Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

Uliza ujibiwe kuhusu madini, gesi na mafuta

Kwanza ninashukuru kwa kupata nafasi ya kusoma taarifa MBALI MBALI za madini,na kiujumla nimepata elimu kidogo ya kuanzia.
Anyway kwetu tarime katika shamba letu,nilikuta kwa juu juu kuna mawe flani ya kijani, nadhani kwenye picha ya mwanzo hapo juu,nikachukua na kuja nayo dar na kwenda kupima. Yakakutwa na dhahabu,iron,fe,na madini mengine zaidi ya 7.
Kwa kuwa lilipatikana usawa wa sehemu ambayo hata ukiingiza mguu hufiki kwenye goti,nikaambiwa nichimbe walau futi kadhaa chini,nilete mchanga upimwe na wao wanaweza kuniambia kuhusu usawa wa mwamba,aina za madini,wingi wake na wao huita hayo mawe ya kijani sana kuwa ndo makinikia.
Pia wakasema kwa aina ya hayo mawe, unaweza chimba chini then ukakutana na mawe meusi na ndipo unaweza pata dhahabu katika mawe hayo hasa kwenye kichuguu. Maana yake unakuta mawe meusi makubw,na hapo ndani ya hayo mawe magumu, ndani yake kunakuwa na dhahabu nyingi.
Naweza kupata utaalam kidogo? eneo hilo halijapimwa kwa Sasa hivyo nafanyia process za kupata eneo hilo kwa njia ya hati za kimila
Hakuna leseni ya madini inaitwa hati za kimila. Chukua coordinate Kisha nenda office za madini utaambiwa Kama pako wazi utamiluki. Hati ya kimila ni kumiliki shamba tu. Juu ya madini, inategemea Kama yapo au hayapo. Inahitaji kutafiti. Kama yapo utayapata na siyo sahihi ukichimba chini zaidi ndiyo unayapata. Inategemea na menyewe yapo wapi. Kuna sehemu dhahabu unaikuta juuu kabisa ya aridhi na kazi yako ni kuchota tu.
 
Hakuna leseni ya madini inaitwa hati za kimila. Chukua coordinate Kisha nenda office za madini utaambiwa Kama pako wazi utamiluki. Hati ya kimila ni kumiliki shamba tu. Juu ya madini, inategemea Kama yapo au hayapo. Inahitaji kutafiti. Kama yapo utayapata na siyo sahihi ukichimba chini zaidi ndiyo unayapata. Inategemea na menyewe yapo wapi. Kuna sehemu dhahabu unaikuta juuu kabisa ya aridhi na kazi yako ni kuchota tu.
Naomba kujua soko la chrome na pink tourmaline kwa sasa bei ipoje hapa tz
 
Naomba kujua soko la chrome na pink tourmaline kwa sasa bei ipoje hapa tz
Pink tourmaline inategemea imekaaje. I mean ubora wake rangi pamoja na ukubwa. Unapaswa kuchukua chache na kwenda nazo sokoni. Angalia solo lililopo karibu nawe au mabroker walio karibu nawe. Chrome ni metal inahitajika mchakato mkubwa, vizuri ikiwa imechenjuliwa Sasa Kama bado ipo aridhini labda uwekezaji wa kuchimba na kuchenjua Kisha sokoni. But huwa kunaviwanda china wananunua ore yake Ila kwa Sasa sijui zaidi mpaka kufatilia
 
Pink tourmaline inategemea imekaaje. I mean ubora wake rangi pamoja na ukubwa. Unapaswa kuchukua chache na kwenda nazo sokoni. Angalia solo lililopo karibu nawe au mabroker walio karibu nawe. Chrome ni metal inahitajika mchakato mkubwa, vizuri ikiwa imechenjuliwa Sasa Kama bado ipo aridhini labda uwekezaji wa kuchimba na kuchenjua Kisha sokoni. But huwa kunaviwanda china wananunua ore yake Ila kwa Sasa sijui zaidi mpaka kufatilia
Mkuu ule unga wa mercury nyeusi na nyekundu bei yake ikoje
 
Pink tourmaline inategemea imekaaje. I mean ubora wake rangi pamoja na ukubwa. Unapaswa kuchukua chache na kwenda nazo sokoni. Angalia solo lililopo karibu nawe au mabroker walio karibu nawe. Chrome ni metal inahitajika mchakato mkubwa, vizuri ikiwa imechenjuliwa Sasa Kama bado ipo aridhini labda uwekezaji wa kuchimba na kuchenjua Kisha sokoni. But huwa kunaviwanda china wananunua ore yake Ila kwa Sasa sijui zaidi mpaka kufatilia
Ruby naomba tuwasiliane please, nina jambo langu la gypsum kule kilwa.

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Kunauchomaji wa Aina 3. 1. Kuchoma kwa Moto wa kawaida ili kutoa Mercury 2. Kuchoma kwa gas is uchafu wa wakawaida(physical uchafu) utoke na dhahabu ikae pekeyake hii ni kuchoma mpaka gold inayeyuka na Kuwa Kama uji kabisa.
3. Uchomaji wa kusafisha gold ili ipande asilimia ya purity, hii huitwa gold purification. Ndiyo huisafisha gold Hadi kufikia asilimia 99.99%
Mkuu baada ya kuhitimu degree miaka minne iliyopita bila ajira kuna jamaa kanishauri nikasome certificate ya mining processing kwa uzoefu wako baadae ya kuhitimu naweza kupata pa kujishikiza au ndo nitasungua benchi tu?
 
Mkuu Binafsi Mimi nipo interested Sana kujua....I'm passionately curious, napenda Sana kujua regardless nitakifanyia kitu kazi au laah..umesema hapo juu [emoji115] kuwa dhahabu inapatikana kwa uwiano wa 0.004g/tonne, which means that in every 1000kg of stones we have 0.004g of gold...swali langu ni hayo yanakuwa ni mawe ya mwamba wa dhahabu kama ulivosema kuwa always dhahabu inakaa katika mwamba na ikitokea rock weathering ndio tunaipata dhahabu juu ya ardhi kirahisi(placer deposit) au ni mawe yeyote yale yakiwa 1000kg(1T) ndani yake kuna dhahabu kiwango cha 0.004g?
 
ruby garnet kaka habari, haya mawe naomba kujua jinsi ya kufaidika nayo, kwenye eneo langu yapo
IMG_20220826_120643_HDR.jpg
IMG_20220826_120636_HDR.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220826_120636_HDR.jpg
    IMG_20220826_120636_HDR.jpg
    104.1 KB · Views: 33
Naomba msaada wa kupata leseni ya uchimbaji mdogo na gharama zake.
 
Nenda ofisi za madini za wilaya ulipo mgodi kama una gps chukua cordinates za eneo unalotaka kupata leseni,hapo wataangalia kwenye database kama eneo halina mtu(halina mmiliki),kama halipo katika makazi ya watu,halipo katika hifadhi,halipo katika chanzo cha maji & the same;kama limekizi vigezo hivyo watakwambia uandike barua ya maombi ya kuomba leseni ya eneo hilo na kamati itakaa kujadili umilikishwe leseni...process hii kawaida huchukua wiki mbili na utapatiwa majibu,gharama za maombi ni ilikuwa ni elfu 50 mpk mwaka jana na malipo ya leseni ni laki na 80 kwa kiwanja kwa kila mwaka by the time,hata kama imepanda haitakuwa zimepishana sana
 
ruby garnet Mkuu gharama za kujenga VAT leaching zipoje kwa tank la tone 50 na taratibu zake zipoje?

Naomba uelezee tofali za kuchoma na block na zipi nzuri zadi,natanguliza shukrani.
 
ruby garnet pia Kuna uhusiano gani Kati ya dhahabu na mnyama kakakuona.

Je umewahi kuzisikia tuhuma za wachimbaji kule maduarani kuhusu kakakuona.
 
Mkuu Asante kwa fafanuzi hizi zenye mantiki. Mimi naomba kujua Bei ya madini ya white quartz. Je yanuzwaje, kwa kilo au kwa Tani? Na Bei zake zikoje?.
 
Nina mtaji wa 25M naomba ushauri, ni kipi nifanye kati ya hivi (biashara ya dhahabu)

-kununua karasha na kusaga mawe kisha kutunza rundo (ludio)

-kununua rudio moja kwa moja na kupeleka plant?
 
Nina mtaji wa 25M naomba ushauri, ni kipi nifanye kati ya hivi (biashara ya dhahabu)

-kununua karasha na kusaga mawe kisha kutunza rundo (ludio)

-kununua rudio moja kwa moja na kupeleka plant?
Zote mbili zinalipa na zote zinakata mtaji , inategemea wewe ipi unaipenda. Chagua uipendayo uchape kazi
 
Back
Top Bottom