Barafu ya moto
Member
- Apr 1, 2014
- 9
- 11
Inasikitisha, jamaa akashindwa kumpa mwanaye mtaji hata wa 10M dogo afungue duka la viatu Moro. Yeye anapambana na uchi tu. Yaani mzee mzima mwenzangu mwenye miaka 50's anakuwa ndio kama anaanza balehe.Ujumbe muhimu
Mtoto wake mwingine kakwea Lori Juzi toka Mwanza anaelekea Dar kapokea meseji ya JW wanamwambia aende akajitolee mtaani kugumuLeo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.
Mi mwenyewe pamoja na kuuza kwangu madafu, siwezi na sitaruhusu mwanangu awe Polisi.
Kwaio mkuu unasema hii ni TATEPA.
Mpe wewe hio hela km una uchungu sanaInasikitisha, jamaa akashindwa kumpa mwanaye mtaji hata wa 10M dogo afungue duka la viatu Moro. Yeye anapambana na uchi tu. Yaani mzee mzima mwenzangu mwenye miaka 50's anakuwa ndio kama anaanza balehe.
Inasikitisha. Mungu amsaidie.
Ni ukwajuKwaio mkuu unasema hii ni TATEPA.
Chuki kwa ajili ya nini we mamdogo? Acheni umalaya hausaidii kitu.Hili bandiko lako ukiliangalia vizuri kwa jicho la ziada utaona wazi kuwa wewe ulikuwa na bado una shida ya wivu na chuki dhidi ya huyo jamaa yako na unafurahi kuanguka kwake. Unajisikia Raha na kudhani Hana akili wewe ndo uko smart kwa sababu sasa hivi kaelemewa na majukumu.
Umeandika kwa papala na umeongeza uongo mwingi kwa chuki.
Hata hivyo, ni sahihi na Jambo jema kujali familia na kuepuka michepuko.
nakaziaKuna ujumbe mzuri hapa.. ktk yoote uliyoandika.
Mwanaume asifiwi kulaChuki kwa ajili ya nini we mamdogo? Acheni umalaya hausaidii kitu.
Au alipigwa dawa maana sikuhizi hawakulogi ufe, unarogewa kitu kitakachomaliza hela yako.Inasikitisha, jamaa akashindwa kumpa mwanaye mtaji hata wa 10M dogo afungue duka la viatu Moro. Yeye anapambana na uchi tu. Yaani mzee mzima mwenzangu mwenye miaka 50's anakuwa ndio kama anaanza balehe.
Inasikitisha. Mungu amsaidie.
Umeona umzamishie kichwa tu kwanzaHili bandiko lako ukiliangalia vizuri kwa jicho la ziada utaona wazi kuwa wewe ulikuwa na bado una shida ya wivu na chuki dhidi ya huyo jamaa yako na unafurahi kuanguka kwake. Unajisikia Raha na kudhani Hana akili wewe ndo uko smart kwa sababu sasa hivi kaelemewa na majukumu.
Umeandika kwa papala na umeongeza uongo mwingi kwa chuki.
Hata hivyo, ni sahihi na Jambo jema kujali familia na kuepuka michepuko.
Sidhani kama hata umebalehe wewe. Naweza kuwa najibizani na mwanangu kabisa. ByeeeeeeeeeMwanaume asifiwi kula
Ukubwa sio mvi usijitie ukubwa unaweza ukawa likubwa na una akili za watoto pimbiweSidhani kama hata umebalehe wewe. Naweza kuwa najibizani na mwanangu kabisa. Byeeeeeeeee
Hilo pia sio tatizo tatizo umezaa na nani ana akili gani ya kimaendeleo? Ila huyu Muuza madafu wa Ikulu halijui hilo pimbi mdogoUmalaya sio tatzo,
Tatzo ni kuzaa zaa kama panya hapo ndo alipokosea
Yameshaisha. Niache basi usinitukane jamaa yangu.Hilo pia sio tatizo tatizo umezaa na nani ana akili gani ya kimaendeleo? Ila huyu Muuza madafu wa Ikulu halijui hilo pimbi mdogo
Kweli majuto huja maji yamemwagika!Apambane tuu kuwasomesha Bado hajachelewa!Hiki kisa kimenisikitisha sana.
Kuna jamaa yangu na rafiki yangu kitambo toka 1980's kule Morogoro na tulianza biashara naye za kuuza/kuchukua Sigara kwenye treni kipindi hiko.
Mambo yakatunyookea tukaanza kufanya biashara za Mahindi kwenye mikoa ya Songea na Morogoro. Mwaka 1997 jamaa alioa nami niliona mwaka 1999 kwa kuwa tulikuwa na familia ikabidi kila mtu kuendelea na maisha yake japo mara nyingi huwa tunawasikliana na kushauriana mambo mbalimbali ya kimaisha.
Jamaa aliendelea kiuchumi na kufikia hatua ya kumiliki malori 10 yaliyokuwa yanabeba/safirisha mizigo toka Bandari ya Dar kwenda Zambia, Kongo na nchi nyingine za jirani. Baada ya kutajirika, akaanza tabia ya Umalaya.
Changamoto kubwa aliyokuwa nayo ni kutembea na wanawake wa kawaida yaani wasio wa hadhi yake. Ki kawaida, kwa mwanaume jama umeshindwa kutulia na mkeo. Basi tafuta mwanamke mwenye hadhi sio kuhangaika na wanawake wasio na kipato. Hii ilipelekea kuanguka kiuchumi kwani wanawake waliona ana mali so wakawa wanazaa naye. Sasa ana watoto 15 kwa wanawake 4 tofauti. Yule wa kwanza ana watoto naye wawili tu ila haonwengine ni wanawake wa Kiswahili wa pale Morogoro.
Hata kama dini yake inamruhusu, hakuna mwanamke anayekubali kuolewa mitara na hili alinishirikisha mwenyewe kuwa alishauriwa na shehe mmoja wa BAKWATA Morogoro kuwa anatakiwa amroge nankumshika akili mke yule wa mwanzo ili akubali aone mwanamke mwingine.
Ni kweli alifanikiwa kumshughulikia yule mama wa kichaga kwani amekuwa zumbukuku japo anasema yule mama hajakubali jamaa aone mwanamke mwingine ila yule mama hajitambui na anafanya vitu vya ajabu sana.
Sasa hivi, jamaa kafirisika na amekaa ndani analia tu. Wanawake wamemfirisi kwani alioa mwanamke mmoja polisi na mwingine mama wa nyumbani tu. Hao wote walitaka awajengee nyumba na jamaa aliniambia aliwanunulia kiwanja Morogoro Mjini na kuwajengea nyumba kwa gharama za milioni 60 kila mmoja. Kingine kilichomfanya aukwae umaskini ni gharama kubwa ya ada kwa watoto kwani analipa ada si chini ya milioni 30 kwa mwaka kwa shule asomeshazo watoto na kuna binti mwingine alizaa nje anamsomesha Law school.
Alinieleza hayo akaniomba ushauri na msaada ni kwa namna gani atalipa mkopo wa Tsh 150M toka CRDB ambao aliuchukua kama mkopo wa Kilimo na huko shambani kaambulia gunia 6000 tu za Mpunga ambazo nyingi ni madeni ya watu wengine waliomkopesha.
Enyi wanaume wenzangu, tulieni na wake zenu. Mnaharibu familia na ndoto za watoto wenu. Leo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.
Mi mwenyewe pamoja na kuuza kwangu madafu, siwezi na sitaruhusu mwanangu awe Polisi.
Dah Inasikitisha sana. Umalaya mbaya sana. Mungu atusaidie.
Hahaaaaaa ana shehe mmoja rafiki yake pale BAKWATA Morogoro ndio anampotosha.Mwambie arudi kwa sheikh aloge crdb na wadeni wengine alaf ndo tuendelee na mengineyo.