Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

k
ningependa unieleze kuhusu nyoka koboko na nimekua nikisikia ni nyoka anayeweza kukimbia 20km per hour na je kuna ukweli ni nyoka wa kuogopwa zaid ukiwa mbugani?
koboko(black mamba)ni nyoka hatari sana.black mamba ana rangi ya majivu ila jina limetokana kuwa na mdomo mweusi.tone lake moja la sumu linaweza kuua watu 25 adult in a matter of minutes.sumu yake ni neurotoxin ambayo inaenda ku shut down mfumo wote wa kupumua uliopo kwenye ubongo.ana urefu hadi kufikia mita 4.ni wepesi na anaweza kukimbia spidi kubwa akitumia nusu tu ya mwili wake.anaweza kuruka kutoka mti mmoja hadi mwingine.ila sivyo kama watu wanavyoogopa ni nyoka ambae yuko bize na mambo yake hadi uingie anga zake ndio ana chaji
 
Qn 1. Ningependa kujua kwanini simba na fisi wanapewa sifa zifuatazo;-

"Lion is a king of the jungle"
"Fisi ni bwana afya porini"

Qn 2. Ni mnyama gani wa porini ambaye ni adui mkubwa wa simba?.
simba amepewa king of the jungle sababu ni its sign of superior, strength and pride sio sababu ingine.angepewa tembo lakini akapewa simba sababu ni mnyama pekee aina ya paka wenye undugu na ushirikiano na upendo kijamii.
fisi ni scavengers wala mizoga bila wao na tai ina maana wanyama wengine wote wangekufa kwa magonjwa sababu mizoga ingezagaa maporini na kuleta magonjwa(ecosystem).fisi anakula hadi kwato na kucha na manyoya na mifupa.hiyo nzuri sana kwa ecosystem.
porini wanaishi kwa kitu inaitwa survival of the fittest simba kuna wakati wanaumizwa ktk majukum yako hvyo wanakuwa dhaifu wanakuja kuliwa na fisi.ila adui mkubwa zaidi kwa wanyama wote duniani ni BINADAMU
 
simba amepewa king of the jungle sababu ni its sign of superior, strength and pride sio sababu ingine.angepewa tembo lakini akapewa simba sababu ni mnyama pekee aina ya paka wenye undugu na ushirikiano na upendo kijamii.
fisi ni scavengers wala mizoga bila wao na tai ina maana wanyama wengine wote wangekufa kwa magonjwa sababu mizoga ingezagaa maporini na kuleta magonjwa(ecosystem).fisi anakula hadi kwato na kucha na manyoya na mifupa.hiyo nzuri sana kwa ecosystem.
porini wanaishi kwa kitu inaitwa survival of the fittest simba kuna wakati wanaumizwa ktk majukum yako hvyo wanakuwa dhaifu wanakuja kuliwa na fisi.ila adui mkubwa zaidi kwa wanyama wote duniani ni BINADAMU
Dooh! kweli fisi kiboko, habakishi kitu.

Nashukuru sana mkuu, vipi swali la pili 'mnyama yupi wa porini mwenye uadui mkubwa na simba?'
 
Dooh! kweli fisi kiboko, habakishi kitu.

Nashukuru sana mkuu, vipi swali la pili 'mnyama yupi wa porini mwenye uadui mkubwa na simba?'
kila mnyama porini ni adui wa mnyama mwingine.chui akikuta watoto wa simba ataua.simba akikuta wa fisi pia atawaua.sababu ya kufanya hivyo ni kupunguza competition of food.simba ataua watoto wa chui akiwaza kwamba hawa wakikua watakuja kuniamalizia chakula.hivyo hivyo kwa wanyama wengine
 
kila mnyama porini ni adui wa mnyama mwingine.chui akikuta watoto wa simba ataua.simba akikuta wa fisi pia atawaua.sababu ya kufanya hivyo ni kupunguza competition of food.simba ataua watoto wa chui akiwaza kwamba hawa wakikua watakuja kuniamalizia chakula.hivyo hivyo kwa wanyama wengine
Aisee, shukrani sana boss.
 
ningependa unieleze kuhusu nyoka koboko na nimekua nikisikia ni nyoka anayeweza kukimbia 20km per hour na je kuna ukweli ni nyoka wa kuogopwa zaid ukiwa mbugani?
Etxra: nenda kaangalie Dstv no 136 . snake in the city. Kuna mshkaji msouth na Demu wake anawakamata koboko kama mchezo
Koboko anaweza kuuma watu 25 in a matter of minute
 
Etxra: nenda kaangalie Dstv no 136 . snake in the city. Kuna mshkaji msouth na Demu wake anawakamata koboko kama mchezo
Koboko anaweza kuuma watu 25 in a matter of minute
ni shida yule jamaa.ila anasisitiza sana watu wasiue nyoka bali wawaite wao ili wawarudishe porini.ila ubabe wa black mamba hata mtoto alietotolewa sasa hivi akikuuma ni kama mamaake tuu amekuuma sumu kali vilevile.
 
ni shida yule jamaa.ila anasisitiza sana watu wasiue nyoka bali wawaite wao ili wawarudishe porini.ila ubabe wa black mamba hata mtoto alietotolewa sasa hivi akikuuma ni kama mamaake tuu amekuuma sumu kali vilevile.
jamaa vifaa vyake vinamsaidia san na kujiamini.inaonyesha kafanya course ya nyoka tu. Ila ni kazi hatari sana
Ile sifanyi hata kwa dawa.
 
tiger hawapatikani africa lakini ni mkubwa kuliko simba wa africa.kwa kipimo inaonyesha TIGER ni very sharp and technic kuliko simba wa africa.nadhani tiger mbabe zaidi
Hili jibu ni perfect wala sio estimately hapa nimeuliza kimakusudi ili wale wanaompamba simba kua ni king of jungle wajue kua huo u-king anakuanao kama tiger hayupo

Tushawahi bishana humu sikumbuki ni uzi gani ila kimsingi watu wengi wanamkuza simba kuliko uhalisia wake alivyo.

Kuna time walimkuza wakaniambia ukikutana naye lazima ukimbie mi nikawapinga kua ntayemkimbia njiani ni mdeni wangu tu tofauti na hapo lazima tuzicheze.
 
kila mnyama porini ni adui wa mnyama mwingine.chui akikuta watoto wa simba ataua.simba akikuta wa fisi pia atawaua.sababu ya kufanya hivyo ni kupunguza competition of food.simba ataua watoto wa chui akiwaza kwamba hawa wakikua watakuja kuniamalizia chakula.hivyo hivyo kwa wanyama wengine
Hapa mkuu, jamaa alimaanisha mnyama ambaye endapo atakutana na simba basi simba lazima akimbie kuokoa maisha yake kulingana na hatari ambayo iko mbele yake

Na nahisi hapa mbwa mwitu ana-fit kabisa maana wale mabwana hawanogi kama ugali usio na mboga. Naskia wana rules yao ya "one touch" yani kimbiza ng'ata kisha sizi pembeni endelea kutafuna ulicho ng'ata huku wenzako wakiendelea kukimbiza kwa mtindo huo huo mpaka mnyama anayewindwa kuishiwa nguvu na kuanguka.

Yani eti hawawindi ka simba anavyofanya mpaka amuangushe mnyama chini ahakikishe amekufa kabisa ndio aanze kumla. Wao hawaepui wanalia jikoni hapo hapo kikiwa bado chamoto moto huku kikiendelea kuchemka.
 
Etxra: nenda kaangalie Dstv no 136 . snake in the city. Kuna mshkaji msouth na Demu wake anawakamata koboko kama mchezo
Koboko anaweza kuuma watu 25 in a matter of minute
Hao koboko watakua wametolewa venom

Koboko hana urafiki wala hajui kwamba hii ni kamera tunafanya scene. Na timbwili lake mpaka achoke mwenyewe.

Bora nikutane na simba kumi naweza nika-survive kininja kama daniel, ila sio kwa koboko huyu mdudu hafai hakimbiliki na ndio maana jamii zingine zimeweka miiko kua hairuhusiwi kumzungumzia koboko mida ya usiku. Unafikiri kwanini hawakusema usimzungumzie simba?
 
Hapa mkuu, jamaa alimaanisha mnyama ambaye endapo atakutana na simba basi simba lazima akimbie kuokoa maisha yake kulingana na hatari ambayo iko mbele yake

Na nahisi hapa mbwa mwitu ana-fit kabisa maana wale mabwana hawanogi kama ugali usio na mboga. Naskia wana rules yao ya "one touch" yani kimbiza ng'ata kisha sizi pembeni endelea kutafuna ulicho ng'ata huku wenzako wakiendelea kukimbiza kwa mtindo huo huo mpaka mnyama anayewindwa kuishiwa nguvu na kuanguka.

Yani eti hawawindi ka simba anavyofanya mpaka amuangushe mnyama chini ahakikishe amekufa kabisa ndio aanze kumla. Wao hawaepui wanalia jikoni hapo hapo kikiwa bado chamoto moto huku kikiendelea kuchemka.
mbwa mwitu(painted dog)ni social hunters.hawa wamekuwa endegered species yaani karibu wafutike kabisa sababu ya loss of habitat wanafkuzwa fkuzwa sana wanakosa makazi.hawa jamaa hawashindwi kumla hata pembe(faru).nadhani ndio factor kubwa wanakuwa nomadic or fugitive from occupation.ofcoz hata simba ni social hunters na mbwa mwitu akikuta simba wanakula hawasogei wanapigwa biti wanakaa mbali.nadhani porini kwa simba na mbwa mwitu ni GAME OF CHANCE tu.
 
Hao koboko watakua wametolewa venom

Koboko hana urafiki wala hajui kwamba hii ni kamera tunafanya scene. Na timbwili lake mpaka achoke mwenyewe.

Bora nikutane na simba kumi naweza nika-survive kininja kama daniel, ila sio kwa koboko huyu mdudu hafai hakimbiliki na ndio maana jamii zingine zimeweka miiko kua hairuhusiwi kumzungumzia koboko mida ya usiku. Unafikiri kwanini hawakusema usimzungumzie simba?
ni myth tu hizo au tales.
koboko wako tunawaona porini wakiwa na mishe zao.ila kwenye JUNGLE RULES dont go closer or step on it u will get beaten.keep off the grass
 
Hivi mkia wa kenge una Sumu maana kuna documentary moja niliona ya hao kenge wakubwa (komodo) mmoja wpo alimpiga nyati mkubwa kwa kutumia mkia then kenge akakaa pemben kusikilizia.Baada ya muda mfupi yule nyati akadanja.
 
Etxra: nenda kaangalie Dstv no 136 . snake in the city. Kuna mshkaji msouth na Demu wake anawakamata koboko kama mchezo
Koboko anaweza kuuma watu 25 in a matter of minute

Ni dstv no 182 Nat Geo wild jamaa anawakamata nyoka hatari Kama boomslangs,mambas(black and green)forest cobras,rock pythos, spitting cobras anaitwa Simon key
Kama una tatizo la nyoka unampigia simu anakuja kukamata kwa dola 30
 
Back
Top Bottom