Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Huyo Othman Masoud ni radical hatari anafanana na uamsho kwenye harakati za kujitenga tofauti na njia za kistaarabu zinazotumiwa na wanasiasa kwenye harakati zao.

The guy is very toxic kwa umoja wa kitaifa huko Zanzibar na muungano wenyewe.

Kwani kuvamia nchi nyengine na kuuwa watu wake wewe unaona ni ustaarabu?
 
Yaleyale misingi ya kuanzishwa kwa uamsho sio udini per kama unavyofikiria. Walianza kama kikundi cha masheikh wenye kudai Zanzibar huru na kufanya mihadhara kwa madai ya kutoa elimu jinsi Zanzibar inavyopoteza identity yake kupitia muungano ndio maana wakajiita uamsho.

Niliposema ni radicals not necessary in religious way (though they were in the end) Ila nilimaamisha njia zao za kutaka kuuvunja muungano zilikuwa uncompromising kama huyo Othman Masoud.

Ukumbuke uamsho walitaka serikali ya Zanzibar isiendesheke kwa nguvu kwa kuingiza watu barabarani na kupambana na vyombo vya ulinzi walionywa mara kadhaa kistaarabu.

Wahusika walikuwa wanakamatwa wanaachiwa hawasikii if anything wakitoka ndio wana andaa maandamano makubwa zaidi; wakatoka kwenye siasa na kuingiza udini na kuanza kuchoma makanisa ndipo JK akaona inatosha.

Kwa hivyo ninaposema ni radical kama uamsho ni katika hatua za uncompromising attitude alizo nazo dhidi ya muungano.

Lost in translation kwako pengine ukuwa mfuatiliaji mzuri wa uhamsho katika harakati zao jamaa wanakesi ya uhaini adhabu yake kunyongwa; swala ambalo watu wengi mnalichukulia lightly ni bora funguo zao za jela zimetupwa kuliko kukutwa na hatia.

Hakuna hilo jambo hapa Zanzibar na halikutokea, kwenye mchakato wa katiba ,jumuiya zote kidini zilishirikishwa na toka makusanyo ya maoni mpaka bungeni, kama wao uwamsho walihamasisha kuvunja muungano, ni kwa mujibu wa katiba, kutoa maoni ni uhuru wako, muungano sio watu muungano ni nchi, hata ukivunjika watu watakuwa Na muungano wao miingiliano yao,asilimia zaidi ya 5 tumor hilo Ana na Kenya mombasa, wazanzibari tele, Tanganyika imepakana na Kenya,Rwanda, Burundi,Congo, pia kuna uwongiliano huko mipakani,

Uk na Oman kuna wazanzibari asilimia 20 au zaidi na bado Zanzibar inapata mchango mkubwa kwa wazanzibari hao,

Isitoshe mkuu tupe ushahidi wako wa unao onyesha kuwa uwamsho wanataka kuvunja muungano, inamaana mumewaweka segerea huko kwa kisingizio cha ugaidi kumbe ni muungano, kwa nini hawashitakiwi kwa hatarisha Muungano?
 
Baada ya kufariki Makamo wa kwanza Maalim seif sharif Hamad, Kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale kuhusu ni nani atakae weza kuvaa viatu japo nusu, vya marehemu Maalim Seif, mpaka sasa majina ni mawili, Juma Duni na Othman Masoud Ambae aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar wakati wa DR Shein.

Othman Masoud alitumbuliwa kutokana na misimamo yake ya kutetea katiba ya Zanzibar na maslahi ya Zanzibar katika bunge la katiba mpya.

Bwana Othman hakujali maslahi yake binafsi na kuweka uzalendo zaidi, sikiliza mahojiano yake juu ya serikali ya umoja wa kitaifa akitoa maoni yake.

Mimi binafsi namkubali huyu kijana mwenzangu, kwanza ni msomi wa kweli, mzalendo na yupo tayari kutetea maslahi ya Zanzibar, naamini kama atapata fursa ya kuwa makamo ataweza kumshauri Mwinyi na kumsaidia katika kuwaletea maendeleo wazanzibari.
Hakuna joto lolote
 
Hakuna hilo jambo hapa Zanzibar na halikutokea, kwenye mchakato wa katiba ,jumuiya zote kidini zilishirikishwa na toka makusanyo ya maoni mpaka bungeni, kama wao uwamsho walihamasisha kuvunja muungano, ni kwa mujibu wa katiba, kutoa maoni ni uhuru wako, muungano sio watu muungano ni nchi, hata ukivunjika watu watakuwa Na muungano wao miingiliano yao,asilimia zaidi ya 5 tumor hilo Ana na Kenya mombasa, wazanzibari tele, Tanganyika imepakana na Kenya,Rwanda, Burundi,Congo, pia kuna uwongiliano huko mipakani,

Uk na Oman kuna wazanzibari asilimia 20 au zaidi na bado Zanzibar inapata mchango mkubwa kwa wazanzibari hao,

Isitoshe mkuu tupe ushahidi wako wa unao onyesha kuwa uwamsho wanataka kuvunja muungano, inamaana mumewaweka segerea huko kwa kisingizio cha ugaidi kumbe ni muungano, kwa nini hawashitakiwi kwa hatarisha Muungano?


We inaonekana hata siasa zenyewe za Zanzibar uzijui wala hao uamsho uwaelewi walikuwa wanasimamia nini; vinginevyo usingeuliza maswali hayo.

Uamsho ni genge lililokuwa linahamasisha xenophobia visiwani kwa watu bara, udini visiwani na kujifanya wanataka Zanzibar isitawalike katika harakati zao za kutaka kujitenga.



Kiburi kilipozidi wakajifanya wanaanzisha jihad sikiliza upuuzi wao wapo tayari kupambana na vyombo vya ulinzi.



Ikafikia hatua wanafanya wanavyotaka wanavamia makazi ya watu Zanzibar na kuwachomea nyumba wakitoka hapo wanachoma makanisa; hapo sasa ndio JK akaone wanachekewa sana enough of their nonsense.



Hali ilikuwa mbaya kuna kipindi serikali ya Shein ipo kimya tu wananchi wanashangaa. Ikabidi Lowassa na mkewe waende kutoa moral support katikati ya fujo za uamsho kuwatia moyo waumini wa Lutheran na akatumia muda huo kuongea na viongozi wa upinzani kuwatuliza hao uamsho temporally.

Uamsho wamekipata walichokuwa wanakitafuta ni umburula kuwaurumia.
 
Huyo Othman Masoud ni radical hatari anafanana na uamsho kwenye harakati za kujitenga tofauti na njia za kistaarabu zinazotumiwa na wanasiasa kwenye harakati zao.

The guy is very toxic kwa umoja wa kitaifa huko Zanzibar na muungano wenyewe.
Umemaliza,hafai [emoji16]
 


We inaonekana hata siasa zenyewe za Zanzibar uzijui wala hao uamsho uwaelewi walikuwa wanasimamia nini; vinginevyo usingeuliza maswali hayo.

Uamsho ni genge lililokuwa linahamasisha xenophobia visiwani kwa watu bara, udini visiwani na kujifanya wanataka Zanzibar isitawalike katika harakati zao za kutaka kujitenga.



Kiburi kilipozidi wakajifanya wanaanzisha jihad sikiliza upuuzi wao wapo tayari kupambana na vyombo vya ulinzi.



Ikafikia hatua wanafanya wanavyotaka wanavamia makazi ya watu Zanzibar na kuwachomea nyumba wakitoka hapo wanachoma makanisa; hapo sasa ndio JK akaone wanachekewa sana enough of their nonsense.



Hali ilikuwa mbaya kuna kipindi serikali ya Shein ipo kimya tu wananchi wanashangaa. Ikabidi Lowassa na mkewe waende kutoa moral support katikati ya fujo za uamsho kuwatia moyo waumini wa Lutheran na akatumia muda huo kuongea na viongozi wa upinzani kuwatuliza hao uamsho temporally.

Uamsho wamekipata walichokuwa wanakitafuta ni umburula kuwaurumia.

Kuna wanaotaka hao viongozi wa Uamsho waachiwe kwani hakuna kosa lolote walilofanya , wanaonewa tu.
 
Kuna wanaotaka hao viongozi wa Uamsho waachiwe kwani hakuna kosa lolote walilofanya , wanaonewa tu.
Sikiliza hizo clips fupi nilizoweka mbili na tatu. Kuna sheikh anadai mtu yeyote atakaesema ‘hudumu muungano’ kichwa chake halali yao na walikuwa wanaelekea huko sio utani.

Uamsho ni genge ambalo lingepata treatment iliyowakuta Tanzania nchi yeyote duniani kwa makosa yao. They’re in the rightful place based on their crimes wala hakuna anaewaonea.
 
Sikiliza hizo clips fupi nilizoweka mbili na tatu. Kuna sheikh anadai mtu yeyote atakaesema ‘hudumu muungano’ kichwa chake halali yao na walikuwa wanaelekea huko sio utani.

Uamsho ni genge ambalo lingepata treatment iliyowakuta Tanzania nchi yeyote duniani kwa makosa yao. They’re in the rightful place based on their crimes wala hakuna anaewaonea.
Mara zote naandika hapa kuwa walijihusisha na ugaidi, ila inashangaza sana namna watu wanavyosema kuwa wanaonewa.
 
Mara zote naandika hapa kuwa walijihusisha na ugaidi, ila inashangaza sana namna watu wanavyosema kuwa wanaonewa.
Ni cheap politics tu za JF na watu wasiowaelewa vizuri Uamsho.

Lowassa ilibidi aache familia yake akala Christmas Zanzibar na kurudi tena pasaka ili kuwatia moyo Christians hali ilikuwa tete visiwani at the height of uamsho movements.
 
Kama alikuwa kinyume na wenzake wote wa Zanzibar ina maana hafai na usomi wake hajui maana ya maamuzi ya pamoja ina maana hata akiingia serikali ya umoja wa kitaifa wakifanya maamuzi kwa pamoja akiwa yeye hakubaliani nayo atapinga hajui maana ya makubaliano ya pamoja!!!

pili waliosrma adilimia kubwa kwenye kutoa maini kutaka serikali tatu zanzibar wengi walikuwa wapemba wallikuwa wakisikia tume inaenda mahali fulani na wao mbio wanaenda adi jaji.warioba akahoji mbona lafudhi ni zile zile za sehemu zote tunakoenda vikao wanaaongelea serikali tatu ni wale wale wa kutoka sehemu moja ya zanzibar yaani pemba? Walikuwa Wamepanga watu kila kila kikao na wanaongea kitu kile kile kwa kukariri hadi nukta na mikayo kuanzia mwanzo wa sentensi hadi mwisho tume ya maoni wakashtuka.Lakini kwa kuwa kazi yao ilikuwa tu kukusanya maoni tu ndio wakaatoa takwimu hizo lakini with reservation ya kilichotokea Zanzibar.Ile haikuwa kura ya maoni ilikuwa kukusanya tu maoni roughly lakini wapemba wakaharibu mchakato uonekane kama ni wa kwao zaidi badala ya kuuacha freely bila kupanga watu kila mkutano
Hafai kwako au kwa wazanzibari na ACT?
 
Mara zote naandika hapa kuwa walijihusisha na ugaidi, ila inashangaza sana namna watu wanavyosema kuwa wanaonewa.
Sikiliza hizo clips fupi nilizoweka mbili na tatu. Kuna sheikh anadai mtu yeyote atakaesema ‘hudumu muungano’ kichwa chake halali yao na walikuwa wanaelekea huko sio utani.

Uamsho ni genge ambalo lingepata treatment iliyowakuta Tanzania nchi yeyote duniani kwa makosa yao. They’re in the rightful place based on their crimes wala hakuna anaewaonea.
Acheni kujitoa ufahamu wakuu, watu wanachosema kma mpaka leo jamhuri haijapata ushahidi basi iwaachie kuliko kuwasweka mahabusu miaka na miaka bila kesi kuhitimishwa.

Hata JPM aliwahi kemea hii tabia ya watu kukaa mahabusu miaka mpaka 15 na mwisho wa siku wanaambiwa DPP hana vidhibiti vya kutosha kuendelea na mashtaaka!

Kingine muache unafiki kuna kipindi kheri James alidai Lissu akiendeleza fyoko atapigwa tena na sahvi hawakosei....... Pale hageuki gaidi ila akisema mpinzani wa dola anageuka gaidi!!
El Chapo aliwahi sema; serikali huamua nani awe adui yao kulingana na maslahi yao yanavyogusawa!
 
Sasa kudai Zanzibar huru NI KOSA?



Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.

Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.

Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.

He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitakazomridhisha.
 


We inaonekana hata siasa zenyewe za Zanzibar uzijui wala hao uamsho uwaelewi walikuwa wanasimamia nini; vinginevyo usingeuliza maswali hayo.

Uamsho ni genge lililokuwa linahamasisha xenophobia visiwani kwa watu bara, udini visiwani na kujifanya wanataka Zanzibar isitawalike katika harakati zao za kutaka kujitenga.



Kiburi kilipozidi wakajifanya wanaanzisha jihad sikiliza upuuzi wao wapo tayari kupambana na vyombo vya ulinzi.



Ikafikia hatua wanafanya wanavyotaka wanavamia makazi ya watu Zanzibar na kuwachomea nyumba wakitoka hapo wanachoma makanisa; hapo sasa ndio JK akaone wanachekewa sana enough of their nonsense.



Hali ilikuwa mbaya kuna kipindi serikali ya Shein ipo kimya tu wananchi wanashangaa. Ikabidi Lowassa na mkewe waende kutoa moral support katikati ya fujo za uamsho kuwatia moyo waumini wa Lutheran na akatumia muda huo kuongea na viongozi wa upinzani kuwatuliza hao uamsho temporally.

Uamsho wamekipata walichokuwa wanakitafuta ni umburula kuwaurumia.

Acha pumba kijana, hiyo maskani ya CCM ndio nyumba za watu?
 
Yaleyale misingi ya kuanzishwa kwa uamsho sio udini per kama unavyofikiria. Walianza kama kikundi cha masheikh wenye kudai Zanzibar huru na kufanya mihadhara kwa madai ya kutoa elimu jinsi Zanzibar inavyopoteza identity yake kupitia muungano ndio maana wakajiita uamsho.
Nani kataja suala la dini?! Kama issue ni kudai Zanzibar, kwanini serikali unayoitetea hapa hadi kufikia kuwaita watu ni Uamsho wamewaweka jela wazee kwa kesi za ugaidi?! Tangu lini kudai Zanzibar iwe ugaidi?
Niliposema ni radicals not necessary in religious way (though they were in the end) Ila nilimaamisha njia zao za kutaka kuuvunja muungano zilikuwa uncompromising kama huyo Othman Masoud.
Hilo la dini umelitoa kutoka kwenye post yangu?! Wapi walitaka kuuvunja muungano?! Na hata kama walitaka kuuvunja muungano, sasa suala la ugaidi limetoka wapi?
Ukumbuke uamsho walitaka serikali ya Zanzibar isiendesheke kwa nguvu kwa kuingiza watu barabarani na kupambana na vyombo vya ulinzi walionywa mara kadhaa kistaarabu.
Unao ushahidi kwamba walitaka SMZ isiendesheke au bado upo katika lengo lile lile la kutumika na kuchafua watu?! Na hata kama lengo lao lilikuwa hilo, sasa Masoud uliyemfananisha na Uamsho anaingia vipi hapo?
Wahusika walikuwa wanakamatwa wanaachiwa hawasikii if anything wakitoka ndio wana andaa maandamano makubwa zaidi; wakatoka kwenye siasa na kuingiza udini na kuanza kuchoma makanisa ndipo JK akaona inatosha.
Kwahiyo serikali unayoitetea ni kwamba imewabambikia kesi kwa kuwaita magaidi?!
Kwa hivyo ninaposema ni radical kama uamsho ni katika hatua za uncompromising attitude alizo nazo dhidi ya muungano.

Lost in translation kwako pengine ukuwa mfuatiliaji mzuri wa uhamsho katika harakati zao jamaa wanakesi ya uhaini adhabu yake kunyongwa; swala ambalo watu wengi mnalichukulia lightly ni bora funguo zao za jela zimetupwa kuliko kukutwa na hatia.
Wewe ndie hukuwa mfuatiliaji au labda unafanya makusudi ili kutekeleza dhamira yako ovu lakini kila aliye mfuatiliaji anajua uovu wa wale mnaowatetea na nyie vibaraka wao ndo maana kila anayetokea kuwapinga wale mnaowatetea lazima mtawapa majina ya hovyo ili kuwa-discredirt kwa jamii!!
 



Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.

Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.

Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.

He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitakazomridhisha.
Huyo ni kibaraka WA sultan
 
Sidhani kama huyo Othman Masoud atapewa hiyo nafasi, kilichosababisha Seif apewe licha ya "usumbufu" wake ilikuwa ni uungwaji mkono mkubwa aliokuwa nao toka kwa wafuasi wake, hii ikasababisha CCM ione aibu kama wasingempa wasingeeleweka.

Lakini huyo Masoud kwanza hana ushawishi kama ilivyokuwa kwa Seif, lakini pia, itakuwa ni vigumu kwa Mwinyi kufanya kazi na mtu wasiefanana mitazamo, itakuwa ngumu kuaminiana, asijepewa hayo majukumu ghafla akaibuka na ajenda yake tofauti.
Kuna mtu ktk siasa asiye na agenda,unafikiri hao ACT wanamteuwa mtu bila kuangalia mtu mwenye uwezo wa kusukuma agenda zao.

Pili umenishangaza eti mwinyi hawezi kufanya kazi na mtu ambae hawafanani mtazamo.Mwinyi Ni CCM mwenzake ACT Sasa hapo mitazamo itafanana vipi.Kwahiyo Unataka kusema anatakiwa kuteuliwa mtu wa kumfurahisha Mwinyi, wa kutekeleza anachotaka Mwinyi. Mawzo ya kushangaza Sana.

Na uelewe kuwa umakamu wa kwanza wa Rais kule Zanzibar si suala la hisani, bali ni takwa la kikatiba. Kwamba kutakuwa na SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA(SUK) Maalim Seif alipendekezwa na chama chake jina likaenda kwa Rais likapitishwa akaapishwa. Hivyo ACT walikuwa na uwezo pia wa kumteuwa mwingine yeyote na si Maalim.
 
Back
Top Bottom