Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Nilishawahi kukutana na chui uso kwa uso vu bin vu nikafreeze kwa woga haoooo tukatazamana tu kwa sekunde kadhaa halafu huyo kimya kimya akaenda zake. Tangu hapo navutiwa sana na mnyama huyu msiri; na ningependa kujua tabia zake za msingi. Huwa anashambulia binadamu? Anapenda kuwinda wakati gani? Maisha yake yakoje kwa ujumla?
Chui anatabia moja ya ajabu sana katika kufanya mawindo,huyu huwinda mbali na makazi yake,na hii humsaidia sana kumuweka mbali na hatari ya kushtukiwa kuwa anapatikana sehemu fulani hivyo maadui zake humkosa hupata shida kutambua alipo.
Pia mnyama huyu kama wanyama wengine wa jamii ya paka anapokua yupo vizuri tumboni huwa hana madhara makubwa sana na mara kadhaa anaweza kukuacha salama ila hali hutokea pale tu anapokuwa kashiba,anapokuwa hana mtoto au anapokua huko alipotoka hakukutana na adui yeyote,ila kama angekuwa kakutana na adui yeyote akamtibu,basi story ingebadilika.
 
Chui anatabia moja ya ajabu sana katika kufanya mawindo,huyu huwinda mbali na makazi yake,na hii humsaidia sana kumuweka mbali na hatari ya kushtukiwa kuwa anapatikana sehemu fulani hivyo maadui zake humkosa hupata shida kutambua alipo.
Pia mnyama huyu kama wanyama wengine wa jamii ya paka anapokua yupo vizuri tumboni huwa hana madhara makubwa sana na mara kadhaa anaweza kukuacha salama ila hali hutokea pale tu anapokuwa kashiba,anapokuwa hana mtoto au anapokua huko alipotoka hakukutana na adui yeyote,ila kama angekuwa kakutana na adui yeyote akamtibu,basi story ingebadilika.
Asante kwa maelezo zaidi. Nilikuwa mdogo pengine 13 hivi nachunga mbuzi. Nikaona mtafaruku mbuzi huko mbali kidogo wanapiga kelele sana nikaenda kuangalia kulikuwa na nini. Kulikuwa na kinjia fulani kimepita katikati ya mawe ile napita tu hapo nikamkuta amesimama juu ya jiwe. Nika-freeze naye akaniangalia tu halafu huyo akaenda zake. Namheshimu sana mnyama huyu.
 
ningependa unieleze kuhusu nyoka koboko na nimekua nikisikia ni nyoka anayeweza kukimbia 20km per hour na je kuna ukweli ni nyoka wa kuogopwa zaid ukiwa mbugani?
Huyu nyoka hatari yake ni kwamba sumu yake hadi sasa haijagundulika dawa yake hivyo kumuweka binadamu katika hatari ya kufa,hatari zaidi ya nyoka huyu ni kwamba aina zote za sumu za nyoka,unazipata katika nyoka huyu mmoja.
Hawa nyoka wapo wa rangi mbili,nyeusi na kijana,na wanahisia kali sana kiasi anaweza kutambua hadi ukubwa wa kona na urefu kabla hata haujamfikia karibu na akihisi unaenda upande wake anakaa tayari kwa mashambulizi..
 
Huyu nyoka hatari yake ni kwamba sumu yake hadi sasa haijagundulika dawa yake hivyo kumuweka binadamu katika hatari ya kufa,hatari zaidi ya nyoka huyu ni kwamba aina zote za sumu za nyoka,unazipata katika nyoka huyu mmoja.
Hawa nyoka wapo wa rangi mbili,nyeusi na kijana,na wanahisia kali sana kiasi anaweza kutambua hadi ukubwa wa kona na urefu kabla hata haujamfikia karibu na akihisi unaenda upande wake anakaa tayari kwa mashambulizi..
Mkuu serious anti venom ya koboko (black mamba) hakuna? Usifanye hivi
 
Huyu nyoka hatari yake ni kwamba sumu yake hadi sasa haijagundulika dawa yake hivyo kumuweka binadamu katika hatari ya kufa,hatari zaidi ya nyoka huyu ni kwamba aina zote za sumu za nyoka,unazipata katika nyoka huyu mmoja.
Hawa nyoka wapo wa rangi mbili,nyeusi na kijana,na wanahisia kali sana kiasi anaweza kutambua hadi ukubwa wa kona na urefu kabla hata haujamfikia karibu na akihisi unaenda upande wake anakaa tayari kwa mashambulizi..
Hii chai!
Black mamba Hana sumu za aina zote mkuu!
Ana neurotoxin na cardiotoxin venom
Sure Kama haemotoxin na cytotoxins Hana mzee baba
Na ant venom ya black mamba ipo nimeshuhudia watu wengi wakiumwa na koboko na kupatiwa tiba pale meserani snake park Arusha
Ndani ya nusu saa ukiwahishwa unapona
 
Hii chai!
Black mamba Hana sumu za aina zote mkuu!
Ana neurotoxin na cardiotoxin venom
Sure Kama haemotoxin na cytotoxins Hana mzee baba
Na ant venom ya black mamba ipo nimeshuhudia watu wengi wakiumwa na koboko na kupatiwa tiba pale meserani snake park Arusha
Ndani ya nusu saa ukiwahishwa unapona
sawa sawa
 
Habari waungwana.
leo nimeweka mezani kwa yoyote mwenye swali interest kuhusu wanyama wa porini.uzi huu ni muhimu kujifunza tabia zao maisha yao kama una swali linakutatiza jiskie free uliza kwa kadiri nnavyoweza nitakujibu au ataekuwa na ufahamu zaidi humu jukwaani atakujibu.ni vizuri kufahamu tabia na mienendo ya wanyama wetu ili kuubust utalii wa ndani...
karibuni wote.sina mengi kwa kuanza tutakuwa na mengi ya kujifunza
Kuna mnyama anaitwa Fungo (kama sijakosea)... ni kweli kwamba anajisadia sehemu moja tu..!!? Kwamba kama sehemu ya kujisaidia ipo Mbeya, akibanwa na haja akiwa Mwanza anatoka mbio hadi Mbeya kwenda kujisaidia?
 
Kuna mnyama anaitwa Fungo (kama sijakosea)... ni kweli kwamba anajisadia sehemu moja tu..!!? Kwamba kama sehemu ya kujisaidia ipo Mbeya, akibanwa na haja akiwa Mwanza anatoka mbio hadi Mbeya kwenda kunisaidia?
Hili swali linafurahisha sana[emoji23],huyo mnyama inaonekan kaletwa duniani kujisaidia,ngoja tusubiri majibu
 
Mkuu naona wadau wamemruka nyegere (honey badger)

Hebu muelezee kidogo.
honeybadger au nyegere ni mnyama mdogo ila mkorofi na mkali kwa mnyama yoyote anaejaribu kumsogelea.chakula chake ni wadudu ikiwemo nyoka na asali.ana ngozi ngumu ambayo hata jino la simba haliwez wala panga na shoka linadunda ispokuwa labda kwa ngozi ya chini ya tumbo ndio dhaifu kidogo.ana antvenom hata nyuki wamshambulie hadhuriki anachofanya huwajambia nyuki hadi wanalewa kisha kula asali ushuzi wake ni kemikali kali huweza kufkuza hata fisi na simba.nyoka humgonga na kumsababishia kizunguzungu tuu cha mda kisha hurudi sawa.harufu ya ushuzi wake inatoka kwenye anal gland wala haiusiani na vyakula anavyokula.harufu ya ushuzi wake hutengenewa pafyum ambayo inauzwa ghali sana dunuani
 
honeybadger au nyegere ni mnyama mdogo ila mkorofi na mkali kwa mnyama yoyote anaejaribu kumsogelea.chakula chake ni wadudu ikiwemo nyoka na asali.ana ngozi ngumu ambayo hata jino la simba haliwez wala panga na shoka linadunda ispokuwa labda kwa ngozi ya chini ya tumbo ndio dhaifu kidogo.ana antvenom hata nyuki wamshambulie hadhuriki anachofanya huwajambia nyuki hadi wanalewa kisha kula asali ushuzi wake ni kemikali kali huweza kufkuza hata fisi na simba.nyoka humgonga na kumsababishia kizunguzungu tuu cha mda kisha hurudi sawa.harufu ya ushuzi wake inatoka kwenye anal gland wala haiusiani na vyakula anavyokula.harufu ya ushuzi wake hutengenewa pafyum ambayo inauzwa ghali sana dunuani
Nilishuhudia ratel(mellivora capensis) aking'ata tairi ya cruiser akaipasua pale ndutu Kama sikosei ni mwaka 2012
 
Back
Top Bottom