Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

Huu ushauri umenifumbua mengi, nimetoka kupigwa mzigo kwa kuingia kichwakichwa kwenye hii biashara bila kuijua kiundani, hii biashara inataka kuijua na kuwa mvumilivu ndio utaona matunda yake
 
Hata 2million inatisha kuanza kwa kuishi Kama ndege ukiwa site unanunua but kuanzia 5million ni nzuri zaidi

 
Msaada



Naskia kunakiwango kidogo cha dhahabu ndani yake napia ukipata tani moja unaweza tengeneza dhahabu nyingi
Peleka sample maabaraa upate majibu. Siyo dhahabu zote huonekana kwa macho mtupu.
 
Habari wakuu, naomba kufahamu hya mawe na kazi yake pia ni jinsi gani naweza kufaidika nayo.
 
Soko la white pebbles quartz limekaaje hapa Tanzania anaefaham msaada plz..

 
Duh ndio maana Prof Muhongo alisema hawa matajiri wetu hawana hela ya kuwekeza huko. Tukamind kumbe ni biashara nzito hivi katika uwekezaji
 
Mkuu ngoja nikubali kuwa mjinga nipate kitu juz Kun habar ilikua trend Kun dini aina ya ruby walikua wanapiga mnada huko Dubai ambapo samani yake inafika more than 100 us dollars ni pesa nyingi sana hii kitu nacho jiuliza hayo madini wanatumika kutengenezea kitu gani ambayo kinaweza kurudisha thamani ya hiyo hela na mfano wa hivo vitu ni vitu gani
 
Kwanza ninashukuru kwa kupata nafasi ya kusoma taarifa MBALI MBALI za madini,na kiujumla nimepata elimu kidogo ya kuanzia.
Anyway kwetu tarime katika shamba letu,nilikuta kwa juu juu kuna mawe flani ya kijani, nadhani kwenye picha ya mwanzo hapo juu,nikachukua na kuja nayo dar na kwenda kupima. Yakakutwa na dhahabu,iron,fe,na madini mengine zaidi ya 7.
Kwa kuwa lilipatikana usawa wa sehemu ambayo hata ukiingiza mguu hufiki kwenye goti,nikaambiwa nichimbe walau futi kadhaa chini,nilete mchanga upimwe na wao wanaweza kuniambia kuhusu usawa wa mwamba,aina za madini,wingi wake na wao huita hayo mawe ya kijani sana kuwa ndo makinikia.
Pia wakasema kwa aina ya hayo mawe, unaweza chimba chini then ukakutana na mawe meusi na ndipo unaweza pata dhahabu katika mawe hayo hasa kwenye kichuguu. Maana yake unakuta mawe meusi makubw,na hapo ndani ya hayo mawe magumu, ndani yake kunakuwa na dhahabu nyingi.
Naweza kupata utaalam kidogo? eneo hilo halijapimwa kwa Sasa hivyo nafanyia process za kupata eneo hilo kwa njia ya hati za kimila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…