Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Hili bandiko lako ukiliangalia vizuri kwa jicho la ziada utaona wazi kuwa wewe ulikuwa na bado una shida ya wivu na chuki dhidi ya huyo jamaa yako na unafurahi kuanguka kwake. Unajisikia Raha na kudhani Hana akili wewe ndo uko smart kwa sababu sasa hivi kaelemewa na majukumu.
Umeandika kwa papala na umeongeza uongo mwingi kwa chuki.
Hata hivyo, ni sahihi na Jambo jema kujali familia na kuepuka michepuko.
Wewe ndio unaonekana mwenye chuki. Maana jamaa katutaadharisha. hili andiko sio kwaajili ya aliyefilisika ni kwaajili yetu. Au na wewe uko kwenye huo mfumo?
 
Tafuta mwanamke mwenye hadhi kama umeshavuka kiwango fulani cha elimu
Hadhi (ya juu) na elimu (ya juu) ndiyo chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nyingi miaka hii.

Ewe mwanaume unapaswa kuoa mwanamke mwenye hadhi ya chini na elimu ya darasa la 7. Utanishukuru.
 
Hadhi (ya juu) na elimu (ya juu) ndiyo chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nyingi miaka hii.

Ewe mwanaume unapaswa kuoa mwanamke mwenye hadhi ya chini na elimu ya darasa la 7. Utanishukuru.
Hujanielewa we jamaa.
 
Ili ukishafilisika uteseke wakikushuhudia, ila qum....ah zimewaangusha wanaume wengi sana, kuna mzee anaumwa sana saiv lakini hata watoto hawako organized sababu ni alizaa kwa wamama 6 tofauti, mke alienae ni yule wa kumtunza uzeeni, hajali kitu, basi ni mateso tu anatia huruma sana ila unaambiwa enzi zake hizo jeuri zake sio za kitoto pesa ilikuwepo mke alihenya vilivyo ikafikia hatua yakamshinda na walizaa watoto zaidi ya 10😢😢
Starehe bila kuwaza kesho itakuaje ni kujiandalia gereza la mateso, na ndicho kinachotukumba wanaume wengi. Wengi wanazalisha hovyo hovyo tu na wanaume wa hivyo huwa wanakuwa na wake wa ndoa wavumilivu sana, hawahudumii familia wakishajenga wanadhani wamemaliza kila kitu. Wanakuja kushtuka dakika za jioni jahazi linazama na hawana msaada wowote wanangojea kufa tu.
 
Starehe bila kuwaza kesho itakuaje ni kujiandalia gereza la mateso, na ndicho kinachotukumba wanaume wengi. Wengi wanazalisha hovyo hovyo tu na wanaume wa hivyo huwa wanakuwa na wake wa ndoa wavumilivu sana, hawahudumii familia wakishajenga wanadhani wamemaliza kila kitu. Wanakuja kushtuka dakika za jioni jahazi linazama na hawana msaada wowote wanangojea kufa tu.
Ni anatia huruma sana
 
Back
Top Bottom