Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
hapo kwenye jukumu la public servants ni ku serve under matakwa ya serikali husika. si chama.Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.
Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.
Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.
sasa hapa ulivyo andika ni kama chama automaticaly kina overide even taratibu za kisheria za public servant.. kwamba wanatakiwa wafuate ilani.
this is bullshit