Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

Kuna mmoja kaletwa Jana .leo kaiba tv kakimbia.
Haya mambo ya nitafutie dada wa kazi unatuma nauli
Duuh Dada wa kazi katembea na Samsung 55” QLED 4K UHD Smart TV 😀
 
wanawake wana upimbi nakubaliana na wewe. kuna mdada wa kazi nilimtafutia mama mzazi. namlipa mwenyewe. dada akawa anasema anaishi vizuri sana nyumbani. kuna mama yangu mdogo matako yake akaja kuhamia hapo. kaleta fitina mpaka dada wa watu akajiondokea zake. moja ya ushenzi alikua analalamika kwanini dada wa kazi J2 tumemuwekea kama siku yake ya off. ningemkula huyu mama mdogo kama adhabu bahati yake.
 
Daah Mkuu umefanya mpaka nimecheka aisee!
 
hivi unawekaje dada wa kazi za ndani mwenye umri wa miaka 13 hivi serikali haioni ni utumikishwaji wa watoto?
alafu majumbani mwetu tunawanyanyasa vipigo kuwatenga nao ni binadamu wanafika sehemu wanachoka japo sisemi waue ila wanapitia magumu mengi sana....


ukichunguza kwenye hiyo familia lazima kutakua kuna manyanyaso yaliendelea mtu mwenye akili timamu hawezi tumikisha mtoto wa miaka 13 hapo tu ni ukatili sasa najiuliza humo ndani anakatiliwa na kunyanyaswa kwa mangapi
 
kwanza hawakai muda mrefu
hata ukiwa unamuacha mwenyewe nyumbani na kazi za kawaida kabisa
still atakuletea za kuleta
ulitaka akae muda mrefu umemzaa ww...... alafu ukiona baba na mama hawashindi nyumbani na wadada wa kazi nao hawakai basi ujue kuna changamoto kwa baba na mama hasa kwenye kuishi nae vizuri lazima kuna manyanyaso yanaendelea
 
Ni kweli Mkuu! Ni ngumu sana kuishi na dada wa kazi ambaye naye ni mtoto tena kama mtoto wako halafu atimize majuumu ambayo wewe mtu mzima umeshindwa.
 
Si tumeacha utamaduni wa kuishi na ndugu majumbani mwetu sababu ya ubinafsi tutegemee mengi zaidi ya haya.
Fungeni camera siku hizi hata elf 40 unafunga chip una connect na simu yako unaona kinachoendelea home
inaonekana ndugu zako hawana kazi...... huwezi mtegemea ndugu akusafishie nyumba afanye kazi anazofanya dada..... ndugu ataleta maneno hata kama unamlipa bora ujitafutie mtu ujue namlipa afanye kazi niishi nae kuliko ndugu....... hawana jema kabisaaa utasemwa vibaya ww
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Kaeni na watoto wa watu vizuri, nao watakaa na Wenu vizuri
 
Sheikh ponda walimfokea aliposema mabinti kuolewa wakiwa wadogo ila hili la kuajiri vitoto hawalioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…