Umasikini hurithiwa; masikini huzaa masikini

Umasikini ni takataka

Hakuna ufahari wowote ule kwenye umasikini, kabla hatujaendelea jua hilo.

Umasikini ni wimbi linalobeba takataka nyingi ndani yake
1)Njaa
2)magonjwa
3)kudhalilika
4)Elimu duni
5)makazi duni
6)mavazi duni
7)nk

Happy ni nini??
_Happy ni hali ya kujisikia vizuri, hulu, amani and all good condition zipo ndani ya Happy, Happy sio Subset ya umasikini wala utajiri...unaweza kuwa maskini ukawa Happy na unaweza kuwa tajiri ukawa happy and Vice-versa.

Kuna vitu vingi vinavyosababisha mtu asiwe na furaha most of them ni vitu vibaya na vitu vingi vibaya vipo kwenye Maskini, Maskini automatically.

Shida zinazomkumba masikini akakosa furaha
*Ana Ada yang shule
*mtoto anaumwa Hana PESA ya matibabu
*nyumba ipo bondeni mvua inanyesha halali mafuriko yakija anabeba godoro kujihifadhi Mchikichini Secondary
*Mlo mmoja kwa siku kawaida au kupita wima
*kudhalilishwa madeni
*nk nk

Unakiwaje Happy katika shida hizo zote au wewe mwenzetu mwanao akiumwa ukakosa pesa ya hospital unakuwa na furaha.

Hitimisho
_kila mtu anaweza kuwa na furaha au kutokuwa nayo ila kwenye Maskini na tajiri, Asilimia 99% ya masikini hawana furaha kwa matajiri ni asilimia ndogo sana wasio na furaha 10% tu.

Hivi hawa wanapata wapi utulivu wa nafsi 👇


 

Mwenye masikio na asikie, kisha ajikomboe!
 
Nadhani ndicho hicho hicho nilichoelezea ila wewe conclusion yako ndiyo sikubali.
1. Mimi sikusema umaskini ndiyo furaha wala sikusema utajiri ndiyo huzuni. Nimejitahidi kuonya baadhi ya watu wanaodhani utajiri ni kila kitu na umaskini ni kukosa kila kitu (kama wewe).
2. Sasa kama unakubali kuwa ''happiness'' siyo subject ya umaskini wala utajiri, inakuwaje tena ufanye conclusion kuwa asilimia 90 ya maskini hawana furaha? Nilichokuwa nasisistiza mimi ni ile mtu kudhani akishakuwa tajiri basi kinachofuata automatically ni ''happiness''.
 
Kwanini unauliza kuhusu conclusion ya 90% as if ujaelewa nilochochambua kwenye main body.

Kwanini kila unapoona Mada au suala linalohusu utajiri ulete masuala ya 'furaha' kwanini hukuleta masuala ya 'kulala' kuna uhusiano gani.

No nani humu aliyesema akipata utajiri atakuwa total happiness nilichoona Mimi watu wanajdiri umasikini na utajiri tu sasa hili suala la 'Furaha' kwenye mada limetokea wapi...bilashaka jibu umelileta wewe hapo sasa swali kwanini ulilete ni 'Sentensi za maskini na kimasikini kuendeleza dhima zao za kuuchukia utajiri'.

Kwanini nimeshambulia sana 'jambo la furaha' si furaha tu kuna visentensi vingi sana kwenye mada zinazohusu utajiri...utasikia 'wote tutakufa' ni ipi mantiki ya kuzungumzia 'Kifo' kwenye mada inayohusu utajiri.

Jibu mpaka sasa huna mantiki yoyote ya kuleta mambo ya Furaha kwenye mdahalo huu hii ina collorate kuwa una spirit ya kumtetea takataka umasikini.
 
Ukweli mchungu mkuu tusikubali kuoa au kuolewa na masikini ni laana
 
Ni kweli kabisa uliyonenea hujakosea hata kidogo...

Kuna mtu nilionana nae katika salama nikamuuliza maisha yanasemaje... akajibu bila kusita maisha nimazuri sana... nilipenda jibu...

Shunie pitia hapa kuna chakujifunza...
Hii Sasa Ni hatua moja wapo ya kufanikiwa
 
Mimi binafsi nakubalina nawe kwa asilimia zote namna ulivyowasilisha comment hii ndio uhalisia.

Umaskini na utajiri kwa namna zake mjadala wake sio mrahisi au mwepesi Kama hii mada iliopo.

Lakini tunaweza kuu summarise Kama wewe ulivyowasilisha hapa, na hii ni hatua ya mwanzo.
 
Nimezaliwa kwenye familia masikini lakini sasa hivi nina helaa sidhani kama nitakufa masikini au kufirisika.
Umenielewa vyema mtoa mada !?? Amesema kwamba Kama umezaliwa katika Koo masikini halafu katika ukoo wenu mliofanikiwa kuwa na uchumi mkubwa mkiwa wawili halafu wale masikini wakiwa Ni wa 5 hiyo I nakufanya uendelee kubaki kuwa unatoka katika family ya kimasikini Yaani ukwasi wako ulionao haiwezi kukusafisha na kukufanya uonekane unatoka katika family tajiri

Binafsi nimemuelewa sana mleta thread

Serikali impe ulinzi haraka Sana
 
Well said
 
Kuna umaskini wa mali.
Umaskini wa akili.
Umaskini wa roho.

Katika maisha hakuna kitu muhimu kama amani ya rohoni na moyoni. Kulala usingizi bila kushtukashtuka. Na maskini wengi hatuna usingizi wa mang'amung'amu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…