Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

nyoka anatumia ulimi wake kama antena ili kupata frequences ya kitu kilichopo mbele yake.sense of vision ya nyoka ni ndogo sana.anapotoa ulimi na kuurudisha ndani inapeleka straight kwenye ubongo utambuzi wa kilichopo mbele na kumpa decision ya kufanya.wale nyoka wenye kimkia kinacheza wanaitwa VIPER na PUFFY ADDER kile kimkia akitingisha anatoa taarifa ya uwepo wake pale ili usisogelee na kumfanya ajihami.hakuna nyoka wenye vichwa viwili hizo ni TALES tu.labla ikitokea ni abnomalities tuu au kijenetiki.ila nyoka na wanyama ALBINO wapo.
Nyoka wenye vichwa viwili wapo na kwetu huitwa ndumila kuwili anakichwa mbele na nyuma
 
Nyoka wenye vichwa viwili wapo na kwetu huitwa ndumila kuwili anakichwa mbele na nyuma

Kwenye tasnia ya mifugo, hiyo kitu tunaita congenital defects, na mara nying kiumbe hakiwez survive kwa muda mrefu, ila kwa nyoka vichwa viwili..nilisomaga story tu na zile movie za kichina za dragon.. Ya MUNGU mengi labda wapo, i never know.
 
Nyoka wenye vichwa viwili wapo na kwetu huitwa ndumila kuwili anakichwa mbele na nyuma
hao nyoka nakumbuka zamani sana kwenye mashamba ya mipunga nilishawaona hata ukimkata katikati anakwenda mwingine mbele kipande kingine kinaendelea nyuma.yaani anaweza kutembea vyote vyot!ngoja nifatilie kwenye kabrasha.lakini sio aina ya nyoka ile kwa jinsi nakumbuka ni kama worms au aina hiyo
 
hao nyoka nakumbuka zamani sana kwenye mashamba ya mipunga nilishawaona hata ukimkata katikati anakwenda mwingine mbele kipande kingine kinaendelea nyuma.yaani anaweza kutembea vyote vyot!ngoja nifatilie kwenye kabrasha.lakini sio aina ya nyoka ile kwa jinsi nakumbuka ni kama worms au aina hiyo
Nyoka niliomuona ni mwenye vichwa viwili Ila upande mmoja Wana share mwili mmoja respiratory, digestion, reproduction nk na huwa hawaishi muda coz vile vichwa vyao huwa wanaumana kwenye kupiga msosi japokua akila mmoja wamekula wote

Ila sijawahi ona vichwa viwili mkia na mkia
 
Nyoka niliomuona ni mwenye vichwa viwili Ila upande mmoja Wana share mwili mmoja respiratory, digestion, reproduction nk na huwa hawaishi muda coz vile vichwa vyao huwa wanaumana kwenye kupiga msosi japokua akila mmoja wamekula wote

Ila sijawahi ona vichwa viwili mkia na mkia
inategemea wameungana kwa sehemu ipi ya mwili!kwa nyoka waliozaliwa wameungana wanaweza kuishi hata miaka 20 ila iwe kichwa kimoja ndo chenye full decisions.
 
mimi swali ninalojiulizaga na kukosa majibu ni, je mtu aliyezaliwa na upofu alalapo au anapokuwa usingizini anaweza kuota ndoto na kuona kama sisi tusio vipofu mana sisi tunapolala huwa tunafumba macho lakin tuna uwezo wa kuona taswira za watu kupitia ndoto za uongo au ukweli. mana tunapofunga macho huwa tunakuwa sawa kwa kuona giza je tunaweza wote kuota sawa?
 
Mtoa mada
Kwanini twiga hatoi sauti namaanisha kwanini hana uwezo wa kutoa sound!
Na kwanini Simba dume ana sharubu
twiga anatoa sauti lakini ni ngumu kwa binadamu kuskia.ila ni mara chache anaweza kupiga kitu kama mruzi(mbinja).wao kwa wao ndio wanaweza kuwasiliana na mara nyingi hupeana ishara kukiwa na hatari bila ya kutoa sauti.
sharubu kwa simba ni kwaajili ya display yaani kuvutia wanawake (urembo)na sio kwa ajili ya ulinzi wa shingo wakati wakigombana na dume mwenzie kama wengi wanavyooelewa.
 
mimi swali ninalojiulizaga na kukosa majibu ni, je mtu aliyezaliwa na upofu alalapo au anapokuwa usingizini anaweza kuota ndoto na kuona kama sisi tusio vipofu mana sisi tunapolala huwa tunafumba macho lakin tuna uwezo wa kuona taswira za watu kupitia ndoto za uongo au ukweli. mana tunapofunga macho huwa tunakuwa sawa kwa kuona giza je tunaweza wote kuota sawa?
ni kweli vipofu wanaota sababu wana sub conscious mind kama binadam wengine.ila wao ndoto zao zinakuwa ngumu sana kwenye uhalisia wake.
 
Hivi nyoka ni vipofu au wanaona? na kama wanaona kwanini anaweza akakupitia miguuni kwako? ukiwa umetulia sehem moja? pili kazi ya ulimi wake ni nini? anapoutoa na kurudisha ndani? na kuna baadhi ya nyoka wanakuwa na kama mkia Fulani unachezecheza kwa nyuma..inawasaidia nn? na wake nyoka wa vichwa viwili inakuwa ni ulemavu au ndy maumbile yao? hao nyoka wanaitwaje?
Nyoka ana macho na anaona vizuri, kuhusu swala la kutoa ulimi nje kila mara hii inatokana na kuwa nyoka hana masikio kama wanyama wengne kwaiyo anatumia ulimi kunasa mawimbi ya sauti.
 
honeybadger au nyegere ni mnyama mdogo ila mkorofi na mkali kwa mnyama yoyote anaejaribu kumsogelea.chakula chake ni wadudu ikiwemo nyoka na asali.ana ngozi ngumu ambayo hata jino la simba haliwez wala panga na shoka linadunda ispokuwa labda kwa ngozi ya chini ya tumbo ndio dhaifu kidogo.ana antvenom hata nyuki wamshambulie hadhuriki anachofanya huwajambia nyuki hadi wanalewa kisha kula asali ushuzi wake ni kemikali kali huweza kufkuza hata fisi na simba.nyoka humgonga na kumsababishia kizunguzungu tuu cha mda kisha hurudi sawa.harufu ya ushuzi wake inatoka kwenye anal gland wala haiusiani na vyakula anavyokula.harufu ya ushuzi wake hutengenewa pafyum ambayo inauzwa ghali sana dunuani
Kuongezea pia ni mnyama mwenye wivu sana kwa mwenza wake na nimbabe anaweza pigana hata na simba dume wawili bila uoga
 
twiga anatoa sauti lakini ni ngumu kwa binadamu kuskia.ila ni mara chache anaweza kupiga kitu kama mruzi(mbinja).wao kwa wao ndio wanaweza kuwasiliana na mara nyingi hupeana ishara kukiwa na hatari bila ya kutoa sauti.
sharubu kwa simba ni kwaajili ya display yaani kuvutia wanawake (urembo)na sio kwa ajili ya ulinzi wa shingo wakati wakigombana na dume mwenzie kama wengi wanavyooelewa.
Kwa mamalia ni ngumu Sana dume kumvutia jike kimuonekano navyojua!
Ndege, reptilia,na insect ndio wana sexual dermophisim mfano unakuta jogoo nimzuri kuliko mtetea au dume la Weaver linapendeza kuliko majike!

Kuhusu sharubu za Simba kumkinga asipatwe majeraha shingoni ni kweli kabisa coz Simba dume akiingia territory ya mwenzake mpambano huwa ni mkali till last blood drop
 
Chui unaweza kulala naye juu ya mti usijue halafu ye akakuona akakuacha tu mpaka kuna kucha unafungua macho anakupita miguuni anaelekea kwenye mishe zake.

Kuna wanyama nuksi yani hata kama limeshiba likikukuta litapata tamaa kutaka kukuua likufanye akiba ya msosi wa kesho
Ila ukianzisha vita naye, nasikia huwa hana vita vya ana kwa ana kama vya Simba. Yeye huwa anapigana ile inaitwa "guerilla war", kwamba unashambulia halafu unatokomea kusikojulikana kwa kutumia njia hii, halafu unakwenda kurudi tena kisirisiri, kimya kimya na kwa kutumia njia nyingine, halafu unashambulia tena. Nasikia vita vya chui ni balaa, bora Simba!
 
Kwa mamalia ni ngumu Sana dume kumvutia jike kimuonekano navyojua!
Ndege, reptilia,na insect ndio wana sexual dermophisim mfano unakuta jogoo nimzuri kuliko mtetea au dume la Weaver linapendeza kuliko majike!

Kuhusu sharubu za Simba kumkinga asipatwe majeraha shingoni ni kweli kabisa coz Simba dume akiingia territory ya mwenzake mpambano huwa ni mkali till last blood drop
mainly simba hushambulia kwenye spinal cord kuliko shingoni!hawa wakiwa kwenye fighting.unaonaje hiyo??
 
Back
Top Bottom