Mkuu Binafsi Mimi nipo interested Sana kujua....I'm passionately curious, napenda Sana kujua regardless nitakifanyia kitu kazi au laah..umesema hapo juu [emoji115] kuwa dhahabu inapatikana kwa uwiano wa 0.004g/tonne, which means that in every 1000kg of stones we have 0.004g of gold...swali langu ni hayo yanakuwa ni mawe ya mwamba wa dhahabu kama ulivosema kuwa always dhahabu inakaa katika mwamba na ikitokea rock weathering ndio tunaipata dhahabu juu ya ardhi kirahisi(placer deposit) au ni mawe yeyote yale yakiwa 1000kg(1T) ndani yake kuna dhahabu kiwango cha 0.004g?