Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

Uliza swali lolote kuhusu wanyamapori wetu na tabia zao utajibiwa

PUNDAMILIA(ZEBRA)
ndio mnyama anaejulikana kwa kuwa na uwezo mkali wa kuona,kunusa na kuskia.hii huwafanya baadhi ya wanyama wengi kuwa karibu nao kwa ajili ya ulinzi.pundamilia huuma na ana meno makali kwaajili ya kujilinda ukiachilia mbali mateke.pundamilia hulala usingiz akiwa amesimama na hukaa head to tail position ili kujilinda miguu yao ina loki hivyo akitaka kutembea huitoa loki na kuendelea na safar.utawakuta mara zote kila mmoja amegeukia upande wake hvyo ni ngumu mnyama kutokea wasimuone.pundamilia ndio mnyama mnene kipindi chote sababu anakula majani hadi yale ya chini kbs.kikawaida majani au miti iliwayo na wanyama hutoa sumu au kemikali yenye uchungu ili kujilinda sababu ukisema wanyama wale tuu hadi mwisho watakula hadi mbegu na kesho wakose chakula.hvyo miti na majani ikifikia kiwango chake hutoa hiyo sumu ili wanyama wasiile tena ili ichipue upya.tofauti na zebra yeye anakula tuu hata ijilinde vipi.zebra humtoa mwanamke mimba na kumshindilia uume wote na baada ya mimba kutoka ndio anapandikiza mbegu yake.pundamilia wana tabia ya kupiga mtungo mwanamke 1 anachangiwa hata na madume 3.lakini jike huachwa na hali mbaya sana hata kufa.hii hufanya sababu kila dume anataka kupandikiza mbegu zake hapo.watoto wa pundamilia hula kinyesi cha wazazi wao kwa ajili ya kupata virutubisho muhimu sana.pundamilia hufukuza wanyama legelege au wagonjwa sababu wanajua kwenye kundi kukiwa na mgonjwa au mtoto huvutia sana simba kuja kuwakamata.
 
Na vipi kuhusu Nyumbu, unamzungumziaje?
nyumbu ni wanyama wanaohama hama.sababu ya kiikolojia.kipindi majani yakipungua nyumbu huhama kutoka serengeti hadi masai mara(migration)kiongozi wao wa msafara huwa ni pundamilia sababu pundamilia ana akili na hukumbuka mapito.harufu ya mvua huwavutia wanyama hawa kutoka serengeti kuelekea masai mara wakiwa katika mamilioni.wakifika kule hupata majani mengi na kuzaliana kisha kipindi cha mvua zikianza upande wa serengeti hurudi tena wakiwa wameongezeka idadi.hii imekuwa inatokea toka dahari mingi nyuma.
 
honeybadger au nyegere ni mnyama mdogo ila mkorofi na mkali kwa mnyama yoyote anaejaribu kumsogelea.chakula chake ni wadudu ikiwemo nyoka na asali.ana ngozi ngumu ambayo hata jino la simba haliwez wala panga na shoka linadunda ispokuwa labda kwa ngozi ya chini ya tumbo ndio dhaifu kidogo.ana antvenom hata nyuki wamshambulie hadhuriki anachofanya huwajambia nyuki hadi wanalewa kisha kula asali ushuzi wake ni kemikali kali huweza kufkuza hata fisi na simba.nyoka humgonga na kumsababishia kizunguzungu tuu cha mda kisha hurudi sawa.harufu ya ushuzi wake inatoka kwenye anal gland wala haiusiani na vyakula anavyokula.harufu ya ushuzi wake hutengenewa pafyum ambayo inauzwa ghali sana dunuani
Daah....niliisikiaga hii kwamba....harufu ya ushuzi wake hutengenewa pafyum ambayo inauzwa ghali sana dunuani.

Nataka kujua jina ya hyo perfume,na je bongo apa zipo?
 
Daah....niliisikiaga hii kwamba....harufu ya ushuzi wake hutengenewa pafyum ambayo inauzwa ghali sana dunuani.

Nataka kujua jina ya hyo perfume,na je bongo apa zipo?
Hahah unafikiri wabongo wanaweza kununua perfume ya ushuzi wa Nyegere mkuu..
Sio wajinga kiasi hicho!

Kungekuwa na perfume ya ushuzi wa Yusufu hapo ingekuwa safi[emoji23]
 
swali fikirishi sana hili.evolution ndio ilichagua simba awe na sharubu sababu RIVAL FIGHTING.ni kweli sharu zinawasaidia sana madume wakiwa wanapigana ingawa tecnic kubwa ya simba huwa ni kuvunja uti wa mgongo wa mwenzie ili kumdhoofisha
Pia Kama ulivyo sema sharubu zake huleta mvuto fulani kwa majike Kama yy ndo baba pia ata kwa watazamaji huleta mvuto fulani....

Hii tunaweza kuply ata kwa binadamu...wanaume wenye ndevu huwa zinatupa mvuto na heshima fulani kwa wanawake.

Msiokuwa na ndevu mtanisamehe apo.
 
Pia Kama ulivyo sema sharubu zake huleta mvuto fulani kwa majike Kama yy ndo baba pia ata kwa watazamaji huleta mvuto fulani....

Hii tunaweza kuply ata kwa binadamu...wanaume wenye ndevu huwa zinatupa mvuto na heshima fulani kwa wanawake.

Msiokuwa na ndevu mtanisamehe apo.
Mkuu jitahidi kupitia vizuri comment za juu..

Kuna jamaa alifafanua vizuri kuwa kwenye jamii ya animalia, wanaume hawajapendelewa zaidi kwenye suala la muonekano ukilinganisha na wanawake except kwa jamii za birds reptiles & insects.

Kwao (birds, reptiles & insects) wa kiume wapo attractive zaidi kuliko wa kike kwa lengo la kuwavutia kimahusiano (Sexual dermophism).
 
punda ana tabia kama za pundamilia tofauti yao ni mistari na mmoja anafugwa mwingine ni wa porini.
ni kweli huyu mnyama amejaaliwa mashine.pundamilia huwa na tabia ya ajbu sana haswa akijua demu wake kapewa mimba na mtu mwingine.anachokifanya humshindilia jike mwenye mimba mashine yote ndani hadi mimba inatoka(abortian).ndio wanyama pia wanaopiga mtungo yaani jike 1 madume 2 (3some).
Never think before [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Pia Kama ulivyo sema sharubu zake huleta mvuto fulani kwa majike Kama yy ndo baba pia ata kwa watazamaji huleta mvuto fulani....

Hii tunaweza kuply ata kwa binadamu...wanaume wenye ndevu huwa zinatupa mvuto na heshima fulani kwa wanawake.

Msiokuwa na ndevu mtanisamehe apo.
Ah ah mkuu ndevu sio lazima lkn uzito wa sauti inatosha kuonyesha kwamba uyu ndo baba wa familia
 
Samahani kama ntakuwa off topic kidogo. Hivi ni kwanini hawa paka tunao fuga nyumbani kuna mda wanatoa mngurumo fulani hivi yaan wanakuwa kama wana koroma lakini inakuwa ndani ya miili yao

Na je hii pia hutokea kwa aina zingine za paka kama akina simba, chui n.k..
 
Samahani kama ntakuwa off topic kidogo. Hivi ni kwanini hawa paka tunao fuga nyumbani kuna mda wanatoa mngurumo fulani hivi yaan wanakuwa kama wana koroma lakini inakuwa ndani ya miili yao

Na je hii pia hutokea kwa aina zingine za paka kama akina simba, chui n.k..
Paka wa nyumbani wanatabia ya kutoa ngurumo pindi wanapo lala au kupumzika hii utokana na kurelax kwa soft palate ambayo inapelekea sauti kama ya mngurumo
Kuhusu simba na chui sijajua Kama nawenyewe wanaunguruma Kama wakilala au kupumzika
 
Hili jibu ni perfect wala sio estimately hapa nimeuliza kimakusudi ili wale wanaompamba simba kua ni king of jungle wajue kua huo u-king anakuanao kama tiger hayupo

Tushawahi bishana humu sikumbuki ni uzi gani ila kimsingi watu wengi wanamkuza simba kuliko uhalisia wake alivyo.

Kuna time walimkuza wakaniambia ukikutana naye lazima ukimbie mi nikawapinga kua ntayemkimbia njiani ni mdeni wangu tu tofauti na hapo lazima tuzicheze.
Babu yangu mimi alikuwa anaua Smba utafikiri ananiga Kondoo. Alikuwa anaondoka nyumbani na ng'ombe wake halafu anakwenda kuishi porini anawachunga, miezi takriban mitatu. Alikuwa anaishi kwa kunywa maziwa. Simba alikuwa hasogei
 
Tupe maelezo kidogo kuhusu mnyama mbwa, hasa kwenye viungo vyao vya uzazi, kipindi wanna sex, tunaonana maajabu Sana kipindi hicho.
 
Tupe maelezo kidogo kuhusu mnyama mbwa, hasa kwenye viungo vyao vya uzazi, kipindi wanna sex, tunaonana maajabu Sana kipindi hicho.
kunatana kwa mbwa wakati wakijaamiina husababishwa na uume kuwa na njia ndogo ya kutoa sperms.yaani mfano kama uugandazime uume wako kwa mbele ili wazungu wasitoke.sasa kwa uume wa mbwa njia yake inakuwa kama imeziba na kufanya uume uvime mbele kichwani ndio sababu ikiingia kutoka inakuwa mshikemshike viwanjani.
 
TEMBO.ndie mnyama mkubwa kuliko wote duniani.huishi miaka 70 hadi 80 hutegemeana na uwezo wa meno yake ambapo yakiisha hupunguza umri wa kuishi kwa mnyama huyu.tembo hubeba mimba miez 22 na mtoto huzaliwa akiwa na uzito kuanzia kg100.tembo hula kg300 na zaidi kwa siku ya majani na matunda.maji lita100.tembo hana pembe bali zile ni meno(tusks)na humsaidia kw ajili ya kuchimba maji na kubandua magome ya miti etc.mkonga w tembo(trunk)una misuli zaidi ya laki 1 na hutumika kama pua vilevile kama mkono kwa ajili kula na kunywa.tembo huweza kunusa maji umbali wa hata km10.tembo ndie mnyama wa nchi kavu mwenye akili kubwa(brain capacity)inayopelekea asisahau chochote toka alipozaliwa hadi anakufa!.tembo wana mkunga wao(midwife)kipindi akiwa anajifungua wanaume na watoto hukaa mbali kuficha aibu ya mama.wana njia za mawasiliano zaidi ya 40 lakini binadam anaweza kuskia 2 tu.ana uwezo wa kusikia mapigo yako ya moyo ukiwa umbali wa mita5.tembo 100 wanaweza kupita pembeni ya nyumba yako usiku na usiskie.miguu yao ina sponji kwa chini na kitu kama shock up hivyo ngumu kuwaskia.mapenzi ya mama na mtoto tembo hakuna kiumbe yoyote duniani anaweza kufkia!!.tembo hutumia maskio yao makubwa kama dish la ft6 kuupoza mwili wake kipindi cha jua kali.vilevile hujipaka matope na vumbi ili kujizuia na jua kali na wadudu waumao.tembo ana meno 2 juu na 2 chini na huota kuanzia nyuma kwenda mbele tofauti na wengine meno yetu yanatokea chini kwenda juu!.ni hayo machache tuu yapo mengi tutayapata mbeleni
 
Back
Top Bottom