Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

Umakini wa kuishi na dada wa kazi majumbani kwetu

Simba hatuna tatizo hilo, mradi anaingia siku zake. Miaka ni namba tu. Mradi usimbake.

Simba tunaanza kuwazowesha watoto wetu kuyajuwa mambo kuanzia wadogo, hatuwaingilii kimwili bali hatuna siri nao kwenye kujamiiana na tunawajibu maswali yao yote kama ilivyo na tunawafundisha wasifanye haraka mpaka wafikie muda wao wa miaka watayokidhi wahitaji yao ya kimwili.


Miako 18 ni mkubwa sana huyo kwa kujamiiana, kama mdogo kwanini ulimleta kukufanyia kazi zako za nyumbani?
We ni Fisi sio SImba 😀
 
Mtoto Erickson Kimaro mwenye umri wa miaka nane anadaiwa kunyongwa na dada wa kazi Mei 31, nyumbani kwao Kimara Temboni jijini Dar es Salaam.

Msichana wa Kazi za ndani mwenye umri wa miaka 13 Mkazi wa kata ya Moshono jijini Arusha anadaiwa kumuua kwa kipigo mtoto wa Boss wake mwenye umri wa miaka minne aitwae Natalia Essau.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mfanyakazi wa ndani, Ashura Suka kwa tuhuma za kumuua mtoto mdogo wa mwajiri wake.

Hizi ni kesi tatu ambazo zimekuwa mfano bora sana wa kinachoendelea ndani ya kaya zetu. Wadada wa kazi ingawa sio wote ila wameonesha namna ya hatari ndani ya makazi haswa wanapoachwa na wanafamilia hususani watoto. Mauaji au majeraha huwa ni matokeo ya baadhi ya vitendo ambavyo hutokea ndani ya nyumba huku wadada wa kazi wakiwa ni wahusika wakuu. Ukiachana na kuhusu kuvunja ndoa za watu wakitumia uchawi na mbinu zingine basi usalama wa familia zetu umekuwa ni dhaifu sana tena pale ambapo tunatoka na kuelekea kwenye harakati za kimaisha.​
  1. Dada yangu ambaye upo kwenye ndoa na una familia yako, hakuna ambaye anafahamu kumhudimia mume wako vyema zaidi yako, hakuna ambaye anajua taste ya chakula kizuri cha mume wako zaidi ya wewe mwenyewe. Hakuna ambaye anajua glasi pendwa ambayo Mume wako anapenda kutumia kunywa maji. Kama mkiwa faragha unampa mapigo yote basi hakikisha sekta zingine unazicheza vyema kama Xavi au Iniesta. Kukiwa hakuna ulazima wa kuleta dada wa kazi basi usifanye uamuzi huo. Hakuna mlezi bora wa mtoto wako zaidi ya wewe ambaye umembeba miezi tisa na kuingia labour. Usijitoe akili kumkabidhi mwanamke mwingine akulele mtoto wako. Kazi na majukumu zisikufanye upoteze umakini kwa familia yako.
  2. Wanaume wenzangu, nyumba zetu zina mambo mengi na Mtume Paulo hakuwa punguwani kiasi hicho mpaka kusema maneno haya "Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa. 24 Basi, kama vile Kanisa linavyom tii Kristo, vivyo hivyo na wake pia wanapaswa kuwatii waume zao kwa kila jambo. 25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake ili 26 alitakase (Waefeso 5:23-26) Usije kuruhusu mwanamke mwingine akupe mrejesho wa zao la manii zako eti, amekula tayari na amelala, wala usijali! Yaani nisijali kuhusu mtoto wangu?! Shirikiana na mke wako kufuatilia maendeleo ya mtoto au watoto wenu. Waislamu tunafundishwa “Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi … (Quran 4:34)” Akili kumkichwa wanaume.
  3. Kwa jamii, kukiwa na ulazima wa kuishi na dada wa kazi basi hakikisheni mnawapeleka hospitali kupima afya za akili, watu wengi mitaani hupenda wadada waliotoka vijijini tena wenye umri mdogo. Sasa Kitoto kina miaka 16 kimetoka Mufindi ndani ndani huko baada ya kufeli darasa la Saba, kimelelewa na Bibi pekee na hakijawahi kupata upendo wa Baba na Mama, wala kuambiwa na mzazi wake neno Nakupenda sana mwanangu unamchukua unamleta Ubungo Maji na kuishi naye mkiwa na watoto wenu wa miaka 10 hapo nyumbani. Asubuhi wenzake wanaenda shule (English Medium) na yeye anaenda kuosha vyombo vya usiku. Weekend wenzake wanakwenda Kunduchi Wet "N" Wild Water Park kucheza na maji na kula Ice Cream, ila yeye anapewa kazi ya kufua nguo za familia nzima, marundo na marundo ya nguo. Akili yake iaanza kuathirika taratibu na mwishoni atajenga nongwa hatari sana, mdogo mdogo anawaona watoto wenzake kama threat, wapunguzieni kazi na kila baada ya miezi mitatu wapelekeni hospitali wamtazame afya yake ya akili na kuzungumza na wanasaikolojia.​
NINAWAKUMBUSHA TU, KUMTAFUTA DR. CHRIS MAUKI AZUNGUMZE NA FAMILIA YAKO SIO GHARAMA ZAIDI YA KUMPOTEZA MTOTO WAKO KWA MAKOSA AMBAYO AMBAYO YANAZUILIKA.
Una hoja murua sana
 
Mnawatesa watoto wa watu , ukifika unakuta wamekonda mshahara wanapewa kwa masimango hata chumba cha kulalia wanapewa kichafu .

Malipo ni hapa hapa duniani.
Hizi tabia za kuchukua dada wa kazi wa vichochoroni waache.

Unakiuta mtu ana ndugu zake huko vijijini wamechoka na maisha yeye yukp mjini. Kwanini asichukue hata mtoto wa mjomba au wa Mama mdogo ambaye na yeye anahitaji ajira?

Mtoto wa nduguyo akija kwako nayeye akafaidi Msosi mzuri, nyumba nzuri na hako kamshahara huku akikulindia nyumba na watoto je si Faraja na Neema hii?

Jambo lingine tuna force kuwa na wadasa wa kazi wakati kiuhalisia uwezo hatuna.

Una kuta mtu hata kula kwenyewe misosi mitatu ni mbinde lakini kw akutafuta sifa anaenda kukokota watoto wa watu vijijini kuwashindisha njaa na vyakula vya hadhi ya chini.
 
Mengine ni Mungu atusaidie,ila pia na sisi wamama tujitahidi kuishi nao kama watoto wetu au ndugu zetu sio unafokafoka tu.
Tuwape mda wa kupumzika na pia tuwasaidie baadhi ya kazi tunapopata nafasi.Mfano mimi mpaka leo hii watoto wangu huwa nawaogesha mwenyewe iwe mvua au jua.
 
Mengine ni Mungu atusaidie,ila pia na sisi wamama tujitahidi kuishi nao kama watoto wetu au ndugu zetu sio unafokafoka tu.
Tuwape mda wa kupumzika na pia tuwasaidie baadhi ya kazi tunapopata nafasi.Mfano mimi mpaka leo hii watoto wangu huwa nawaogesha mwenyewe iwe mvua au jua.
Perfect
 
House girl wangu huu ni mwaka wa 8 ninae na hana dalili hata za kuondoka..tunaishi nae kama mtoto wa nyumbani,hakuna ambacho anakosa..tunampa mpaka likizo ya kwenda kuwasalimia kwao kila mwaka mara mbili.
Watoto wanampenda mno yani
 
Hizi tabia za kuchukua dada wa kazi wa vichochoroni waache.

Unakiuta mtu ana ndugu zake huko vijijini wamechoka na maisha yeye yukp mjini. Kwanini asichukue hata mtoto wa mjomba au wa Mama mdogo ambaye na yeye anahitaji ajira?

Mtoto wa nduguyo akija kwako nayeye akafaidi Msosi mzuri, nyumba nzuri na hako kamshahara huku akikulindia nyumba na watoto je si Faraja na Neema hii?

Jambo lingine tuna force kuwa na wadasa wa kazi wakati kiuhalisia uwezo hatuna.

Una kuta mtu hata kula kwenyewe misosi mitatu ni mbinde lakini kw akutafuta sifa anaenda kukokota watoto wa watu vijijini kuwashindisha njaa na vyakula vya hadhi ya chini.
Umeongea hoja ya msingi sana Mkuu
 
Mengine ni Mungu atusaidie,ila pia na sisi wamama tujitahidi kuishi nao kama watoto wetu au ndugu zetu sio unafokafoka tu.
Tuwape mda wa kupumzika na pia tuwasaidie baadhi ya kazi tunapopata nafasi.Mfano mimi mpaka leo hii watoto wangu huwa nawaogesha mwenyewe iwe mvua au jua.
Safi sana! Kuna wamama hawajui mtoto wake ameoga maji ya baridi au ya moto! Wegine ndo wanafanyiwa vitendo vya kikatili! Mtoto analamba mbususu ya dada! Hapo utajua haujui.
 
House girl wangu huu ni mwaka wa 8 ninae na hana dalili hata za kuondoka..tunaishi nae kama mtoto wa nyumbani,hakuna ambacho anakosa..tunampa mpaka likizo ya kwenda kuwasalimia kwao kila mwaka mara mbili.
Watoto wanampenda mno yani
Ubarikiwe sana! Hawa wanaojikuta wanawachukulia dada wa kazi kama mifugo ndo wanayooshwa barabara
 
Back
Top Bottom