Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Hili ndio tatizo lenu kutaka kufananisha serious national security concerns na kauli za wanasiasa ambazo clearly ni uropokaji wao binafsi na wala hazina baraka za viongozi wao wala wanachama wenzao kwa ujumla wake.

Kwanini mpaka leo kesi aijaisha mimi sielewi motives za serikali kwa ujumla wake maana kama ni ushahidi there is ample evidence on sedition and several other serious offences placed upon them.
1. Unauhakika ni kauli tu? Kina saa Nane kupotea na kina Lissu kutandikwa risasi mchana kweupe ni sababu ya nini zaidi ya kauli tu zilitozotolewa majukwaani? Ama kutandikwa wapinzani wa Serikali haiwi security concern? Kwanini tuna selective hivi na double standards?

2. Ni vizuri umekiri hujui motives za serikali maana ni zaidi ya uonevu kuwaweka watu mahabusu wakati ushahidi hautoshi! Kwanini msiwaachie kwa probation kuliko kuwasweka ndani bila fair hearing?

Hakuna mtu aliyewatetea Uamsho bali watu wanataka HAKI itendeke.... Kma ushahidi hamna waachiwe otherwise ushahidi uwekwe wafungwe tujue moja... that's all watu wanataka sio Kingine.

Haya masuala mnaweza tetea ila siku ukibambikiwa kesi alafu ikaenda miaka 10 ndio ikajulikana huna hatia... Ndio utaelewa jinsi uendeshaji kesi Tz ulivyo na kero
 
Kuna mtu anaitwa Hamad Masoud japo siku hizi hasikiki sana lakini jamaa naye ni miongoni mwa watu wanaokubalika sana Zanzibar hususani kisiwani Pemba

Tunataka mtu anae kubalika kite visiwani
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura. Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Acha upotoshaji, mtu amefikia mpaka kuwa AG wa serikali halafu unakuja na santuri zako za kuungaunga. Inamaana serikali haikumfanyia vetting kabla ya kumteuwa? Mbona unataka kudhalilisha serikali wewe?!
 



Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.

Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.

Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.

He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitakazomridhisha.

Zanzibar kwa sasa tunamuhitaji mtu kama Othman, tunajuwa dhamira yake kwa Zanzibar ni njema, ni mtu mwenye vision, ni mtu anaependa maridhiano, kama hujuwi maridhiano ya sasa yeye ana mchango mkubwa katika kufanikiwa kwake. Si mtu mfia chama ni mtu anaweka maslahi ya nchi mbele na maamuzi yake siku zote yanalenga maslahi mapana ya nchi. Musiompenda Othman tunazijuwa sababu kwa nini hamumpendi...
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura. Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Hii ni fitna na inshaAllah hamtafanikiwa na fitna zenu.
 
Unajua ukija kwenye maslahi ya Tanganyika hakuna mzanzibar atakae faa ispokuwa mlafi wa madaraka, ukija kwenye maslahi ya Zanzibar mtu Kama huyu ndie anae faa, kwa msemo mwengine nyinyi hutumia kuwa sio Mtu mzuri kwa maslahi ya Tanganyika na Muungano.

Kama wazanzibari Sisi tunaangalia Zanzibar, na ndio sababu kuu ya marehemu Maalim seif kukubalika visiwani Zanzibar.

Huyu kijana ni jembe
Haswaaaaaa!
 
Zanzibar kwa sasa tunamuhitaji mtu kama Othman, tunajuwa dhamira yake kwa Zanzibar ni njema, ni mtu mwenye vision, ni mtu anaependa maridhiano, kama hujuwi maridhiano ya sasa yeye ana mchango mkubwa katika kufanikiwa kwake. Si mtu mfia chama ni mtu anaweka maslahi ya nchi mbele na maamuzi yake siku zote yanalenga maslahi mapana ya nchi. Musiompenda Othman tunazijuwa sababu kwa nini hamumpendi...
Like I said ‘Othman Masoud’ is tactical anafahamu change is not abrupt it requires adjustment kuuma na kupuliza mpaka kufikia lengo. For him is to come out of the union.

Lakini kama ni swala autonomy na devolution ya Zanzibar kujiamulia kwa asilimia kubwa, serikali ya muungano imefanya vya kutosha Zanzibar kujiendesha kwa aspects za mahitaji yake bila ya serikali kuu.

Maana yake nini sasa wanaopinga muungano ni watu wanaosukumwa na xenophobia za interaction ya watu wa bara na visiwani; na hilo jambo aliwezi chekewa.
 
Duni hamna kitu. Zanzibar inahitaji kwenda mbele, Hata Mwinyi atamhitaji Othman Masoud. Kuwapa nafasi hiyo watu kama Juma Duni, na akina Ismail Jussa ni kuchagua kurudi nyuma.

Ila wahafidhina ndani ya CCM sidhani kama CCM watamhitaji Othman.
Nami naona hilo likitatokea la ccm kumkataa mteuliwa
 
1. Unauhakika ni kauli tu? Kina saa Nane kupotea na kina Lissu kutandikwa risasi mchana kweupe ni sababu ya nini zaidi ya kauli tu zilitozotolewa majukwaani? Ama kutandikwa wapinzani wa Serikali haiwi security concern? Kwanini tuna selective hivi na double standards?

2. Ni vizuri umekiri hujui motives za serikali maana ni zaidi ya uonevu kuwaweka watu mahabusu wakati ushahidi hautoshi! Kwanini msiwaachie kwa probation kuliko kuwasweka ndani bila fair hearing?

Hakuna mtu aliyewatetea Uamsho bali watu wanataka HAKI itendeke.... Kma ushahidi hamna waachiwe otherwise ushahidi uwekwe wafungwe tujue moja... that's all watu wanataka sio Kingine.

Haya masuala mnaweza tetea ila siku ukibambikiwa kesi alafu ikaenda miaka 10 ndio ikajulikana huna hatia... Ndio utaelewa jinsi uendeshaji kesi Tz ulivyo na kero
Hizi ndio siasa zinazo waponza you ppl don’t evolve mnatunga mambo mitandaoni ya kujifurahisha wenyewe or issues which society have forgotten about na kudhani zinasaidia ku mobilise support kila siku mnarudia rudia ujinga ambao watanzania awau elewi.

Hata mimi Ben Saanane kaniuma sana he was so clever, eclectic and young; ni kijana ambae angekuwa kiongozi muhimu wa taifa kwa leo regardless ya upande wake. Muhimu ni ability and his vision of politics.

But life goes on tunaomjua uwezo wake ni JF members, kurudia x 2 uwezo wake won’t bring him back; na serikali imesha move on sasa hivi ipo kwa ajili ya kuwainua watanzania waliochini.

That’s life and things happen
 
Umemaliza,hafai [emoji16]
Othman ndie anaetufaa, labda hafai kwa mujibu wa siasa za CCM Bara na wahifidhina wachache Zanzibar za kulazimisha kuitawala Zanzibar kwa maslahi yao binafsi.

Kwa wazanzibari wengi wana muelekeo mmoja na muelekeo ni kupata mamlaka kamili ya nchi yao! Hili haijalishi kama wengine wasiokuwa wazanzibari wanalipenda au hawalipendi. Jaji Warioba alishalieleza hili kwa urefu kabisa. Sote tunajuwa kwamba hakuna nchi inayotawalika kimabavu katika karne hii, ni suala la muda tu. Hilo ambalo mnaliogopa ndilo litalotokea. Kama hamtaki muungano uvunjike, cha kufanya pekee ni kuruhusu kulijadili hili kwa uwazi na kuruhusu maoni ya wahusika wenyewe. Ingawa hili la kukusanywa maoni lilifanyika ila kwa sababu matokeo ya maoni hayo hayakuwaridhisha mkaamua kufanya yenu kuvuruga mchakato mzima wa katiba!

Kwa ufupi ni hivi, kama wazanzibari hawatapata mamlaka kamili kwa maana ya serikali tatu, tusitegemee muungano kudumu. Na hata ukidumu hautakuwa na mafanikio wala maridhiano. Mivutano hii iliopo itazidi na hali inaweza kuwa mbaya zaidi!
Sasa akili vichwani mwenu!
 
Wampe mzee wa kifo cha mende Babu duni
Na Duni nae hana msimamo tofauti na Othman na wazanzibari wengine. Kama mnataka kujuwa what is common between them ni kwamba wote wanataka mamlaka ya Zanzibar. Kwa hio like Duni like Othman. Labda itakuwa mnauogopa uwezo mkubwa wa akili wa Othman!
 
Sawa, kama zipo wazi nini kimeshindikana kuhukumiwa?
Do you know katika makosa yao kuna mengine wakipatikana na hatiya, adhabu yake ni kunyongwa?

Sasa serikali azifikirii ovyo kama unavyodhani, pamoja na ushahidi walionao kutokana na social context za kiusalama; kuna makosa mengine bora wacheleweshe kesi ili wahusika wa reform, kuliko kuwahukumu for social cohesion purposes.

Kazi ya kuongoza nchi sio rahisi kama mnavyodhani; otherwise those old reprobates kwa sheria za Tanzania ambazo hazijawi tumiwa makosa yao ni kunyonga kwa mujibu wa katiba.

Sio kila mara serikali inaposema aijakamilisha ushahidi uiamini sometimes wana sababu zao za national security concerns.

Cha muhimu ni wewe kuelewa uamsho ni enemies of the state.
 
Hizi ndio siasa zinazo waponza you ppl don’t evolve mnatunga mambo mitandaoni ya kujifurahisha wenyewe or issues which society have forgotten about na kudhani zinasaidia ku mobilise support kila siku mnarudia rudia ujinga ambao watanzania awau elewi.
Nani ametunga? Lissu si alisema hadharani kwamba wanataka kumuua what happened next? Saa Nane alisema pia kwamba anafuatiliwa kuuawa na hata vitisho viliwahi kupostiwa humu nini kilifuata?
Vile vitisho vingetolewa na UAMSHO kwa mawaziri wa CCM hvi pangekalika? Mbona una double standards mkuu
.But life goes on tunaomjua uwezo wake ni JF members, kurudia x 2 uwezo wake won’t bring him back; na serikali imesha move on sasa hivi ipo kwa ajili ya kuwainua watanzania waliochini.

That’s life and things happen
Ila kwa Uamsho life doesn't move on hta kma serikali kwa sasa "ipo kwa ajili ya kuwainua waTZ waliochini"? Ama ina move on pale tu maslahi yake yasipoguswa?
 
Nani ametunga? Lissu si alisema hadharani kwamba wanataka kumuua what happened next? Saa Nane alisema pia kwamba anafuatiliwa kuuawa na hata vitisho viliwahi kupostiwa humu nini kilifuata?
Vile vitisho vingetolewa na UAMSHO kwa mawaziri wa CCM hvi pangekalika? Mbona una double standards mkuu

Ila kwa Uamsho life doesn't move on hta kma serikali kwa sasa "ipo kwa ajili ya kuwainua waTZ waliochini"? Ama ina move on pale tu maslahi yake yasipoguswa?
Ndugu hakuna kitu kigumu kuthibitisha mahakamani kama ‘actus reus’ and ‘mens rea’ za GBH especially katika mazingira ya Lissu.

Anachoongea ni ku entertain tu audience yake ya watu kama nyie it is not straight forward as he potrays; but then Lissu is not a criminal lawyer by trade.
 
Back
Top Bottom