Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!!!!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura!!! Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Mjomba umerudia rudia sana hoja kiasi umefanya andiko lko liwe refu bila ya sababu za msingi.
Hayo yote uliyoandika yangetosha kwa mistari michache tu na ungeeleweka vizuri.
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!!!!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura!!! Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Lazima niwashangae. Kwani wenye kuchagua kiongozi wao ni nani. Huyu ni msomi wa sheria na alilo lifanya kwenye mchakato wa katiba ni kusimama na msimamo wake. Hapo sioni kosa. walipokuja kwenye mchakato wa katiba viongozi wote wa zanzibar walikuwa na msimamo mmoja. walipofika daressalaam, CCM waote waligeuka sababu ya uluwa isipokuwa mwana sheria wao ambae alisema hawezi kuyumbishwa baada ya kukubaliana na wenzake halafu kusaliti wazanzibari. sasa hapo kuna siasa za kiislamu zimetoka wapi. Huyu Othmani, ulizeni mke wake ni nani?. Acheni kutuletea ujinga wa CCM hapa. Sisi tunajadili masuala kabambe ya kuendesha taifa na nyinyi wenzetu munajadili fitina tu. Munafikiri sisi wazanzibari wajinga?. Basi tuheshimiane sana. Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Majority tulitaka serikali Tatu na mpaka leo ndio msimamo wetu. Sisi tumekataa UDIKTETA katika nchi yetu na Tumeikataa CCM kwa jumla. Liliopo ni kukubaliana na ndicho kiliopo venginevo hatushindwi kujieleza na mutaipata habari karibuni. ACT na makubaliano yao haiwahusu. Akiwa Juma Duni au Othman Masoud , hilo ni chaguo la ACT wazalendo na nyinyi mulimueka Hussein kwa maguvu. sasa kuna nini tena. DEMOKRASIA au UDIKTETA?.
 
Mbona watu mnamuogopa mwanasheria mwenye misimamo madhubuti na iliyo wazi? ACT inachagua wao si wajinga wakurupuke. Serikali moja muungano, serikali mbili muungano na serikali tatu muungano. ACT itaamua makamu wanaempeleka akasimamie nini. Huenda ni wakati vijana "washirikiane" kuijenga Zanzibar.
 
Lazima niwashangae. Kwani wenye kuchagua kiongozi wao ni nani. Huyu ni msomi wa sheria na alilo lifanya kwenye mchakato wa katiba ni kusimama na msimamo wake. Hapo sioni kosa. walipokuja kwenye mchakato wa katiba viongozi wote wa zanzibar walikuwa na msimamo mmoja. walipofika daressalaam, CCM waote waligeuka sababu ya uluwa isipokuwa mwana sheria wao ambae alisema hawezi kuyumbishwa baada ya kukubaliana na wenzake halafu kusaliti wazanzibari. wazanzibari wajinga?. Basi tuheshimiane sana. Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Majority tulitaka serikali Tatu na mpaka leo ndio msimamo wetu..
Kama alikuwa kinyume na wenzake wote wa Zanzibar ina maana hafai na usomi wake hajui maana ya maamuzi ya pamoja ina maana hata akiingia serikali ya umoja wa kitaifa wakifanya maamuzi kwa pamoja akiwa yeye hakubaliani nayo atapinga hajui maana ya makubaliano ya pamoja!!!

pili waliosrma adilimia kubwa kwenye kutoa maini kutaka serikali tatu zanzibar wengi walikuwa wapemba wallikuwa wakisikia tume inaenda mahali fulani na wao mbio wanaenda adi jaji.warioba akahoji mbona lafudhi ni zile zile za sehemu zote tunakoenda vikao wanaaongelea serikali tatu ni wale wale wa kutoka sehemu moja ya zanzibar yaani pemba? Walikuwa Wamepanga watu kila kila kikao na wanaongea kitu kile kile kwa kukariri hadi nukta na mikayo kuanzia mwanzo wa sentensi hadi mwisho tume ya maoni wakashtuka.Lakini kwa kuwa kazi yao ilikuwa tu kukusanya maoni tu ndio wakaatoa takwimu hizo lakini with reservation ya kilichotokea Zanzibar.Ile haikuwa kura ya maoni ilikuwa kukusanya tu maoni roughly lakini wapemba wakaharibu mchakato uonekane kama ni wa kwao zaidi badala ya kuuacha freely bila kupanga watu kila mkutano
 
Mbona watu mnamuogopa mwanasheria mwenye misimamo madhubuti na iliyo wazi? ACT inachagua wao si wajinga wakurupuke. Serikali moja muungano, serikali mbili muungano na serikali tatu muungano. ACT itaamua makamu wanaempeleka akasimamie nini. Huenda ni wakati vijana "washirikiane" kuijenga Zanzibar.
Nafikiri hata huelewi kazi ya makamu wa Raisi kule haendi kuwa mbunge wa kupigania serikali tatu akishateuliwa anaapishwa kuilinda katiba ya zanzibar iliyoko sasa inayotambua muungano wa serikali mbili !!! Hilo la kusema ohhh akapiganie serikali tatu sio mandate yake na halimo.kwenye kiapi chake!!! Hapewi hiyo kazi kuwa nenda kapiganie serikali tatu!!! Kule ni kuapa kulinda katiba tu iliyopo inayotambua muungano uliopo!!!
 
Baada ya kufariki Makamo wa kwanza Maalim seif sharif Hamad, Kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale kuhusu ni nani atakae weza kuvaa viatu japo nusu ,vya marehemu maalim seif, mpaka sasa majina ni mawili, Juma Duni na Othman masoud Ambae aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar wakati wa DR Shein

Othman Masoud alitumbuliwa kutokana na misimamo yake ya kutetea katiba ya Zanzibar Na maslahi ya Zanzibar katika bunge la katiba mpya.

Bwana Othman hakujali maslahi yake binafsi na kuweka uzalendo zaidi, sikiliza mahojiano yake juu ya serikali ya umoja wa kitaifa akitoa maoni yake.

Mimi binafsi namkubali huyu kijana mwenzangu, kwanza ni msomi wa kweli, mzalendo na yupo tayari kutetea maslahi ya Zanzibar, naamini kama atapata fursa ya kuwa makamo ataweza kumshauri Mwinyi na kumsaidia katika kuwaletea maendeleo wazanzibari.

View attachment 1712035
Kwanini isiwe Zitto Kabwe?
 
Mnataka mtu legelege ili muendeleze usanii wenu???



Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.

Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.

Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.

He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; because for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitazomridhisha.
 
Wee bi.mdogo ni msumbufu kwel hakuna kinachokusumbua zaid ya ukafr wako uliokubuhu
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!!!!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura!!! Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!!!!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura!!! Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Acha porojo
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!!!!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura!!! Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Wewe unataka kusema unamfahamu Othman kuliko wafuasi wa upinzani na wazanzibari wenzake?

Kwahiyo Serikali ya Zanzibar ilikuwa na AG wa Uamsho ?
 
Sidhani kama huyo Othman Masoud atapewa hiyo nafasi, kilichosababisha Seif apewe licha ya "usumbufu" wake ilikuwa ni uungwaji mkono mkubwa aliokuwa nao toka kwa wafuasi wake, hii ikasababisha CCM ione aibu kama wasingempa wasingeeleweka.

Lakini huyo Masoud kwanza hana ushawishi kama ilivyokuwa kwa Seif, lakini pia, itakuwa ni vigumu kwa Mwinyi kufanya kazi na mtu wasiefanana mitazamo, itakuwa ngumu kuaminiana, asijepewa hayo majukumu ghafla akaibuka na ajenda yake tofauti.
Inaonekana hujui chochote., Makamo wa kwanza siyo ihsani toka kwa DrMwinyi kuendeleza umoja, ni takwa la kikatiba ya Zanzibar, haijalishi
Mwinyi atake au asitake akipewa jina la Othman Massoud kutoka ACT hana alternative katiba inamtaka amchague tena mara moja ili kukidhi zile % mgombea wa 2 alyepata asilimia kadhaa chini ya mshindi katika uchaguzi mkuu.

Suala la Othman kua na agender tofauti na DrMwinyi akiwa kwenye huo umoja wa kitaifa haijalishi as long as yeye Othman ameaminiwa na chama chake juu ya kusimamia kile wanachokiona kina maslahi na Zanzibar.

Na hapa ifahamike uzuri kwamba ccm wanataka ku-take advantage kwamba maalim seif dakika za mwisho alihimiza umoja kwaiyo wao wanataka umoja udumu hata watu wakiporwa ushindi wao kwa nguvu za kijesh waendelee kuwa laini laini na utiifu tu jambo ambalo ACT hawatatakiwa kuendelea kutii mpaka haki zitakapotamalaki ili huo umoja na mshikamano wanaohubiri kuachiwa na maalim seif uambatane na haki sawa kwa wote.

Dr Mwinyi ni rais wa Zanzibar kwanini litakapokuja suala la Zanzibar kuwa na mamlaka yake kama hapo kabla aje akatae? Nadhan Dr Mwinyi aungane na huyo Othman massoud kama atapendekezwa jina lake ili wote kupigania maslahi ya Zanzibar hapo watakuwa wamemuenzi maalim seif vizuri
 
Baada ya kufariki Makamo wa kwanza Maalim seif sharif Hamad, Kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale kuhusu ni nani atakae weza kuvaa viatu japo nusu ,vya marehemu maalim seif, mpaka sasa majina ni mawili, Juma Duni na Othman masoud Ambae aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar wakati wa DR Shein

Othman Masoud alitumbuliwa kutokana na misimamo yake ya kutetea katiba ya Zanzibar Na maslahi ya Zanzibar katika bunge la katiba mpya.

Bwana Othman hakujali maslahi yake binafsi na kuweka uzalendo zaidi, sikiliza mahojiano yake juu ya serikali ya umoja wa kitaifa akitoa maoni yake.

Mimi binafsi namkubali huyu kijana mwenzangu, kwanza ni msomi wa kweli, mzalendo na yupo tayari kutetea maslahi ya Zanzibar, naamini kama atapata fursa ya kuwa makamo ataweza kumshauri Mwinyi na kumsaidia katika kuwaletea maendeleo wazanzibari.

View attachment 1712035

Kumbe ni huyu,apewe mitano!
 
Mnataka mtu legelege ili muendeleze usanii wenu???



Wala hakuna anaebishia hilo ‘Othman Masoud’ ni tough cookie to bite na msimamo wake ni mmoja tu getting out of the union.

Tofauti yake na wenzake wa anti union he is very clever and calculating. Hana pupa ya kutaka yote kwa pamoja, mbinu zake ukimsikiliza ni kumega taratibu nguzo za muungano mpaka unavunjika.

Kwa Othman Masoud siasa ni daraja tu la kufikia adhma yake but deep down ni scholar ambae pengine sasa hivi angekuwa anafundisha that’s his passion ukimsikiliza. Isipokuwa siasa ndio njia pekee other than mbinu za kuingia msituni kuharibu muungano ambao haupendi with passion.

Tanzania ni moja bara na visiwani ni ndugu ukienda Tanga mjini asilimia kubwa ya population ni wapemba leo, so I am told. Yeye hataki mahusiano mazuri ya watanzania sujui ana matatizo gani.
 
Lazima niwashangae. Kwani wenye kuchagua kiongozi wao ni nani. Huyu ni msomi wa sheria na alilo lifanya kwenye mchakato wa katiba ni kusimama na msimamo wake. Hapo sioni kosa. walipokuja kwenye mchakato wa katiba viongozi wote wa zanzibar walikuwa na msimamo mmoja. walipofika daressalaam, CCM waote waligeuka sababu ya uluwa isipokuwa mwana sheria wao ambae alisema hawezi kuyumbishwa baada ya kukubaliana na wenzake halafu kusaliti wazanzibari. sasa hapo kuna siasa za kiislamu zimetoka wapi. Huyu Othmani, ulizeni mke wake ni nani?. Acheni kutuletea ujinga wa CCM hapa. Sisi tunajadili masuala kabambe ya kuendesha taifa na nyinyi wenzetu munajadili fitina tu. Munafikiri sisi wazanzibari wajinga?. Basi tuheshimiane sana. Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Majority tulitaka serikali Tatu na mpaka leo ndio msimamo wetu. Sisi tumekataa UDIKTETA katika nchi yetu na Tumeikataa CCM kwa jumla. Liliopo ni kukubaliana na ndicho kiliopo venginevo hatushindwi kujieleza na mutaipata habari karibuni. ACT na makubaliano yao haiwahusu. Akiwa Juma Duni au Othman Masoud , hilo ni chaguo la ACT wazalendo na nyinyi mulimueka Hussein kwa maguvu. sasa kuna nini tena. DEMOKRASIA au UDIKTETA?.
Si kweli walikuja wote wameridhia kuna watu kama VP mama Samia, Nahodha na wengine wachache awakuunga mkono maamuzi ya serikali tatu tangia Zanzibar. Waliobaki walihitaji kupewa perspective nyingine ya mapendekezo ya rasimu ili wafanye maamuzi sahihi, sio kufuata porojo za bwana Masoud.

Ndio maana namuona Othman Masoud being poisonous for the stability of Tanzania; very persuasive and tactical with his long term plan.
 



Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.

Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.

Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.

He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitakazomridhisha.


Unajua ukija kwenye maslahi ya Tanganyika hakuna mzanzibar atakae faa ispokuwa mlafi wa madaraka, ukija kwenye maslahi ya Zanzibar mtu Kama huyu ndie anae faa, kwa msemo mwengine nyinyi hutumia kuwa sio Mtu mzuri kwa maslahi ya Tanganyika na Muungano.

Kama wazanzibari Sisi tunaangalia Zanzibar, na ndio sababu kuu ya marehemu Maalim seif kukubalika visiwani Zanzibar.

Huyu kijana ni jembe
 



Wala hakuna anaebishia hilo ‘Othman Masoud’ ni tough cookie to bite na msimamo wake ni mmoja tu getting out of the union.

Tofauti yake na wenzake wa anti union he is very clever and calculating. Hana pupa ya kutaka yote kwa pamoja, mbinu zake ukimsikiliza ni kumega taratibu nguzo za muungano mpaka unavunjika.

Kwa Othman Masoud siasa ni daraja tu la kufikia adhma yake but deep down ni scholar ambae pengine sasa hivi angekuwa anafundisha that’s his passion ukimsikiliza. Isipokuwa siasa ndio njia pekee other than mbinu za kuingia msituni kuharibu muungano ambao haupendi with passion.

Tanzania ni moja bara na visiwani ni ndugu ukienda Tanga mjini asilimia kubwa ya population ni wapemba leo, so I am told. Yeye hataki mahusiano mazuri ya watanzania sujui ana matatizo gani.


Unaongea about family or about countries? Don’t be a fool 🥸
 
Unajua ukija kwenye maslahi ya Tanganyika hakuna mzanzibar atakae faa ispokuwa mlafi wa madaraka, ukija kwenye maslahi ya Zanzibar mtu Kama huyu ndie anae faa, kwa msemo mwengine nyinyi hutumia kuwa sio Mtu mzuri kwa maslahi ya Tanganyika na Muungano.

Kama wazanzibari Sisi tunaangalia Zanzibar, na ndio sababu kuu ya marehemu Maalim seif kukubalika visiwani Zanzibar.

Huyu kijana ni jembe
Sema maslahi yako sio wazanzibar wote maana wapo wengi tu pro union Zanzibar na Pemba; ambao wapo tayari kuulinda muungano kwa nguvu zote.

If anything watu kama kina Othman Masoud ni tatizo la social unrest na wanaotenesha vidonda kila siku.

Yaleyale ya Alex Salmond na Nicola Sturgeon na siasa za Scotland kumbe kuna vita kubwa nyuma yao kisa siasa za kupishana kwenye maswala ya muungano hadi kutungiana kesi za sexual abuse.
 
Back
Top Bottom