Umasikini ambao upo nchi za Africa ni umaskini bandia na sio umasikini unaotokana na Mazingira au umasikini halisi

Umasikini ambao upo nchi za Africa ni umaskini bandia na sio umasikini unaotokana na Mazingira au umasikini halisi

Kwa kuwa hakuna ukomo wa kuchangia,nirudi tena.Pasco Mayalla aliwahitoa mada juu ya viongozi wetu humuhumu JF.Kwamba viongozi wetu ni sehemu ya jamii na hivyo walivyo ndivyo jamii tulivyo.Swali ni:kuwatwika zigo la lawama kwani sisi tukoje?Kiongozi atakuletea maendeleo mlangoni kwako umekaa?Kama ni wabovu nani kawapa ridhaa kuongoza?Nchi haina vurugu,miundombinu wezeshi kama barabara,maji,umeme,ardhi vipo na hufungwi kukaa sehemu moja:wataka uwezeshwe kwa kipi Mtanzania ili uwe mlipa kodi mzuri?Huyu kiongozi unayemlaumu kwani anatoa fedha mfukoni kwake ili kuleta maendeleo?Serikali inapata wapi kodi wakati wewe hujishughulishi?
 
3.£limu mbovu/makapi.
kwangu hili ndo lilipaswa kuwa namba moja maana linaathiri hayo mengine. juzi nikiwa ktk mstari wa kupiga kura nikashangaa kuona bado kuna wasiojua kusoma na kuandika. sasa nikafikiri tu nchi ina watu wangapi kama hawa? hlf ndo tutegemee kupiga hatua kimaendeleo? apo sahau ndugu.
 
Umasikini ambao tunao katika bara la Africa ni umasikini bandia na sio kwamba unapatikana Kutokana na Mazingira.

Katika post hii nitamui-invite ndugu Robert Heriel Mtibeli ambaye aliwahi kuzungumzia hili jambo .

Umasikini - ni hile hali ya mtu kushindwa kukidhi mambo makuu matatu ambayo ni chakula, maradhi na makazi.

Tukianza na chakula -Mpaka leo hii tunaona kuwa bara la Africa linasumbuliwa na tatizo la njaa ambalo linatokana na ukosefu wa chakula - huu ni umasikini wa bandia maana bara la Africa linajitosheleza na lipo na ardhi nzuri inayofaa Kwa kilimo.

Tukija Katika makazi - hapa na penyewe patakuacha midomo wazi kuona mpaka leo watu hawana makazi bora na wengine wakiishi katika nyumba za tope na nyasi

Tukija katika maradhi - hii inajumuisha swala zima la upatikanaji wa maradhi bora ikiwemo huduma bora za Afya mpaka leo Africa idadi ya watu wanaokufa Kwa kukosa maradhi bora ni kubwa .

Hivyo kupamabana na umasikini bandia ni swala gumu maana umaskini wa bandia ni man -made .

Umaskini halisi kupambana nao ni rahisi maana ni swala la kucheza na vipaumbele kipi kianze na kipi kifatie.

Hivyo ikiwa wewe ni masikini na upo Africa jaribu kuangalia Kama huo umasikini ni bandia au halisi.
Umasikini wa Africa ni Kwa ajili ya wazungu kuendelea kutawala bara lake,ktk bara lililojaaliwa Kwa malighafi duniani Africa ni lakwanza,malighafi zote,madini,gas,mafuta,vimejazana ila wazungu wametengeneza mfumo kua huwezi pata hela from hizo malighafi,mbaya zaidi wanapandikiza viongozi na vita ili muendelee kuwaabudu wao tu,DRC moja ya nchi tajiri Kwa malighafi,Somalia-gas+mafuta,madini,Central African,Mali,Bukoba faso,Libia,in nutshell Africa ni migodi yao
 
Back
Top Bottom