Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
hapo kwenye jukumu la public servants ni ku serve under matakwa ya serikali husika. si chama.Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.
Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.
Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.
Wapuuzi sana hawa watuWapo watu wameoa Kenya. Mbona hatuna Muungano?
Mwanzo wa mjadala nilidhani ni mtu objective ila naona upo subjective sana. Kumbe issue sio tena kauli za wanasiasa majukwaani kuchochea watu kushambuliwa ila ni pale tu mlengwa anapokua CCM ndio inageuka ugaidi.Ndugu hakuna kitu kigumu kuthibitisha mahakamani kama ‘actus reus’ and ‘mens rea’ za GBH especially katika mazingira ya Lissu.
Anachoongea ni ku entertain tu audience yake ya watu kama nyie it is not straight forward as he potrays; but then Lissu is not a criminal lawyer by trade.
Wewe hoja yako si ni kuoa huko Zanzibar??Kenya ni scenario tofauti na Zanzibar.
Hata kihistoria mahusiano ya Tanganyika na Zanzibar na Tanganyika na Kenya kabla ya Muungano ni levels tofauti kabisa.Wewe hoja yako si ni kuoa huko Zanzibar??
Which of course after almost 9 years there is no ruling over the matterUtoto mwingine, comparing apples and oranges.
Story tupu ambazo uwezi thibitisha, wakati makosa ya uamsho yapo documented for everyone to see.
Kaaazi kweli kweliMwanzo wa mjadala nilidhani ni mtu objective ila naona upo subjective sana. Kumbe issue sio tena kauli za wanasiasa majukwaani kuchochea watu kushambuliwa ila ni pale tu mlengwa anapokua CCM ndio inageuka ugaidi.
Kwa Lissu ni ngumu kuthibitisha kortini! Ila kwa umasho unadai serikali ina delay kesi kuwalinda na sio kwamba haina ushahidi!!
Uamsho wakitoa vitisho mnadai ni hatari kwa usalama ila wakitolewa kwa viongozi wa upinzani eti ni maneno ya kutunga na kutafuta sympathy!!
Kwa mentality hii itachukua miaka 100 kufikia maendeleo ya kweli Afrika.
Wana legitimate ya miaka 5 tu. Chama chochote kitakachojidhatiti chaweza kuwa tawala.Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.
Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.
Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.
Fear driven argument. Relax.
Tatizo wengi wenu huwa amchukui muda kujua mlengo wa viongozi wenu kwenye siasa zaidi ya ushabiki na matusi tu.
Hiyo clip cha mtoto tu rudi nyuma utafute clips zake zilizosababisha afukuzwe kazi ya uanasheria mkuu huko Zanzibar; baada ya katiba mpya kugonga mwamba.
Ni mmoja ya watu walioharibu rasimu ya katiba mpya kwa mapendekezo yake ya muundo wa serikali tatu, ilipokataliwa the guy went bananas on the media (tells you he had everything to do on suggested union government structure), muundo ambao ungeweza vunja muungano kirahisi mbeleni.
He is very convincing inaonekana kama wana akili timamu they don’t want this poisonous person in high office or else they will be nurturing a dangerous demagogue and risk the stability of Tanzania union; for him the goal is fully independent Zanzibar hakuna utatuzi wa kero za muungano zitakazomridhisha.
Kuprove ni kazi ya Lissu au DPP? Maana ilipaswa forensic investigation ifanyike kujua mnyororo wote wa walioruhusu uhuni huo ufanyike. Kumdai Lissu ushahidi wkt yye hana mamlaka ya ku order forensics ni kumuonea tu!Kaaazi kweli kweli
Wewe ndio unaniwekea maneno yako.
Mimi: nimeweka partly evidence za uamsho ya mihadhara yao wanayoweza shitakiwa nayo kwa sedition, kuna clips za violent encitement of social unrest na uhaini (serikali inaweza washitaki kwa lolote hapo) ndio maana nikasema mimi sio DPP maana kuna enough evidence mpaka za kesi za kunyonga.
Why are they delaying it ndio maana nikasema I don’t know the motive. Inawezekana awataki kuwanyonga isipokuwa they want them to reform, sasa kuthibitisha hilo ni wewe kuongea na masheikh wa uamsho kusema wametubu au misimamo yao ikoje leo; for us to remove pity out of the equation.
Vinginevyo it’s a mystery to why the government is delaying taking action when they have all the necessary evidence.
Swala la Lissu is a different matter huna huo ushahidi wa wahusika kama nilivyomwambia mchangajiaji mwingine proving for GBH is not straight forward kama wewe unavyodhani au Lissu anavyoongea.
Or else prove it serikali inahusika.
Wewe muongo mkubwa , hakuna ushahidi wowote kwamba Othman ni uamsho, nyinyi CCM munamuogopa kwa msimamo wake dhidi ya muungano haramuKifupi mleta mada hii ni yeye mwenyewe anajipigia debe!
Kuhusu uwezo wake ni kuwa Othman Masoud huyu sio mwanasiasa hasa ni muislamu mwenye siasa kali!!! ambaye angependa zaidi zanzibar iwe nchi ya kiislamu ya siasa kali .Hakubaliani na uislamu wa wastani ulioko Zanzibar ni mfuasi wa Mashehe wa uamsho tpfauti na Maalim Seif ambaye agenda yake kuu ilikuwa kutaka wapemba washike serikali Zanzibar.Maalim Seif kwa wapemba alikuwa ndie Raisi wao wa wapemba.Ndo maana hata angekuwa kalala ICU wangempa kura. Othman Masoud yeye mlengo wake si wa kisiasa hasa yeye mlengo wake ni wa kidini wa siasa kali zaidibangependa waislamu wa siasa kali washike Zanzibar
Kutokana na misimo yake ya kidini ya siasa kali aweza hata jilipua huyo kwenye vikao vya kiserikali ni mtu yuko tayari kwenda ahera wakati wowote akimpigania Allah ni high risk kuwa naye karibu sababu ya imani kali ya kidini hatarishi ialiiyonayo.He is not a politician but a high risk religuous fanatic
Huyu hakuwa hasa mfuasi wa Maalim Seif bali wa kikundi cha imani kali cha kidini ya kiislamu kilichojificha ndani ya chama ambacho Maalim Seif hakuwa sehemu yake hasa sababu yeye mlengo wake mkuu ulikuwa tu kutaka wapemba washike dola kwenye msimamo wa imani kali ya idini huko haukuwa mlengo wake tofaut na Othman Masoudi ambaye mlengo wake ni kutaka waislamu wenye imani kali washike dola bila kujali ni wapemba au waunguja
Ndugu watu wenye mandate ya kuendesha nchi ni chama tawala; jukumu la civil servant m ni ku-implement namna sahihi ya kuitekeleza ilani yao.
Ndio maana nimemuelewa Magufuli kumteua Dr Bashiru kama katibu mkuu kiongozi; civil servant don’t understand their obligations na chama kilichopo madarakani.
Kwa mtazamo huo nadhani you should know who is the imbecile.
Mkuu pole sana, ulimpinga sana Othman kuwa makamu kutokana na itikadi zake lkn watawala wa Zenji wamemkubali.Sio Maalim Seif huyo hana shida ya madaraka, shida yake yeye ni Zanzibar huru that’s his life ambition.
The making of a dangerous demagogue....
Mpaka amekubali uteuzi ni kwamba ashalegeaSio Maalim Seif huyo hana shida ya madaraka, shida yake yeye ni Zanzibar huru that’s his life ambition.
The making of a dangerous demagogue....