Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

nyoka anatumia ulimi wake kama antena ili kupata frequences ya kitu kilichopo mbele yake.sense of vision ya nyoka ni ndogo sana.anapotoa ulimi na kuurudisha ndani inapeleka straight kwenye ubongo utambuzi wa kilichopo mbele na kumpa decision ya kufanya.wale nyoka wenye kimkia kinacheza wanaitwa VIPER na PUFFY ADDER kile kimkia akitingisha anatoa taarifa ya uwepo wake pale ili usisogelee na kumfanya ajihami.hakuna nyoka wenye vichwa viwili hizo ni TALES tu.labla ikitokea ni abnomalities tuu au kijenetiki.ila nyoka na wanyama ALBINO wapo.
Uko vizuri mkuu
 
Hapa mkuu, jamaa alimaanisha mnyama ambaye endapo atakutana na simba basi simba lazima akimbie kuokoa maisha yake kulingana na hatari ambayo iko mbele yake

Na nahisi hapa mbwa mwitu ana-fit kabisa maana wale mabwana hawanogi kama ugali usio na mboga. Naskia wana rules yao ya "one touch" yani kimbiza ng'ata kisha sizi pembeni endelea kutafuna ulicho ng'ata huku wenzako wakiendelea kukimbiza kwa mtindo huo huo mpaka mnyama anayewindwa kuishiwa nguvu na kuanguka.

Yani eti hawawindi ka simba anavyofanya mpaka amuangushe mnyama chini ahakikishe amekufa kabisa ndio aanze kumla. Wao hawaepui wanalia jikoni hapo hapo kikiwa bado chamoto moto huku kikiendelea kuchemka.
Kuna clip niliona mbwa mwitu kang'ang'ania pumbu za nyati hadi akachomoka nazo
 
Chui mara nyingi ni mwepesi kubaini uwepo wako kwenye eneo lake (territory) kabla hujamuona.

Chui ni miongoni mwa wanyama wawili akiwemo mamba ambao kuwawinda ( uwindaji wa kitalii) ni changamoto.
Chui wakati wa kumuwinda hata ukimtegea mzoga hababaiki nao mpaka ajue aliyeuweka na malengo ya kuweka hapo.
Vinginevyo wanyama karibu wote wanamuogopa binadamu mpaka atakapoona usalama wake uko hatarini
Nilishawahi kukutana na chui uso kwa uso vu bin vu nikafreeze kwa woga haoooo tukatazamana tu kwa sekunde kadhaa halafu huyo kimya kimya akaenda zake. Tangu hapo navutiwa sana na mnyama huyu msiri; na ningependa kujua tabia zake za msingi. Huwa anashambulia binadamu? Anapenda kuwinda wakati gani? Maisha yake yakoje kwa ujumla?
 
Mamba ndy mnyama anayeishi miaka mingi..Kama sikosei
ndio anafikia miaka 70 hadi 100.huku africa tuna NILE CROCODILE ndio common sana.uzito wa mamba hufikia hadi kg 600 na urefu wa mita 5.ni mnyama ambae anaweza kuishi mwaka mzima bila kula.katika kipindi cha ukame mamba akikosa chakula hushusha mapigo yake ya moyo kwa kila pigo 1 kwa dakika.inaitwa Hirbernated.hufanya hivyo akiwa sehem tulivu bila kujisogeza.ni mnyama pia anaemeza mawe baada ya kula nyama ili kisaidia usagaji wa chakula.kingine ndio mnyama anaeongoza kwa strongest bite.yaani akikubana na ule mdoma wake ni umeangukiwa na semi
 
Chui mara nyingi ni mwepesi kubaini uwepo wako kwenye eneo lake (territory) kabla hujamuona.

Chui ni miongoni mwa wanyama wawili akiwemo mamba ambao kuwawinda ( uwindaji wa kitalii) ni changamoto.
Chui wakati wa kumuwinda hata ukimtegea mzoga hababaiki nao mpaka ajue aliyeuweka na malengo ya kuweka hapo.
Vinginevyo wanyama karibu wote wanamuogopa binadamu mpaka atakapoona usalama wake uko hatarini
kuna hoteli moja ya kitalii walizoea kumrushia nyama chui akija kula wageni wanampiga picha.akazoea hiyo tabia siku ingine kaja hamna kitu akapita na mtoto wa kizungu alikuwa anacheza mpira.ilikuwa noma sana hiyo.chui alishtukiwa akakimbia akaacha maiti ya mtoto.kesho yake wamemfata maskan kwake akawa amejificha si anajua amefanya bofu anatafutwa auliwe!!mziki aliwaamshia hapo marangers hawatausahau
 
Back
Top Bottom