Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Nawezaje kuendesha kampuni bila kulipa kodi.

Utaratibu wa kupeleka hesabu ya mapato kila mwaka inafanyika(mpangilio).

Unaweza kuwakata wafanyakazi kodi ya serekali kwenye mishahara, na Ninapoajiri natoa ripoti wapi?

1. Huwezi kuendesha kampuni bila kulipa kodi, unless hiyo kampuni imesimama kufanya biashara kwa muda huo ndio hutolipa kodi, ila kama inafanya biashara kodi lazima ulipe

2. PAYE (Pay As You Earn) inakatwa katika mshahara wa mfanyakazi, ila ni kwa wafanykazi ambao mshahara wao (baada ya makato y NSSF) ni kuanzia sh 270,001 na kuendelea.. mfanyakazi anaepokea chini ya hapo hutakiwi kumkata PAYE

3. Unapoajiri unaandaa mikataba, mamlaka zitafahamu kuwa umeajiri pale utapoongeza idadi ya wafanyakazi katika sehem tofauti mf. NSSF, WCF, TRA n.k ndio maana inakupasa kuandaa Payroll ya wafanyakazi kila mwezi ili taarifa kama hizo ziwe bayana
 
1. Huwezi kuendesha kampuni bila kulipa kodi, unless hiyo kampuni imesimama kufanya biashara kwa muda huo ndio hutolipa kodi, ila kama inafanya biashara kodi lazima ulipe

2. PAYE (Pay As You Earn) inakatwa katika mshahara wa mfanyakazi, ila ni kwa wafanykazi ambao mshahara wao (baada ya makato y NSSF) ni kuanzia sh 270,001 na kuendelea.. mfanyakazi anaepokea chini ya hapo hutakiwi kumkata PAYE

3. Unapoajiri unaandaa mikataba, mamlaka zitafahamu kuwa umeajiri pale utapoongeza idadi ya wafanyakazi katika sehem tofauti mf. NSSF, WCF, TRA n.k ndio maana inakupasa kuandaa Payroll ya wafanyakazi kila mwezi ili taarifa kama hizo ziwe bayana
kiongozi naona upo vizuri hongera sana. kweli ufanye biashara bila kupata faida maana kodi unalipa baada ya kupata faida .
 
kiongozi naona upo vizuri hongera sana. kweli ufanye biashara bila kupata faida maana kodi unalipa baada ya kupata faida .

Hivi ikiwa nafanya biashara na faida napata. Lakini nikaamua tu kufanya uianja kampuni naendesha kwa mfumo wa gharama kubwa ili ionekane faida sipati na huku kampuni inazidi kujitanua.

Mfano. Labda nahisi biashara yangu itanipa faida ya laki mbili, natumia laki mbili hizo kununua kitu cha kampuni alafu kwenye ripoti inakuwa kama matumizi ya kampuni.

Kwa mfumo huo naweza kulipa kodi gani. Maana kampuni haipati faida kutokana na matumizi yake
 
Hivi ikiwa nafanya biashara na faida napata. Lakini nikaamua tu kufanya uianja kampuni naendesha kwa mfumo wa gharama kubwa ili ionekane faida sipati na huku kampuni inazidi kujitanua.

Mfano. Labda nahisi biashara yangu itanipa faida ya laki mbili, natumia laki mbili hizo kununua kitu cha kampuni alafu kwenye ripoti inakuwa kama matumizi ya kampuni.

Kwa mfumo huo naweza kulipa kodi gani. Maana kampuni haipati faida kutokana na matumizi yake

Kodi ya kampuni (Corporate tax) ni asilimia 30% ya faida ya kampuni kwa mwaka.

Unaweza ukaepuka kulipa hii lakini kwa kuwa kampuni inafanya operations basi utajikuta unalipa kodi nyengine kama Vile PAYE na SDL (ikiwa kampuni ina wafanyakazi) Withholding Tax on Rent & stamp duty (ikiwa kampuni ofisi yake ni ya kupangisha) , VAT( kama kampuni imesajiliwa na Vat) , WT on service (endapo shughuli za kampuni ni kutoa huduma na sio kuuza bidhaa) , Directors Fee ( kodi kwa ajili ya wakurugenzi) n.k

Yaani inshort mkuu utakwepa sehemu moja ila kuna sehemu watakudaka tu na kodi utalipa[emoji23]
 
Kodi ya kampuni (Corporate tax) ni asilimia 30% ya faida ya kampuni kwa mwaka.

Unaweza ukaepuka kulipa hii lakini kwa kuwa kampuni inafanya operations basi utajikuta unalipa kodi nyengine kama Vile PAYE na SDL (ikiwa kampuni ina wafanyakazi) Withholding Tax on Rent & stamp duty (ikiwa kampuni ofisi yake ni ya kupangisha) , VAT( kama kampuni imesajiliwa na Vat) , WT on service (endapo shughuli za kampuni ni kutoa huduma na sio kuuza bidhaa) , Directors Fee ( kodi kwa ajili ya wakurugenzi) n.k

Yaani inshort mkuu utakwepa sehemu moja ila kuna sehemu watakudaka tu na kodi utalipa[emoji23]

Hii ndo nilitaka kujua, sasa ikiwa mkurungezi anafanya kazi kwa kujitolea na wafanyakazi wanafanya kazi kama vile kupata uozefu yaani sio waajiriwa. Vipi hii iko vipi?
 
Kodi ya kampuni (Corporate tax) ni asilimia 30% ya faida ya kampuni kwa mwaka.

Unaweza ukaepuka kulipa hii lakini kwa kuwa kampuni inafanya operations basi utajikuta unalipa kodi nyengine kama Vile PAYE na SDL (ikiwa kampuni ina wafanyakazi) Withholding Tax on Rent & stamp duty (ikiwa kampuni ofisi yake ni ya kupangisha) , VAT( kama kampuni imesajiliwa na Vat) , WT on service (endapo shughuli za kampuni ni kutoa huduma na sio kuuza bidhaa) , Directors Fee ( kodi kwa ajili ya wakurugenzi) n.k

Yaani inshort mkuu utakwepa sehemu moja ila kuna sehemu watakudaka tu na kodi utalipa[emoji23]

Na nimshahara wa kiasi gani mfanyakazi anatakiwa kulipa tax.
 
Utaratibu wa kusajili kampuni ambayo nitakua nimefungulia nje ya nchi ni upi? Kampuni ya Cargo
 
Utaratibu wa kusajili kampuni ambayo nitakua nimefungulia nje ya nchi ni upi? Kampuni ya Cargo

UTARATIBU UKO HIVI

( a ) Kwanza kabisa zitatakiwa kuwasilishwa certificate za usajili katika nchi ambayo kampuni ilisajiliwa, na ikiwa certificate hizo zipo katika lugha ya nchi husika (mfano kichina) itapaswa zitafsiriwe kwenda kingereza.

( b ) Mtatakiwa kuambatanisha orodha ya wakurugenzi wa kampuni pamoja na katibu, ambao watapaswa kuwa na passport zao za kusafiria na pia kuonyesha anuani zao za makazi pamoja na anuani za mawasiliano.

( c ) Kama kampuni tayari inafanya biashara huko katika nchi iliyoanzishwa itawasilisha Financial Statements yake ya mwisho

( d ) kampuni inapaswa kuteua jina la mtu mmoja au zaidi anayeishi Tanzania , anuani zake za makazi na mawasiliano. Mtu huyo atatajwa kama mtu ambaye atakuwa muwakilishi wa kampuni hiyo hapa Tanzania.

( e ) Anuani kamili ya ofisi kwa hapa Tanzania ni lazima ioneshwe

. (f) Pia jina la biashara litakalotumika litapaswa kuoneshwa. Jina la biashara laweza kuwa tofauti na lile ililosajiliwa nalo huko ilikotoka au likawa lile lile.

Pia kutakua na ujazaji wa fomu nyengine na taratibu chache zilizobakia kwa ajili ya kukamilisha usajili wa kampuni kutoka nje.

Malipo ya serikali (Brela) ni US Dollar 1050.

Ukihitaji msaada zaidi 0714499248 , karibu
 
Hii ndo nilitaka kujua, sasa ikiwa mkurungezi anafanya kazi kwa kujitolea na wafanyakazi wanafanya kazi kama vile kupata uozefu yaani sio waajiriwa. Vipi hii iko vipi?

Mkurugenzi na anajitolea!? Anyway PAYE inakatwa kwa waajiriwa rasmi yaani wafanyakazi na wakurugenzi. Ambao ni rasmi yaani wamepewa mkataba

Lakini SDL inajumuisha malipo ya wafanyakazi, vibarua, wafanyakazi wa kujitolea (Field na Intern) n.k
 
Habari, napenda kuuliza kuhusu usajili wa Kampuni.
Kampuni imesajiliwa lakini mtaji ama gharama za kupata leseni ukakosa.
Je gharama za kila mwaka lazima mmiliki alipie hata kama hafanyi biashara.
 
Naomba nimsaidie maana naona kaleta mada chokozi lakini hana majibu, VRN navyofahamu mimi ni vat registration number kwa lugha mama ni namba ya usajili wa vat.Faida yake ni kama umesajiliwa na kodi ya ongezeko la thamani yaani vat risiti zote za mauzo yako au manunuzi inatakiwa namba ya muuzaji na mnunuzi kama wote ni vat register ionekane kwenye risiti sababu ukiuza sana kuliko kununua unapeleka tra hiyo vat na kinyume chake ukinunua sana na ukawa haujauza sana basi ile tofauti ya manunuzi na uuzaji unarejeshewa na tra.Ili uweze rejeshewa risiti lazima iwe na hiyo vrn ya aliyekuuzia na ya kwako kwenye risiti ya manunuzi.
Sawa kumbe naweza anzisha bogas company nikaisajili VAT , halafu nikaanza kununua vitu ovyo na niuze vitu vichache boshen kisha mwisho nikavute mkwanja TRA?,
How does it work excatly?
 
Sawa kumbe naweza anzisha bogas company nikaisajili VAT , halafu nikaanza kununua vitu ovyo na niuze vitu vichache boshen kisha mwisho nikavute mkwanja TRA?,
How does it work excatly?

Kurefund Vat kama hela kutoka serikalini kuna process nyingi sana, yaani unaweza ukaamua kusamehe kama hela yenyewe ni ndogo. Nenda kaclaim hela yako kama unafunga biashara au kampuni othersiwe kama unaendelea na biashara wengi wanafanya hivi;

Kinachofanyika kwa wengi kama manunuzi yamezidi mauzo yako ile credit inayobakia hauendi kuidai TRA bali inakua credit yako ambayo utaenda nayo mbele ikusaidie kupunguza kodi (credit brought foward)

Mfano mwezi January umetuma Vat return yako na ikaonekana unaidai TRA milion 1.

Mwezi february mauzo yako yakawa mengi ukawa unadaiwa wewe Vat ya milion 3. Basi utachukua hiyo Vat ya milion 3 unayodaiwa na utatoa ile milion 1 unayodai mwisho wa siku utaenda kulipa Vat ya milioni 2 badala ya tatu.

U gerit!? If u dont gerrit forger about it[emoji23][emoji23][emoji23] natania mkuu ila hivyo ndio inafanya kazi I hope nimeeleweka
 
Habari, napenda kuuliza kuhusu usajili wa Kampuni.
Kampuni imesajiliwa lakini mtaji ama gharama za kupata leseni ukakosa.
Je gharama za kila mwaka lazima mmiliki alipie hata kama hafanyi biashara.

Kuna Annual return unatakiwa kuwasilisha kila mwaka Brela. Huwa inagharimu 22,000 tu kwa mwaka.
Nadhani hata kama hufanyi biashara hiki kiwango kwa mwaka huwezi kushindwa kulipia
 
UTARATIBU UKO HIVI

( a ) Kwanza kabisa zitatakiwa kuwasilishwa certificate za usajili katika nchi ambayo kampuni ilisajiliwa, na ikiwa certificate hizo zipo katika lugha ya nchi husika (mfano kichina) itapaswa zitafsiriwe kwenda kingereza.

( b ) Mtatakiwa kuambatanisha orodha ya wakurugenzi wa kampuni pamoja na katibu, ambao watapaswa kuwa na passport zao za kusafiria na pia kuonyesha anuani zao za makazi pamoja na anuani za mawasiliano.

( c ) Kama kampuni tayari inafanya biashara huko katika nchi iliyoanzishwa itawasilisha Financial Statements yake ya mwisho

( d ) kampuni inapaswa kuteua jina la mtu mmoja au zaidi anayeishi Tanzania , anuani zake za makazi na mawasiliano. Mtu huyo atatajwa kama mtu ambaye atakuwa muwakilishi wa kampuni hiyo hapa Tanzania.

( e ) Anuani kamili ya ofisi kwa hapa Tanzania ni lazima ioneshwe

. (f) Pia jina la biashara litakalotumika litapaswa kuoneshwa. Jina la biashara laweza kuwa tofauti na lile ililosajiliwa nalo huko ilikotoka au likawa lile lile.

Pia kutakua na ujazaji wa fomu nyengine na taratibu chache zilizobakia kwa ajili ya kukamilisha usajili wa kampuni kutoka nje.

Malipo ya serikali (Brela) ni US Dollar 1050.

Ukihitaji msaada zaidi 0714499248 , karibu

Asante sana mkuu nitakutafuta……
 
watu wanasema kwamba kampuni inalipa asilimia 30 ya faida yake.
hii imekaaje maana kuna siku nimeenda TRA, nilitaka kuanzisha huduma fulani ndani ya kampuni. ila TRA waliniambia kwamba nijikadirie mwenye niwe nawalipa tax ya tsh ngapi kila mwana, baada ya kukadiria tax ambayo nitakuwa nawapa kila mwana ndo nikawe mara nne alafu nitalipa awamu tofauti ila ya kwanza ndo inastahilu kulipwa ili wanipe leseen.

yaani vipi asilimia 30 mbona kama njia hii ni kinyume na hiyo.

Maana mtaani utasikia kampuni ikipata hasara hulipi kodi. sasa mbona kama nimeshalipa na sijajua kama nitapata hasara.
 
watu wanasema kwamba kampuni inalipa asilimia 30 ya faida yake.
hii imekaaje maana kuna siku nimeenda TRA, nilitaka kuanzisha huduma fulani ndani ya kampuni. ila TRA waliniambia kwamba nijikadirie mwenye niwe nawalipa tax ya tsh ngapi kila mwana, baada ya kukadiria tax ambayo nitakuwa nawapa kila mwana ndo nikawe mara nne alafu nitalipa awamu tofauti ila ya kwanza ndo inastahilu kulipwa ili wanipe leseen.

yaani vipi asilimia 30 mbona kama njia hii ni kinyume na hiyo.

Maana mtaani utasikia kampuni ikipata hasara hulipi kodi. sasa mbona kama nimeshalipa na sijajua kama nitapata hasara.

Iko hivi,
Mwaka unapoanza unajikadiria kodi yako kutokana na faida unayotegemea kupata kwa mwaka huo (kama ulivyoambiwa)

Mfano saaa umekadiria mwaka huu utapata faida ya milion 10.. kodi yako 30% itakua ni sh milion 3.

Ikatokea mwaka umeisha (itabidi kwanza uandae mahesabu ya kampuni (Audited Financial statement) na hayo mahesabu yakonyesha mfano umepata faida ya milion 20.

Kwa hivyo Kodi yako ilipaswa kuwa milion 6, na wewe ulilipia Mil 3 mwanzoni basi utapaswa kuongezea milioni 3 nyengine ili hesabu ziende sawa.

Ila Ikitokea mwaka umeisha na mahesabu yako yakaonyesha kuwa umepata hasara, basi ile kodi uliyokadiria mwanzon ya milion 3 inakua kama credit utayokua unawadai tra na itakusaidia kupunguza kodi za mbeleni.
 
Back
Top Bottom