Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Tetesi: Umakamo wa Urais Zanzibar ni Joto

Baada ya kufariki Makamo wa kwanza Maalim seif sharif Hamad, Kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale kuhusu ni nani atakae weza kuvaa viatu japo nusu, vya marehemu Maalim Seif, mpaka sasa majina ni mawili, Juma Duni na Othman Masoud Ambae aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar wakati wa DR Shein.

Othman Masoud alitumbuliwa kutokana na misimamo yake ya kutetea katiba ya Zanzibar na maslahi ya Zanzibar katika bunge la katiba mpya.

Bwana Othman hakujali maslahi yake binafsi na kuweka uzalendo zaidi, sikiliza mahojiano yake juu ya serikali ya umoja wa kitaifa akitoa maoni yake.

Mimi binafsi namkubali huyu kijana mwenzangu, kwanza ni msomi wa kweli, mzalendo na yupo tayari kutetea maslahi ya Zanzibar, naamini kama atapata fursa ya kuwa makamo ataweza kumshauri Mwinyi na kumsaidia katika kuwaletea maendeleo wazanzibari.


Mwenye msimamo thabiti na ambae haogopi kitu ni Mh. Juma Duni - huyo ndiye mwakilishi hasa wa misimamo ya marehemu Maalimu Seif- tulimuona wakati wa kampein alikuwa ng'ang'ari kabisa - sasa siasa za Zanzibar zilivyo si ajabu akatafutiwa sababu/kisingizio cha kumzima ili hasipewe wadhifa wa the late Maalimu - yetu macho.
 
Huyo Othman Masoud ni radical hatari anafanana na uamsho kwenye harakati za kujitenga tofauti na njia za kistaarabu zinazotumiwa na wanasiasa kwenye harakati zao.

The guy is very toxic kwa umoja wa kitaifa huko Zanzibar na muungano wenyewe.
So what ?
 
Kifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!

Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura. Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar

Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic

Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
"Ukisikia husda ndio hii" Ni nani basi atakaetufaa Wazanzibar ikiwa Othman Masoud hatufai!?
 
Acheni kujitoa ufahamu wakuu, watu wanachosema kma mpaka leo jamhuri haijapata ushahidi basi iwaachie kuliko kuwasweka mahabusu miaka na miaka bila kesi kuhitimishwa.

Hata JPM aliwahi kemea hii tabia ya watu kukaa mahabusu miaka mpaka 15 na mwisho wa siku wanaambiwa DPP hana vidhibiti vya kutosha kuendelea na mashtaaka!

Kingine muache unafiki kuna kipindi kheri James alidai Lissu akiendeleza fyoko atapigwa tena na sahvi hawakosei....... Pale hageuki gaidi ila akisema mpinzani wa dola anageuka gaidi!!
El Chapo aliwahi sema; serikali huamua nani awe adui yao kulingana na maslahi yao yanavyogusawa!
Hili ndio tatizo lenu kutaka kufananisha serious national security concerns na kauli za wanasiasa ambazo clearly ni uropokaji wao binafsi na wala hazina baraka za viongozi wao wala wanachama wenzao kwa ujumla wake.

Kwanini mpaka leo kesi aijaisha mimi sielewi motives za serikali kwa ujumla wake maana kama ni ushahidi there is ample evidence on sedition and several other serious offences placed upon them.
 
Nani kataja suala la dini?! Kama issue ni kudai Zanzibar, kwanini serikali unayoitetea hapa hadi kufikia kuwaita watu ni Uamsho wamewaweka jela wazee kwa kesi za ugaidi?! Tangu lini kudai Zanzibar iwe ugaidi?

Hilo la dini umelitoa kutoka kwenye post yangu?! Wapi walitaka kuuvunja muungano?! Na hata kama walitaka kuuvunja muungano, sasa suala la ugaidi limetoka wapi?

Unao ushahidi kwamba walitaka SMZ isiendesheke au bado upo katika lengo lile lile la kutumika na kuchafua watu?! Na hata kama lengo lao lilikuwa hilo, sasa Masoud uliyemfananisha na Uamsho anaingia vipi hapo?

Kwahiyo serikali unayoitetea ni kwamba imewabambikia kesi kwa kuwaita magaidi?!

Wewe ndie hukuwa mfuatiliaji au labda unafanya makusudi ili kutekeleza dhamira yako ovu lakini kila aliye mfuatiliaji anajua uovu wa wale mnaowatetea na nyie vibaraka wao ndo maana kila anayetokea kuwapinga wale mnaowatetea lazima mtawapa majina ya hovyo ili kuwa-discredirt kwa jamii!!
Embu kaangalie you tube videos on what they stood for from beginning to the point of their arrest. There is enough material for any serious film maker to produce a documentary of the organisation and what they stood for.
 
..walioondoa walinzi eneo aliposhambuliwa ni sehemu ya waliopanga kumuua Lissu.

..watakuwa wametumwa na mtu mkubwa ambaye anaweza kuamrisha walinzi waondolewe ili kuwezesha shambulizi la mauaji.
Well then there is no evidence it remains a conspiracy you can’t use that in court, halikadhalika matendo ya uamsho yako documented for everyone to see.
 
Well then there is no evidence it remains a conspiracy you can’t use that in court, halikadhalika matendo ya uamsho yako documented for everyone to see.

..ushahidi upo.

..victim ndiye shahidi anayeaminika kuliko wote.

..na TL amesema siku aliyoshambuliwa walinzi walikuwa hawapo/wameondolewa.

..hivyo aliyepanga tukio lile lazima atakuwa mtu mkubwa mwenye mamlaka ya kuondoa ulinzi.
 
..ushahidi upo.

..victim ndiye shahidi anayeaminika kuliko wote.

..na TL amesema siku aliyoshambuliwa walinzi walikuwa hawapo/wameondolewa.

..hivyo aliyepanga tukio lile lazima atakuwa mtu mkubwa mwenye mamlaka ya kuondoa ulinzi.
That’s just circumstantial evidence, you can’t use that in court.

Anyway laters need to go for a walk 👋
 
That’s just circumstantial evidence, you can’t use that in court.

Anyway laters need to go for a walk 👋

..it is not circumstantial evidence.

..the most credible witness in any crime is the victim of that crime.

..kesi ingekwenda mahakamani shahidi wa kwanza wa jamhuri angekuwa ni Tundu Lissu.

..na walioondoa ulinzi ili kuwezesha shambulizi dhidi ya Tundu Lissu wangekuwa ktk kundi la washtakiwa.
 
Sidhani kama huyo Othman Masoud atapewa hiyo nafasi, kilichosababisha Seif apewe licha ya "usumbufu" wake ilikuwa ni uungwaji mkono mkubwa aliokuwa nao toka kwa wafuasi wake, hii ikasababisha CCM ione aibu kama wasingempa wasingeeleweka.

Lakini huyo Masoud kwanza hana ushawishi kama ilivyokuwa kwa Seif, lakini pia, itakuwa ni vigumu kwa Mwinyi kufanya kazi na mtu wasiefanana mitazamo, itakuwa ngumu kuaminiana, asijepewa hayo majukumu ghafla akaibuka na ajenda yake tofauti.
Unasahau katiba ndio inatamka mamlaka ya maalim seif,sio kumpa
 
..it is not circumstantial evidence.

..the most credible witness in any crime is the victim of that crime.

..kesi ingekwenda mahakamani shahidi wa kwanza wa jamhuri angekuwa ni Tundu Lissu.
It is circumstantial because Lissu is just implying facts there’s the need for more evidence. Mfano ushahidi wa mtu kupiga simu ulinzi kuondolewa siku hiyo etc with his argument or else the accused anaweza toa sababu 100 kwanini hakukuwa na mlinzi on that day.

Laters 👋
 
It is circumstantial because Lissu is just implying facts there’s the need of further evidence. Mfano ushahidi wa mtu kupiga simu ulinzi kuondolewa siku hiyo etc with his argument or else the accused anaweza toa sababu 100 kwanini hakukuwa na mlinzi on that day.

Laters 👋

..there is a chain of command in assigning/removing security detail at a government compound.

..wahusika walioondoa ulinzi watakuwa wanajua amri na maelekezo yalitoka kwa nani.

..Ni bahati nzuri sana kwamba TL ame-survive na kueleza kilichotokea.

..huhitaji kuwa mtaalamu wa uchunguzi kubaini kwamba kuna mtu mkubwa aliamuru walinzi waondolewe ili magaidi wamuue TL.
 
Back
Top Bottom