Umesahau Mkuu! Saa 3 usiku mnatazama WWE pamoja na The Passion Sebuleni! Sebule kubwa balaa! hakuna sofa mnakaa chini kwenye mkeka!Hauwezi kusikia kesi kama hizo hapo juu.unapikwa ugali mkuubwaaa mnazunguka wote.nyumba kama mpo sokoni.mauaji yatatokea saa ngapi?
Familia nyingi huwa wanajipa maamuzi ya kuwabadilisha imani! Kadada kanaitwa Khanifa ila mwezi moja tu tayari unashangaa kanaitwa Neema.Ni kweli. Lakini ni vyema pia muhusika alizie au utafute wa imani yako kabisa.
Vinginevyo wote wawili wewe na huyo dada wa kazi mnakua mnamuongopea Mungu kumuaminisha amekubali kwa hiari yake which is not true.
Yale ndo yalikuwa maisha.baba wa familia anaweza kusafiri hata mwezi na akawa hana wasi wasi na familia yake wala nyumba.Umesahau Mkuu! Saa 3 usiku mnatazama WWE pamoja na The Passion Sebuleni! Sebule kubwa balaa! hakuna sofa mnakaa chini kwenye mkeka!
Bibi anakuja kuishi home anakaa mpaka anaanza kupamiss kwake! Yaani mnakaa mpaka mnakuwa kama ndugu wa tumbo moja!Yale ndo yalikuwa maisha.baba wa familia anaweza kusafiri hata mwezi na akawa hana wasi wasi na familia yake wala nyumba.
Tunaposema mke asifanye kazi haimaanishi maisha yake yote atakaa nyumbani that's why hata hao unaodhani hawakusoma na wapo kwenye ndoa utawakuta nao kuna kipindi itabidi watoke.Ni mabadiliko ya dunia. Kila anayefanya hivyo atakwambia anafanya hivyo kwa sababu wote wanatafuta pesa kwa maisha mazuri ya watoto wao, ikiwemo elimu, na future nzuri.
Pia siku hizi watoto wa kike wanasoma mpaka vyuoni, unadhani anafanya hivyo halafu aje akae nyumbani? Bila shaka ukioa msomi jua umeoa mfanyakazi.
Na pia kuna mwanamke msomi na mwanamke wenye elimu!Tunaposema mke asifanye kazi haimaanishi maisha yake yote atakaa nyumbani that's why hata hao unaodhani hawakusoma na wapo kwenye ndoa utawakuta nao kuna kipindi itabidi watoke.
Lakini maisha yanakosa mantiki kama wote baba na mama mnaondoka asubuhi na kuacha watoto chini ya miaka 10 na mtu msiyeijua historia yake angalao kama mtoto wa mwisho ana miaka kumi (means wengine wapo 12&15) hawa wakiachwa wanajua kujitetea siyo hao makinda,itabidi waoaji hili la wanawake weliosoma nalo waangalie jinsi ya kuwaepuka
Hao utakuta mwalimu, mwanasheria, daktari kuna muda maalum wa kuingia na kutoka kazini si kila mmoja anaweza kujiajiri.Tunaposema mke asifanye kazi haimaanishi maisha yake yote atakaa nyumbani that's why hata hao unaodhani hawakusoma na wapo kwenye ndoa utawakuta nao kuna kipindi itabidi watoke.
Lakini maisha yanakosa mantiki kama wote baba na mama mnaondoka asubuhi na kuacha watoto chini ya miaka 10 na mtu msiyeijua historia yake angalao kama mtoto wa mwisho ana miaka kumi (means wengine wapo 12&15) hawa wakiachwa wanajua kujitetea siyo hao makinda,itabidi waoaji hili la wanawake weliosoma nalo waangalie jinsi ya kuwaepuka
Ni kweli ila mtoto awe na priority zakkatika maisha! Kwa mwanamke ni ngumu sana kulea mtoto wa mwezake tena akiwa hajawahi kuzaa!Hao utakuta mwalimu, mwanasheria, daktari kuna muda maalum wa kuingia na kutoka kazini si kila mmoja anaweza kujiajiri.
Si kitu poa dada wa kazi kukulelea watoto, ila demand za maisha zimekuwa nyingi, wanawake wanasoma siku hizi nao wakaajiriwe mambo yako less.
Mshahara 20,000 wanawapaMimi nachukia sana nikiona wanaonewa au kusemwa vibaya Ila kuna wengine wana roho nzuri sana
Kuna mama moja wa kichaga, jiran yangu gapa GOBA anapiga wasichan wake ni balaa.Wachaga wengi wanadharau sana na hawawezi kuishi na dada wa kazi sema wanafosi tu.......hili tukio la tatu mtoto wa kichaga anafanyiwa ukatili kisa mamb ya wazazi wake ......
Mtoto amefariki kifo cha hatar sana iseee daaah so sad.........tuwe makini na hawa wadada kama unaona huwezi kuishi naye ni bora utafute ndugu yako ambaye hana mchongo akusaidie kulea watoto......
Nyie ndiyo chanzo ya haya matukio, iman yake inahusikanaje na kazi afanyazo kwako?, mpe uhuru wa kuabudu imani yake....Sasa Mkuu kuna familia ya Kikatoliki halafu inakaa na dada wa kazi musilamu! hapo moto bin moto
Utasikia wanaambiwa,unalala na kula bure kwangu...huo mshahara wa 20,000 unakutosha 😄Kwa mishahara hii lazama tuwachanganye saikolojia!
Hivi ile kesi huko kimara mtoto naye aliuliwa na dada wa kaziWapelekeni watoto wenu daycare center unampitia jioni, unarudi home unafanya kazi zako kama kawaida, ujio wa hawa dada wa kazi umeleta uvivu na uzembe kwa wanawake
Dah! sijapata taarifa mkuuHivi ile kesi huko kimara mtoto naye aliuliwa na dada wa kazi
Ilisemekana imeishia vp
Nakumbuka wazaz wa mtoto wote walikuwa madokta
Ova