Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Hili bandiko lako ukiliangalia vizuri kwa jicho la ziada utaona wazi kuwa wewe ulikuwa na bado una shida ya wivu na chuki dhidi ya huyo jamaa yako na unafurahi kuanguka kwake. Unajisikia Raha na kudhani Hana akili wewe ndo uko smart kwa sababu sasa hivi kaelemewa na majukumu.
Umeandika kwa papala na umeongeza uongo mwingi kwa chuki.
Hata hivyo, ni sahihi na Jambo jema kujali familia na kuepuka michepuko.

Tafuta kazi ya kufanya, this is very judgemental
 
Hiki kisa kimenisikitisha sana.

Kuna jamaa yangu na rafiki yangu kitambo toka 1980's kule Morogoro na tulianza biashara naye za kuuza/kuchukua Sigara kwenye treni kipindi hiko.

Mambo yakatunyookea tukaanza kufanya biashara za Mahindi kwenye mikoa ya Songea na Morogoro. Mwaka 1997 jamaa alioa nami niliona mwaka 1999 kwa kuwa tulikuwa na familia ikabidi kila mtu kuendelea na maisha yake japo mara nyingi huwa tunawasikliana na kushauriana mambo mbalimbali ya kimaisha.

Jamaa aliendelea kiuchumi na kufikia hatua ya kumiliki malori 10 yaliyokuwa yanabeba/safirisha mizigo toka Bandari ya Dar kwenda Zambia, Kongo na nchi nyingine za jirani. Baada ya kutajirika, akaanza tabia ya Umalaya.

Changamoto kubwa aliyokuwa nayo ni kutembea na wanawake wa kawaida yaani wasio wa hadhi yake. Ki kawaida, kwa mwanaume jama umeshindwa kutulia na mkeo. Basi tafuta mwanamke mwenye hadhi sio kuhangaika na wanawake wasio na kipato. Hii ilipelekea kuanguka kiuchumi kwani wanawake waliona ana mali so wakawa wanazaa naye. Sasa ana watoto 15 kwa wanawake 4 tofauti. Yule wa kwanza ana watoto naye wawili tu ila haonwengine ni wanawake wa Kiswahili wa pale Morogoro.

Hata kama dini yake inamruhusu, hakuna mwanamke anayekubali kuolewa mitara na hili alinishirikisha mwenyewe kuwa alishauriwa na shehe mmoja wa BAKWATA Morogoro kuwa anatakiwa amroge nankumshika akili mke yule wa mwanzo ili akubali aone mwanamke mwingine.

Ni kweli alifanikiwa kumshughulikia yule mama wa kichaga kwani amekuwa zumbukuku japo anasema yule mama hajakubali jamaa aone mwanamke mwingine ila yule mama hajitambui na anafanya vitu vya ajabu sana.

Sasa hivi, jamaa kafirisika na amekaa ndani analia tu. Wanawake wamemfirisi kwani alioa mwanamke mmoja polisi na mwingine mama wa nyumbani tu. Hao wote walitaka awajengee nyumba na jamaa aliniambia aliwanunulia kiwanja Morogoro Mjini na kuwajengea nyumba kwa gharama za milioni 60 kila mmoja. Kingine kilichomfanya aukwae umaskini ni gharama kubwa ya ada kwa watoto kwani analipa ada si chini ya milioni 30 kwa mwaka kwa shule asomeshazo watoto na kuna binti mwingine alizaa nje anamsomesha Law school.

Alinieleza hayo akaniomba ushauri na msaada ni kwa namna gani atalipa mkopo wa Tsh 150M toka CRDB ambao aliuchukua kama mkopo wa Kilimo na huko shambani kaambulia gunia 6000 tu za Mpunga ambazo nyingi ni madeni ya watu wengine waliomkopesha.

Enyi wanaume wenzangu, tulieni na wake zenu. Mnaharibu familia na ndoto za watoto wenu. Leo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.

Mi mwenyewe pamoja na kuuza kwangu madafu, siwezi na sitaruhusu mwanangu awe Polisi.

Dah Inasikitisha sana. Umalaya mbaya sana. Mungu atusaidie.
Zinaa ni 1 ya matendo yanayo mkasirisha Mungu, lkn binadamu wanazani zambi za zinaa ni mpaka ufe ndio upate adhabu zake, kumbe ukweli ni kuwa hata kabla hujafa unaweza ukakumbana nazo hpahpa juu ya ardhi.
 
Hiki kisa kimenisikitisha sana.

Kuna jamaa yangu na rafiki yangu kitambo toka 1980's kule Morogoro na tulianza biashara naye za kuuza/kuchukua Sigara kwenye treni kipindi hiko.

Mambo yakatunyookea tukaanza kufanya biashara za Mahindi kwenye mikoa ya Songea na Morogoro. Mwaka 1997 jamaa alioa nami niliona mwaka 1999 kwa kuwa tulikuwa na familia ikabidi kila mtu kuendelea na maisha yake japo mara nyingi huwa tunawasikliana na kushauriana mambo mbalimbali ya kimaisha.

Jamaa aliendelea kiuchumi na kufikia hatua ya kumiliki malori 10 yaliyokuwa yanabeba/safirisha mizigo toka Bandari ya Dar kwenda Zambia, Kongo na nchi nyingine za jirani. Baada ya kutajirika, akaanza tabia ya Umalaya.

Changamoto kubwa aliyokuwa nayo ni kutembea na wanawake wa kawaida yaani wasio wa hadhi yake. Ki kawaida, kwa mwanaume jama umeshindwa kutulia na mkeo. Basi tafuta mwanamke mwenye hadhi sio kuhangaika na wanawake wasio na kipato. Hii ilipelekea kuanguka kiuchumi kwani wanawake waliona ana mali so wakawa wanazaa naye. Sasa ana watoto 15 kwa wanawake 4 tofauti. Yule wa kwanza ana watoto naye wawili tu ila haonwengine ni wanawake wa Kiswahili wa pale Morogoro.

Hata kama dini yake inamruhusu, hakuna mwanamke anayekubali kuolewa mitara na hili alinishirikisha mwenyewe kuwa alishauriwa na shehe mmoja wa BAKWATA Morogoro kuwa anatakiwa amroge nankumshika akili mke yule wa mwanzo ili akubali aone mwanamke mwingine.

Ni kweli alifanikiwa kumshughulikia yule mama wa kichaga kwani amekuwa zumbukuku japo anasema yule mama hajakubali jamaa aone mwanamke mwingine ila yule mama hajitambui na anafanya vitu vya ajabu sana.

Sasa hivi, jamaa kafirisika na amekaa ndani analia tu. Wanawake wamemfirisi kwani alioa mwanamke mmoja polisi na mwingine mama wa nyumbani tu. Hao wote walitaka awajengee nyumba na jamaa aliniambia aliwanunulia kiwanja Morogoro Mjini na kuwajengea nyumba kwa gharama za milioni 60 kila mmoja. Kingine kilichomfanya aukwae umaskini ni gharama kubwa ya ada kwa watoto kwani analipa ada si chini ya milioni 30 kwa mwaka kwa shule asomeshazo watoto na kuna binti mwingine alizaa nje anamsomesha Law school.

Alinieleza hayo akaniomba ushauri na msaada ni kwa namna gani atalipa mkopo wa Tsh 150M toka CRDB ambao aliuchukua kama mkopo wa Kilimo na huko shambani kaambulia gunia 6000 tu za Mpunga ambazo nyingi ni madeni ya watu wengine waliomkopesha.

Enyi wanaume wenzangu, tulieni na wake zenu. Mnaharibu familia na ndoto za watoto wenu. Leo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.

Mi mwenyewe pamoja na kuuza kwangu madafu, siwezi na sitaruhusu mwanangu awe Polisi.

Dah Inasikitisha sana. Umalaya mbaya sana. Mungu atusaidie.
Yaap nimejifunza Jambo hapa
 
Hiki kisa kimenisikitisha sana.

Kuna jamaa yangu na rafiki yangu kitambo toka 1980's kule Morogoro na tulianza biashara naye za kuuza/kuchukua Sigara kwenye treni kipindi hiko.

Mambo yakatunyookea tukaanza kufanya biashara za Mahindi kwenye mikoa ya Songea na Morogoro. Mwaka 1997 jamaa alioa nami niliona mwaka 1999 kwa kuwa tulikuwa na familia ikabidi kila mtu kuendelea na maisha yake japo mara nyingi huwa tunawasikliana na kushauriana mambo mbalimbali ya kimaisha.

Jamaa aliendelea kiuchumi na kufikia hatua ya kumiliki malori 10 yaliyokuwa yanabeba/safirisha mizigo toka Bandari ya Dar kwenda Zambia, Kongo na nchi nyingine za jirani. Baada ya kutajirika, akaanza tabia ya Umalaya.

Changamoto kubwa aliyokuwa nayo ni kutembea na wanawake wa kawaida yaani wasio wa hadhi yake. Ki kawaida, kwa mwanaume jama umeshindwa kutulia na mkeo. Basi tafuta mwanamke mwenye hadhi sio kuhangaika na wanawake wasio na kipato. Hii ilipelekea kuanguka kiuchumi kwani wanawake waliona ana mali so wakawa wanazaa naye. Sasa ana watoto 15 kwa wanawake 4 tofauti. Yule wa kwanza ana watoto naye wawili tu ila haonwengine ni wanawake wa Kiswahili wa pale Morogoro.

Hata kama dini yake inamruhusu, hakuna mwanamke anayekubali kuolewa mitara na hili alinishirikisha mwenyewe kuwa alishauriwa na shehe mmoja wa BAKWATA Morogoro kuwa anatakiwa amroge nankumshika akili mke yule wa mwanzo ili akubali aone mwanamke mwingine.

Ni kweli alifanikiwa kumshughulikia yule mama wa kichaga kwani amekuwa zumbukuku japo anasema yule mama hajakubali jamaa aone mwanamke mwingine ila yule mama hajitambui na anafanya vitu vya ajabu sana.

Sasa hivi, jamaa kafirisika na amekaa ndani analia tu. Wanawake wamemfirisi kwani alioa mwanamke mmoja polisi na mwingine mama wa nyumbani tu. Hao wote walitaka awajengee nyumba na jamaa aliniambia aliwanunulia kiwanja Morogoro Mjini na kuwajengea nyumba kwa gharama za milioni 60 kila mmoja. Kingine kilichomfanya aukwae umaskini ni gharama kubwa ya ada kwa watoto kwani analipa ada si chini ya milioni 30 kwa mwaka kwa shule asomeshazo watoto na kuna binti mwingine alizaa nje anamsomesha Law school.

Alinieleza hayo akaniomba ushauri na msaada ni kwa namna gani atalipa mkopo wa Tsh 150M toka CRDB ambao aliuchukua kama mkopo wa Kilimo na huko shambani kaambulia gunia 6000 tu za Mpunga ambazo nyingi ni madeni ya watu wengine waliomkopesha.

Enyi wanaume wenzangu, tulieni na wake zenu. Mnaharibu familia na ndoto za watoto wenu. Leo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.

Mi mwenyewe pamoja na kuuza kwangu madafu, siwezi na sitaruhusu mwanangu awe Polisi.

Dah Inasikitisha sana. Umalaya mbaya sana. Mungu atusaidie.
Mzee wangu wewe sio Malaya?
 
Hiki ni kitu muhimu sana. Tafuta mwanamke mwenye hadhi kama umeshavuka kiwango fulani cha elimu na uchumi. Pia hata kama unachepuka, weka mbali mchepuo wako na familia yako.

Inasikitisha
Hii imenigusa sana mkuu. Sina mengi ya kusema ila umesema ukweli mtupu, kifupi hawa wanawake wa hovyo wanatumia sana ndumba so unakuwa kama zuzu marafiki zako wanabaki kukushangaa maana unakuwa haushauriki, siku akili zinakurudia unakuwa uko totally destroyed na umefirisika
 
Hii imenigusa sana mkuu. Sina mengi ya kusema ila umesema ukweli mtupu, kifupi hawa wanawake wa hovyo wanatumia sana ndumba so unakuwa kama zuzu marafiki zako wanabaki kukushangaa maana unakuwa haushauriki, siku akili zinakurudia unakuwa uko totally destroyed na umefirisika
Jamaa tulianza naye biashara miaka hiyo pamoja na akina Brasto Makundi yule mwenye gari za BM pamoja na kaka yake ambaye ana ukwasi mkubwa kwa sasa.

Yeye akajiingiza kwenye umalaya usio.na maana. Haambiliki wala hashauriki. Sio kwa Baba yake wala kaka yake wala wadogo zake au sisi rafiki zake. Tumemuacha tunamuangalia ila kilichoniuma ni kushindwa kuwatengenezea watoto wake maisha ya baadaye kwa ajili ya wanawake.

Wakati dunia ya sasa tunawaza kupeleka watu kuishi Mars pamoja na mwezini na tukiwa tunawaza competition ijayo kwa watoto wetu, we mwanao anaenda kuwa mlinzi wa mtoto wa Mwigulu Nchemba na Abdul Samia.

Inasikitisha sana.
 
Zinaa ni 1 ya matendo yanayo mkasirisha Mungu, lkn binadamu wanazani zambi za zinaa ni mpaka ufe ndio upate adhabu zake, kumbe ukweli ni kuwa hata kabla hujafa unaweza ukakumbana nazo hpahpa juu ya ardhi.
Ni kweli. Unaleta mikosi, umaskini na magonjwa kwenye familia. Mungu awasaidie vijana.
 
Jamaa tulianza naye biashara miaka hiyo pamoja na akina Brasto Makundi yule mwenye gari za BM pamoja na kaka yake ambaye ana ukwasi mkubwa kwa sasa.

Yeye akajiingiza kwenye umalaya usio.na maana. Haambiliki wala hashauriki. Sio kwa Baba yake wala kaka yake wala wadogo zake au sisi rafiki zake. Tumemuacha tunamuangalia ila kilichoniuma ni kushindwa kuwatengenezea watoto wake maisha ya baadaye kwa ajili ya wanawake.

Wakati dunia ya sasa tunawaza kupeleka watu kuishi Mars pamoja na mwezini na tukiwa tunawaza competition ijayo kwa watoto wetu, we mwanao anaenda kuwa mlinzi wa mtoto wa Mwigulu Nchemba na Abdul Samia.

Inasikitisha sana.
Ila ingetakiwa mumsaidie na siyo kumwacha, mara nyingi anakuwa siyo yeye. Ukiishiwa ndiyo akili zinarudi maana wanakukwamisha hawakutaki tena kwani huna faida unabaki kuwa mzigo kwa mkeo na familia kwa ujumla
 
Kuwa Polisi kwako ni ujinga au ni jinai?

Nilitegemea utoe ushauri watu wafanye kazi halali na wasomeshe watoto wao.

Hayo ya kusema mwanangu asifanye kazi hii na hii, wakati kazi hiyo ni halali na kijana alishavuka utoto, 18 yrs+ ni kujidhihirisha ulivyo na uwezo mdogo wa kutafakari, kufikiri na kuamua!
Inawezekana nimekukwaza, nisamehe katika hilo ila katika kitu ambacho sitaruhusu wanangu kufanya hata akiwa na miaka 100 ni kazi za kuajiriwa.

Kwanza Baba nimepambana kwa ajili yao. Nina watoto 4 na mkubwa wao anamaliza Muhimbili degree yake. Wengine wapo Advance na O Level wa mwisho ni Primary. Wote nawasomesha kama baba yao. Ndoto yangu ni watoto wawe na maisha mazuri kwa kujiamini.

Huyo wa Muhimbili nitamfungulia duka la madawa ya kibinadamu au kahospitali kadogo au kamaabara kadogo. Mtaji wa 10-20M au hata 50m kama mzazi sikosi ila sio awe askari polisi, magereza au JWTZ, ualimu n.k

Hizo ni kazi za watorwatoto a maskini. Samahani kwa hilo.
 
Enyi wanaume wenzangu, tulieni na wake zenu. Mnaharibu familia na ndoto za watoto wenu. Leo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.
Hata uwe na pesa kiasi gani ukishajiingiza kwenye Umalaya zitaisha tu.

Obama hakuwa mjinga kubaki na Mke mmoja pamoja na kwamba ana Influence of Money and Power.

Kinyume na hapo pesa zitaisha na utakapolazimisha ubaki juu utajikuta unaenda kwa Pididy
 
Back
Top Bottom