Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.

Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.

Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.
hapo kwenye jukumu la public servants ni ku serve under matakwa ya serikali husika. si chama.
sasa hapa ulivyo andika ni kama chama automaticaly kina overide even taratibu za kisheria za public servant.. kwamba wanatakiwa wafuate ilani.
this is bullshit
 
Ndugu hakuna kitu kigumu kuthibitisha mahakamani kama ‘actus reus’ and ‘mens rea’ za GBH especially katika mazingira ya Lissu.

Anachoongea ni ku entertain tu audience yake ya watu kama nyie it is not straight forward as he potrays; but then Lissu is not a criminal lawyer by trade.
Mwanzo wa mjadala nilidhani ni mtu objective ila naona upo subjective sana. Kumbe issue sio tena kauli za wanasiasa majukwaani kuchochea watu kushambuliwa ila ni pale tu mlengwa anapokua CCM ndio inageuka ugaidi.

Kwa Lissu ni ngumu kuthibitisha kortini! Ila kwa umasho unadai serikali ina delay kesi kuwalinda na sio kwamba haina ushahidi!!

Uamsho wakitoa vitisho mnadai ni hatari kwa usalama ila wakitolewa kwa viongozi wa upinzani eti ni maneno ya kutunga na kutafuta sympathy!!

Kwa mentality hii itachukua miaka 100 kufikia maendeleo ya kweli Afrika.
 
Mwanzo wa mjadala nilidhani ni mtu objective ila naona upo subjective sana. Kumbe issue sio tena kauli za wanasiasa majukwaani kuchochea watu kushambuliwa ila ni pale tu mlengwa anapokua CCM ndio inageuka ugaidi.

Kwa Lissu ni ngumu kuthibitisha kortini! Ila kwa umasho unadai serikali ina delay kesi kuwalinda na sio kwamba haina ushahidi!!

Uamsho wakitoa vitisho mnadai ni hatari kwa usalama ila wakitolewa kwa viongozi wa upinzani eti ni maneno ya kutunga na kutafuta sympathy!!

Kwa mentality hii itachukua miaka 100 kufikia maendeleo ya kweli Afrika.
Kaaazi kweli kweli

Wewe ndio unaniwekea maneno yako.

Mimi: nimeweka partly evidence za uamsho ya mihadhara yao wanayoweza shitakiwa nayo kwa sedition, kuna clips za violent encitement of social unrest na uhaini (serikali inaweza washitaki kwa lolote hapo) ndio maana nikasema mimi sio DPP maana kuna enough evidence mpaka za kesi za kunyonga.

Why are they delaying it ndio maana nikasema I don’t know the motive. Inawezekana awataki kuwanyonga isipokuwa they want them to reform, sasa kuthibitisha hilo ni wewe kuongea na masheikh wa uamsho kusema wametubu au misimamo yao ikoje leo; for us to remove pity out of the equation.

Vinginevyo it’s a mystery to why the government is delaying taking action when they have all the necessary evidence.

Swala la Lissu is a different matter huna huo ushahidi wa wahusika kama nilivyomwambia mchangajiaji mwingine proving for GBH is not straight forward kama wewe unavyodhani au Lissu anavyoongea.

Or else prove it serikali inahusika.
 
Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.

Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.

Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.
Wana legitimate ya miaka 5 tu. Chama chochote kitakachojidhatiti chaweza kuwa tawala.
Imbecile!
 



Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.

Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.

Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.

He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitakazomridhisha.

Fear driven argument. Relax.
 
Huna lolote mkuda wewe unapigia chapuo muungano feki tu
 
Jamaa zangu wa kisiwa cha pili bado sana kumkubali Bw. Othman! Na tatizo kubwa ni ubaguzi tu!

Wanadai kuwa ameoa kafir..... Kumbuka tu mtu yoyote toka Bara bila kujali imani yake huonekana ni kafir.
 
Kaaazi kweli kweli

Wewe ndio unaniwekea maneno yako.

Mimi: nimeweka partly evidence za uamsho ya mihadhara yao wanayoweza shitakiwa nayo kwa sedition, kuna clips za violent encitement of social unrest na uhaini (serikali inaweza washitaki kwa lolote hapo) ndio maana nikasema mimi sio DPP maana kuna enough evidence mpaka za kesi za kunyonga.

Why are they delaying it ndio maana nikasema I don’t know the motive. Inawezekana awataki kuwanyonga isipokuwa they want them to reform, sasa kuthibitisha hilo ni wewe kuongea na masheikh wa uamsho kusema wametubu au misimamo yao ikoje leo; for us to remove pity out of the equation.

Vinginevyo it’s a mystery to why the government is delaying taking action when they have all the necessary evidence.

Swala la Lissu is a different matter huna huo ushahidi wa wahusika kama nilivyomwambia mchangajiaji mwingine proving for GBH is not straight forward kama wewe unavyodhani au Lissu anavyoongea.

Or else prove it serikali inahusika.
Kuprove ni kazi ya Lissu au DPP? Maana ilipaswa forensic investigation ifanyike kujua mnyororo wote wa walioruhusu uhuni huo ufanyike. Kumdai Lissu ushahidi wkt yye hana mamlaka ya ku order forensics ni kumuonea tu!

Lissu alitoa namba za simu na gari owa vyombo vya habari kusema zinataka kumuua. Polisi wakadai hawafanyii kazi habari za mitandaoni. Ila uamsho kwa kutoa clip zao mitandaoni wamekamatwa!! Hzi double standard ni kwa faida ya nani?

Kuhusu reforms.... Kwani wakiwatoa kwa probation au exile hawawezi kureform? Mbona kina Mramba mliwatoa na kuwa subject kwa kazi ngumu hadi wareform!! Kwa uamsho kuwa reform ni kuwaweka mahabusu bila kumaliza kesi?

Mkuu ukitaka uwe mkweli jaribu kuwa na msimamo mmoja kwa kila kitu usitake kufanya treatment ya mtu aa serikali ni special kuliko ya raia wa kawaida
 
Tusizunguke sana,

Hapo Masoud apewe nafasi mambo mengine yaendelee...kuleta vitisho vya uamsho na itikadi kwenye hili jambo ni dalili za kukosa hoja.

Kwanza ni msomi, amejijengea heshima kwa kuonyesha uwezo wa kusimamia anachokiamini na kina manufaa kwa umma.

Ni mtu pekee ataendeleza harakati za upinzani wenye tija Zanzibar.

Lakini pia anauungwaji mkono mkubwa sana kutoka Pemba, kitu muhimu sana kwa hiyo nafasi kuwaunganisha Wazanzibar.
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura. Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Wewe muongo mkubwa , hakuna ushahidi wowote kwamba Othman ni uamsho, nyinyi CCM munamuogopa kwa msimamo wake dhidi ya muungano haramu
 
Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.

Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.

Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.

Utoto mwingine bana ni hatari, kama ni hivyo kwanini Magufuli aliagiza yule daktari aliyekwenda kwenye hospitali ya private afuatiliwe?
 
IMG_6585.jpg

Makamo wa Kwanza wa Rais, mtasema sanaaa
 
Sio Maalim Seif huyo hana shida ya madaraka, shida yake yeye ni Zanzibar huru that’s his life ambition.

The making of a dangerous demagogue....
Mpaka amekubali uteuzi ni kwamba ashalegea
 
Back
Top Bottom