga kwa nyati kutoka kwenye kund ni sababu kuchukuliwa mke wake!!hivyo hujitenga na kundi ili apate chakula cha kutosha(akiamini akibaki mwenywe chakula kitamtosha kuliko kula wengi) kisha akipata nguvu kubwa hurudi kundini kulipa kisasi.hilo si kweli.

nitakuwa naweka vipengele vifupi vya fact kila aina ya mnyama tofauti na tutajibu maswali kwa wataouliza
tanx kwa maelezo, aisee ni kwa nn kiboko anapenda sana kuua binadamu, halafu nasikia yy anakujeruh tu, wala hali nyama..pili nasikia simba huwa wanamuogopa kiboko ni kwl?
 
SIMBA.
ni jamii ya paka wakubwa wa porini.
huishi katika familia ya simba 10 hadi 30.dume 1 au 2 ndani ya familia moja yenye wake 7 au 8.je wanawezaje kumudu wake wengi hvyo??!!simba au wanyama wengine ispokuwa binadam na nyani hufanya ngono kwa kuzaliana tuu na si kwa starehe!!.simba dume husubiri hadi majike wafike katika joto ndio huwapanda .kipindi jike1 akiingia kwenye joto na dume wako 2 basi hufanya mbio kukimbilia alipo jike ili ataefika wa kwanza ndio hupata kumpanda.kama uliwahi kuskia simba dume 2 kufanya ushoga huko kenya ule sio ushoga bali ilikuwa jike like kwenye heat.simba dume alimpanda dume ili kumhonyesha jike kwamba mi ni kidume kuliko huyu.haikuwa kitendo cha ushoga km ilivyodhaniwa ile inaitwa dominance.hufanya tendo kila baada ya dkk15 ndani ya siku 7!pasipo kula ni kunywa maji!.uume wa simba una miba kwa ajili ya kustimulate jike ndio sababu ndani ya tendo huwa ugomvi sbb ya ile miba.wanafanya sex kwa mda huo sababu ovulation ya jike simba ni slow sana hyo anabahatisha kila mda kuipandia.
jike akipata mimba baada ya miez 3 hujitenga na familia na kwenda kujifungua hukaa huko kwa mda wa wiki 2 au zaid hadi watoto waanze kuona kisha huwaleta kuwatambulisha katika familia.simba huzaa mtoto 1 au 2 tu.baada ya miaka miwili watoto wamekua jike hubaki kwenye familia ila madume km wapo hufukuzwa wote kundini ili wasije kuwapanda dada zao sbb miaka 2 simba dume anakuwa amebalee.ni gundu sna kwa simba kuzaa na dada zake.simba dume ndio mnyama mzembe kuliko wote ila ndio mbabe.sababu hutumia masaa 22 kwa siku kulala tuu na masaa mengine kula na kunywa tu.simba watoto au wakubwa huwa madoa mfano wa chui sababu wamechangia babu zao.ukikuta simba ananyonyesha chui ujue ni mpwa wake au binamu.
 
mtaalamu, ningependa kufahamu, hv ni kwel kwamba faru(rhino) ile pembe yke huwa ni soft sana akiwa hajakasirika?..nilisimuliwaga kwamba ile pembe huwa ngumu pind tu anapokuwa agressive
Swali la pili, hivi ni kwel swala hasikii? Huwa hutumia kwato zke kuhis hatar?
ile pembe imeundwa na keratin(kama kucha zetu)hivyo imekaza mda wote na ni ngumu mda wote inaweza kutoboa hata ukuta.hapana swala wanaskia kwa maskio ingawa wanapenda kuwa karibu na wanyama wengine ili kwenye hatari wapate taarifa.
 
tanx kwa maelezo, aisee ni kwa nn kiboko anapenda sana kuua binadamu, halafu nasikia yy anakujeruh tu, wala hali nyama..pili nasikia simba huwa wanamuogopa kiboko ni kwl?
anaua sababu ya kujilinda na hatari tuu.kiboko ana canine teeth(meno)marefu ambayo yanaweza kukata ngalawa vipande vipande.kwanni simba asiogope!mdomo wake unafunguka 180degrees!!hvyo we pia binadam anakukata vipande tuu.
 
TWIGA.
ndio mnyama mrefu kuliko wote duniani.
ana urefu w futi13.urefu wa watu wazima 2.
ni mnyama aliye na mwendo wa kipekee yaani AMBLING movement.akitembea au kukimbia utahisi ni muvi ya kimgandisho.twiga maisha milele halali analala siku amefariki tuu.anabeba mimba kwa miez15 mtoto anazaliw na kg100.teke lake ni uzito wa kg200 one blow can kill a lion instantly.ingawa ni mrefu lakin ajabu uti wake wa mgongo una pingiri(vertrbrae)idadi sawa na za binadamu.twiga anajulikana kama mama mbaya kuwahi kutokea sababu anasau kama ana mtoto sababu ya 😀urefu(bad mother).ulimi wao ni mrefu hadi fut2 na una gundi sababu ya kula majani palipo na miba mingi(acacia).ni katika wanyama waliwahi kukutwa wakila nyama sababu ya kuongeza madini flani mwilini haswa calcium.
nimeweka machache kama una maswali uliza
 
SIMBA.
ni jamii ya paka wakubwa wa porini.
huishi katika familia ya simba 10 hadi 30.dume 1 au 2 ndani ya familia moja yenye wake 7 au 8.je wanawezaje kumudu wake wengi hvyo??!!simba au wanyama wengine ispokuwa binadam na nyani hufanya ngono kwa kuzaliana tuu na si kwa starehe!!.simba dume husubiri hadi majike wafike katika joto ndio huwapanda .kipindi jike1 akiingia kwenye joto na dume wako 2 basi hufanya mbio kukimbilia alipo jike ili ataefika wa kwanza ndio hupata kumpanda.kama uliwahi kuskia simba dume 2 kufanya ushoga huko kenya ule sio ushoga bali ilikuwa jike like kwenye heat.simba dume alimpanda dume ili kumhonyesha jike kwamba mi ni kidume kuliko huyu.haikuwa kitendo cha ushoga km ilivyodhaniwa ile inaitwa dominance.hufanya tendo kila baada ya dkk15 ndani ya siku 7!pasipo kula ni kunywa maji!.uume wa simba una miba kwa ajili ya kustimulate jike ndio sababu ndani ya tendo huwa ugomvi sbb ya ile miba.wanafanya sex kwa mda huo sababu ovulation ya jike simba ni slow sana hyo anabahatisha kila mda kuipandia.
jike akipata mimba baada ya miez 3 hujitenga na familia na kwenda kujifungua hukaa huko kwa mda wa wiki 2 au zaid hadi watoto waanze kuona kisha huwaleta kuwatambulisha katika familia.simba huzaa mtoto 1 au 2 tu.baada ya miaka miwili watoto wamekua jike hubaki kwenye familia ila madume km wapo hufukuzwa wote kundini ili wasije kuwapanda dada zao sbb miaka 2 simba dume anakuwa amebalee.ni gundu sna kwa simba kuzaa na dada zake.simba dume ndio mnyama mzembe kuliko wote ila ndio mbabe.sababu hutumia masaa 22 kwa siku kulala tuu na masaa mengine kula na kunywa tu.simba watoto au wakubwa huwa madoa mfano wa chui sababu wamechangia babu zao.ukikuta simba ananyonyesha chui ujue ni mpwa wake au binamu.
Kwahiyo, kwa hapo mwisho unataka kusema Chui na Simba huwa wanajamiiana na kupata watoto kabisa?
 
Je haiwezi kuwa ni sababu za ulemavu kama ilivyo kwa wanadamu mapacha walioungana?
Nyoka niliomuona ni mwenye vichwa viwili Ila upande mmoja Wana share mwili mmoja respiratory, digestion, reproduction nk na huwa hawaishi muda coz vile vichwa vyao huwa wanaumana kwenye kupiga msosi japokua akila mmoja wamekula wote

Ila sijawahi ona vichwa viwili mkia na mkia
 
Nilishawahi kukutana na chui uso kwa uso vu bin vu nikafreeze kwa woga haoooo tukatazamana tu kwa sekunde kadhaa halafu huyo kimya kimya akaenda zake. Tangu hapo navutiwa sana na mnyama huyu msiri; na ningependa kujua tabia zake za msingi. Huwa anashambulia binadamu? Anapenda kuwinda wakati gani? Maisha yake yakoje kwa ujumla?
43e701c0-b16d-4405-9c1f-13b0f8e7cdaa.gif
 
Swali langu ni kuhusu mnyama punda, historia yake kidogo, na hasa sehem za Siri za dume kuonekana kubwa Sana na ndefu, na jike sehem ya Siri zao kuonekana ndogo, hii imekaaje kwenye swala la kujamiana kwao. Asante.
 
Swali langu ni kuhusu mnyama punda, historia yake kidogo, na hasa sehem za Siri za dume kuonekana kubwa Sana na ndefu, na jike sehem ya Siri zao kuonekana ndogo, hii imekaaje kwenye swala la kujamiana kwao. Asante.
punda ana tabia kama za pundamilia tofauti yao ni mistari na mmoja anafugwa mwingine ni wa porini.
ni kweli huyu mnyama amejaaliwa mashine.pundamilia huwa na tabia ya ajbu sana haswa akijua demu wake kapewa mimba na mtu mwingine.anachokifanya humshindilia jike mwenye mimba mashine yote ndani hadi mimba inatoka(abortian).ndio wanyama pia wanaopiga mtungo yaani jike 1 madume 2 (3some).
 
Back
Top Bottom