Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Iko hivi,
Mwaka unapoanza unajikadiria kodi yako kutokana na faida unayotegemea kupata kwa mwaka huo (kama ulivyoambiwa)

Mfano saaa umekadiria mwaka huu utapata faida ya milion 10.. kodi yako 30% itakua ni sh milion 3.

Ikatokea mwaka umeisha (itabidi kwanza uandae mahesabu ya kampuni (Audited Financial statement) na hayo mahesabu yakonyesha mfano umepata faida ya milion 20.

Kwa hivyo Kodi yako ilipaswa kuwa milion 6, na wewe ulilipia Mil 3 mwanzoni basi utapaswa kuongezea milioni 3 nyengine ili hesabu ziende sawa.

Ila Ikitokea mwaka umeisha na mahesabu yako yakaonyesha kuwa umepata hasara, basi ile kodi uliyokadiria mwanzon ya milion 3 inakua kama credit utayokua unawadai tra na itakusaidia kupunguza kodi za mbeleni.

Nimeipata boss, shukrani sana
 
unapofunga biashara ambayo ilikuwa inalipiwa kodi, ni taratibu zipi unapaswa kufanya au ni nani wanapaswa kujulishwa?
 
Iko hivi,
Mwaka unapoanza unajikadiria kodi yako kutokana na faida unayotegemea kupata kwa mwaka huo (kama ulivyoambiwa)

Mfano saaa umekadiria mwaka huu utapata faida ya milion 10.. kodi yako 30% itakua ni sh milion 3.

Ikatokea mwaka umeisha (itabidi kwanza uandae mahesabu ya kampuni (Audited Financial statement) na hayo mahesabu yakonyesha mfano umepata faida ya milion 20.

Kwa hivyo Kodi yako ilipaswa kuwa milion 6, na wewe ulilipia Mil 3 mwanzoni basi utapaswa kuongezea milioni 3 nyengine ili hesabu ziende sawa.

Ila Ikitokea mwaka umeisha na mahesabu yako yakaonyesha kuwa umepata hasara, basi ile kodi uliyokadiria mwanzon ya milion 3 inakua kama credit utayokua unawadai tra na itakusaidia kupunguza kodi za mbeleni.

Mkuu upo vizuri sana, naomba nikupe kongole!!

Naomba clarifications kwenye:

*Auditing ni Lazima ifanywe na Legalized Auditor au unaeza fanya mwenyewe ? maana kwa kampunj za mitaji midogo lets say under 5M capital kuleta auditor tena ni kipengele.

* Kwa mfano nataka nifanye biashara ya kufuga mifugo na kuuza, vilevile kilimo cha mazao… Je naweza kufungua kampuni moja ya Kilimo ikaoperate kote?

* Kwa ushauri wako kama nina mtaji let’s say 3M is it worthy kufungua kampuni ?

* Mwisho kabisa kwa kampuni ya namna hiyo niliyoitolea mfano hapo juu, kuanzia siku ya kwanza kwenda sehemu za usajili nk mpaka usajili unakamilika wote, nasema sasa nina kampuni yangu…gharama zinaweza kuwa sh ngapi Jumla?

Shukrani sana for your time
 
Mkuu upo vizuri sana, naomba nikupe kongole!!

Naomba clarifications kwenye:

*Auditing ni Lazima ifanywe na Legalized Auditor au unaeza fanya mwenyewe ? maana kwa kampunj za mitaji midogo lets say under 5M capital kuleta auditor tena ni kipengele.

* Kwa mfano nataka nifanye biashara ya kufuga mifugo na kuuza, vilevile kilimo cha mazao… Je naweza kufungua kampuni moja ya Kilimo ikaoperate kote?

* Kwa ushauri wako kama nina mtaji let’s say 3M is it worthy kufungua kampuni ?

* Mwisho kabisa kwa kampuni ya namna hiyo niliyoitolea mfano hapo juu, kuanzia siku ya kwanza kwenda sehemu za usajili nk mpaka usajili unakamilika wote, nasema sasa nina kampuni yangu…gharama zinaweza kuwa sh ngapi Jumla?

Shukrani sana for your time

Shukrani mkuu naomba nikujibu kwa namba kama ulivyouliza

1. Hapana, Hauwezi kujifanyia Auditing.. unaweza tu kuandaa hesabu zako (kama una utaalamu huo) ila lazima upeleke kwa Certfied Auditor ili aweze kukagua hesabu zako na kuziweka sawa na kisha aziwasilishe TRA na kwengine zitapohitajika.. Hata kampuni ikiwa na mtaji wa milioni 1 ni lazima apatike Certified Auditor wa kukagua hesabu na kusubmit.

2. Yes, inawezekana kabisa.. Kisheria kampuni 1 inaruhusiwa kufanya shughuli za biashara zaidi ya moja kwa kadri itavyoamua yenyewe. So unaweza kuchanganya kilimo,ufugaji, mazao na nyengine zote utazoamua wewe

3. Kisheria mtaji wa kampuni wa chini kabisa ambapo Brela watakuruhusu kusajili kampuni yako ni kuanzia shilingi sh 20,000-1,000,000
So yes it worthy kufungua kampuni ukiwa na kiasi hiko na kitacover registration cost zote mpaka kampuni kuwa kamili kufanya biashara

4. Andaa kama bajeti ya milioni 1 kwa vitu vyote (Usajili wa kampuni Brela, TIN ya kampuni TRA pamoja na Leseni ya biashara) kisha tuone Section Twenty Limited kwa simu namba 0714499248

Karibu
 
Mkuu mimi nilisajili business name Brela kwa ajili ya biashara yangu ya workshop(Welding &Metal fabrication) nikapewa certificate nikaipeleka TRA wakanipatia TIN, Sababu nilikuwa nahitaji leseni ikatakiwa nilipe WHT ya pango la miezi 12 alafu nikadiriwe alafu nikipata TAX CLEARANCE ndio niende halimashauri wakanipatie lesen ,sasa nilikwama kupata kupeleka hiyo WHT na makadirio sikufanyiwa...Ila lengo langu sasa nataka nihuishe hiyo sole proprietor kuwa construction company, je ni vigezo vipi natakiwa kuvifuata ili nikamilishe zoezi langu..nina mtaji wa 2,000,000.

Msaada tafadhali...@mkali wao
 
Mkuu mimi nilisajili business name Brela kwa ajili ya biashara yangu ya workshop(Welding &Metal fabrication) nikapewa certificate nikaipeleka TRA wakanipatia TIN, Sababu nilikuwa nahitaji leseni ikatakiwa nilipe WHT ya pango la miezi 12 alafu nikadiriwe alafu nikipata TAX CLEARANCE ndio niende halimashauri wakanipatie lesen ,sasa nilikwama kupata kupeleka hiyo WHT na makadirio sikufanyiwa...Ila lengo langu sasa nataka nihuishe hiyo sole proprietor kuwa construction company, je ni vigezo vipi natakiwa kuvifuata ili nikamilishe zoezi langu..nina mtaji wa 2,000,000.

Msaada tafadhali...@mkali wao

Inawezekana.. Mchakato wako huu inabidi uanzie Brela.. Unachotakiwa kufanya kabla hujaanza usajili wa kampuni inabidi ufunge kwanza jina la biashara hilo ambalo umelisajili, Huduma hii inaitwa "Ceasation of business name" na inalipiwa sh 10,000 tu. Kuna fomu utapaswa kujaza na kuziwasilisha kwa njia ya mtandao (ORS)

Wakati wa kufunga hilo jina la biashara itabidi utoe sababu kuwa unalifunga ili uweze kutumia jina hilo katika kampuni.

Baada ya kukamilisha kufunga jina la biashara sasa hatua inayofuata ni kuanza usajili wa kampuni, Hapa itabidi uanze kuandaa kwanza Memorandum

Katika sehemu ya kuweka objectives(shughuli ambazo unazifanya au unatarajia kuzifanya) hakikisha objective no 1 itakua ni kutake over hilo jina la biashara na shughuli zake zote ziwe katika kampuni.

Baada ya hapo taratibu za kawaida za usajili wa kampuni zitaanza, na kisha ukimaliza Brela utaenda TRA na kisha kumalizia na leseni.

Una swali la nyongeza mkuu!?
 
Inawezekana.. Mchakato wako huu inabidi uanzie Brela.. Unachotakiwa kufanya kabla hujaanza usajili wa kampuni inabidi ufunge kwanza jina la biashara hilo ambalo umelisajili, Huduma hii inaitwa "Ceasation of business name" na inalipiwa sh 10,000 tu. Kuna fomu utapaswa kujaza na kuziwasilisha kwa njia ya mtandao (ORS)

Wakati wa kufunga hilo jina la biashara itabidi utoe sababu kuwa unalifunga ili uweze kutumia jina hilo katika kampuni.

Baada ya kukamilisha kufunga jina la biashara sasa hatua inayofuata ni kuanza usajili wa kampuni, Hapa itabidi uanze kuandaa kwanza Memorandum

Katika sehemu ya kuweka objectives(shughuli ambazo unazifanya au unatarajia kuzifanya) hakikisha objective no 1 itakua ni kutake over hilo jina la biashara na shughuli zake zote ziwe katika kampuni.

Baada ya hapo taratibu za kawaida za usajili wa kampuni zitaanza, na kisha ukimaliza Brela utaenda TRA na kisha kumalizia na leseni.

Una swali la nyongeza mkuu!?
Unaeleweka sana kiongozi kwa mimi ambaye ni layman nakupa kongole sana
 
Kiongozi kwa mimi ambaye nataka kufungua kampuni, vipi kuhusu TIN NUMBER?kwani hapo mwanzo umesema inabidi kampuni lazima ifunguliwe na watu wawili kama sikosei,na watu ndio watakuwa wakurugenzi.Mimi nina TIN NUMBER na hali kadharika mwenzangu pia kwa hiyo tunataka kushift toka kwenye biashara za kawaida na kufungua kampuni,je hapo baada ya kufungua kampuni TIN NUMBER ZA AWALI ZITAKUAJE SASA?
 
Inawezekana.. Mchakato wako huu inabidi uanzie Brela.. Unachotakiwa kufanya kabla hujaanza usajili wa kampuni inabidi ufunge kwanza jina la biashara hilo ambalo umelisajili, Huduma hii inaitwa "Ceasation of business name" na inalipiwa sh 10,000 tu. Kuna fomu utapaswa kujaza na kuziwasilisha kwa njia ya mtandao (ORS)

Wakati wa kufunga hilo jina la biashara itabidi utoe sababu kuwa unalifunga ili uweze kutumia jina hilo katika kampuni.

Baada ya kukamilisha kufunga jina la biashara sasa hatua inayofuata ni kuanza usajili wa kampuni, Hapa itabidi uanze kuandaa kwanza Memorandum

Katika sehemu ya kuweka objectives(shughuli ambazo unazifanya au unatarajia kuzifanya) hakikisha objective no 1 itakua ni kutake over hilo jina la biashara na shughuli zake zote ziwe katika kampuni.

Baada ya hapo taratibu za kawaida za usajili wa kampuni zitaanza, na kisha ukimaliza Brela utaenda TRA na kisha kumalizia na leseni.

Una swali la nyongeza mkuu!?

Swali ni kuwa :-
Kwa kuwa nitakuwa na kaka angu kama director mwenzangu (Two shareholders) je jamaa atatakiwa awe na vitu gani ili awe mmoja wa ma-directors??

Swali la pili
Memorandum of association inakuwa na process gani hadi kukamilika???

Swali la tatu
Kampuni ni Construction company lakini nataka pia ifanye shughuli zingine kama:
-Mining and exploration activities
-Drilling activities
-Selling of motorvehicles
-Fishing and Farming business
-Estate business
-Bevarages and wine processesing
-Textile manufacturing
Na nyingine ambazo sijaziorodhesha

Je kwa mtaji huo nilioanisha kwenye post ya kwanza,nitaruhusiwa ku-establish hiyo kampuni???

Msaada mkali wao
-
 
Mfano TRA kwenyw makadilio mwaka jana nilikadiria faida kubwa zaidi,mwisho wa mwaka faida ikaja ndogo,je mwaka unaofuata naweza kupunguza makadilio ya kuwalipa TRA?
 
Naomba niulize, kuna biashara nilifungua 2020 na wakanikadiria kodi 200k kwa mwaka. Ila sikuweza kuifungua. Nilipowafata kutaka kuifunga wakasema mpaka mwaka uishe na mpaka nilipe kodi ya mwaka. Mwaka 2021 mwishoni nilikuwa mbali so nikashindwa kuwaandikia barua na kulipa deni la kodi. Je,
Penalt ni Tshs ngapi/asilimia ngapi? Nikiwaandikia barua ya kufunga biashara mwisho wa mwaka huu?
 
Shukrani mkuu naomba nikujibu kwa namba kama ulivyouliza

1. Hapana, Hauwezi kujifanyia Auditing.. unaweza tu kuandaa hesabu zako (kama una utaalamu huo) ila lazima upeleke kwa Certfied Auditor ili aweze kukagua hesabu zako na kuziweka sawa na kisha aziwasilishe TRA na kwengine zitapohitajika.. Hata kampuni ikiwa na mtaji wa milioni 1 ni lazima apatike Certified Auditor wa kukagua hesabu na kusubmit.

2. Yes, inawezekana kabisa.. Kisheria kampuni 1 inaruhusiwa kufanya shughuli za biashara zaidi ya moja kwa kadri itavyoamua yenyewe. So unaweza kuchanganya kilimo,ufugaji, mazao na nyengine zote utazoamua wewe

3. Kisheria mtaji wa kampuni wa chini kabisa ambapo Brela watakuruhusu kusajili kampuni yako ni kuanzia shilingi sh 20,000-1,000,000
So yes it worthy kufungua kampuni ukiwa na kiasi hiko na kitacover registration cost zote mpaka kampuni kuwa kamili kufanya biashara

4. Andaa kama bajeti ya milioni 1 kwa vitu vyote (Usajili wa kampuni Brela, TIN ya kampuni TRA pamoja na Leseni ya biashara) kisha tuone Section Twenty Limited kwa simu namba 0714499248

Karibu

Hapo #2 ndo kampuni inakuwa termed as Group of Companies?
 
Inawezekana.. Mchakato wako huu inabidi uanzie Brela.. Unachotakiwa kufanya kabla hujaanza usajili wa kampuni inabidi ufunge kwanza jina la biashara hilo ambalo umelisajili, Huduma hii inaitwa "Ceasation of business name" na inalipiwa sh 10,000 tu. Kuna fomu utapaswa kujaza na kuziwasilisha kwa njia ya mtandao (ORS)

Wakati wa kufunga hilo jina la biashara itabidi utoe sababu kuwa unalifunga ili uweze kutumia jina hilo katika kampuni.

Baada ya kukamilisha kufunga jina la biashara sasa hatua inayofuata ni kuanza usajili wa kampuni, Hapa itabidi uanze kuandaa kwanza Memorandum

Katika sehemu ya kuweka objectives(shughuli ambazo unazifanya au unatarajia kuzifanya) hakikisha objective no 1 itakua ni kutake over hilo jina la biashara na shughuli zake zote ziwe katika kampuni.

Baada ya hapo taratibu za kawaida za usajili wa kampuni zitaanza, na kisha ukimaliza Brela utaenda TRA na kisha kumalizia na leseni.

Una swali la nyongeza mkuu!?

Kwenye kulitumia hilo jina katika kampuni inakuwaje? Unalisajili tena au
 
Swali ni kuwa :-
Kwa kuwa nitakuwa na kaka angu kama director mwenzangu (Two shareholders) je jamaa atatakiwa awe na vitu gani ili awe mmoja wa ma-directors??

Swali la pili
Memorandum of association inakuwa na process gani hadi kukamilika???

Swali la tatu
Kampuni ni Construction company lakini nataka pia ifanye shughuli zingine kama:
-Mining and exploration activities
-Drilling activities
-Selling of motorvehicles
-Fishing and Farming business
-Estate business
-Bevarages and wine processesing
-Textile manufacturing
Na nyingine ambazo sijaziorodhesha

Je kwa mtaji huo nilioanisha kwenye post ya kwanza,nitaruhusiwa ku-establish hiyo kampuni???

Msaada mkali wao
-

Najibu kwa namba kama ifuatavyo

1. Ili mtu kuwa Director wa kampuni kwanza kabisa lazima awe ametimiza miaka 21, lakini pia ni LAZIMA awe na TIN yake binafsi pamoja na namba za NIDA..

2. Memorandum & Articles of Association inaandaliwa na mwanasheria au mtu mwenye utaalam wa kuziandaa. Na kwa mtu mzoefu ni kazi ya masaa tu anaku ameikamilisha

3. Jibu ni YES, utaruhusiwa kusajili bila tatizo lolote
 
Mfano TRA kwenyw makadilio mwaka jana nilikadiria faida kubwa zaidi,mwisho wa mwaka faida ikaja ndogo,je mwaka unaofuata naweza kupunguza makadilio ya kuwalipa TRA?

Kama trending ya biashara yako imeshuka na hata kwenye Annual Report yako ya EFD inaonyesha hivyo basi unaweza kupunguza makadirio, sio lazima upandishe…
 
Naomba niulize, kuna biashara nilifungua 2020 na wakanikadiria kodi 200k kwa mwaka. Ila sikuweza kuifungua. Nilipowafata kutaka kuifunga wakasema mpaka mwaka uishe na mpaka nilipe kodi ya mwaka. Mwaka 2021 mwishoni nilikuwa mbali so nikashindwa kuwaandikia barua na kulipa deni la kodi. Je,
Penalt ni Tshs ngapi/asilimia ngapi? Nikiwaandikia barua ya kufunga biashara mwisho wa mwaka huu?

Ngoja nikujibu jibu la maelezo marefu kidogo kwa faida yako na wote kwa siku zijazo.

Mnapokadiriwa kodi na TRA labda mwanzoni mwa mwaka, na unaona miezi inaenda ile biashara imekua ndivyo sivyo au imekufa kabisa jitahidi kabla mwaka haujaisha katoe taarifa TRA ili wabadilishe makadirio yako ya kodi, utawaambia umeenda kufanya ammendment ya makadirio ya kodi (TRA hawapendi hiki kitu ila ni inawezekana)

Kama una ushahidi wa kusupport unayoyaongea inakua vizuri zaidi, kama kodi labda ilikua 250k unaweza ukajikuta umepunguziwa hadi 100k

Ukikaa ukisubiri mpaka mwaka uishe kabisa hiyo kodi ni lazima utailipa, hata utoe sababu gani

Kama wewe ni mfanyabiashara ambae hutunzi kumbukumbu za hesabu wala huandai mahesabu ya mwaka (Tax under Presumpitve) HAKUNA PENALTY.. ingekua ni mfanyabiashara ambae unatunza kumbukumbu na kupeleka hesabu penalty ni sh 75,000 kwa kila mwezi unaochelewa na kwa kampuni penalty ni sh 225,000 kwa mwezi

Kama biashara umefunga tangu kipindi hiko andika barua kabla ya mwezi March tarehe 31 mwaka huu, usisubiri mwisho wa mwaka
 
Back
Top Bottom